mr.chengachenga
Senior Member
- Mar 6, 2014
- 155
- 104
Majanga ya kufikiri pasipo kutafakari, hashindwi chochote ; anaweza kutengeneza...ambalo HAWEZI...atakuwaje hawezi wakati hashindwi na chochote ? Tafakari chukua Hatua
Kuweza na kutokuweza n kama maji na mafuta ukiyachanganya lazima vjitenge maji chini na mafuta juu.kwa sababu tunaamini mungu anaweza kila kwa hyo 2namaanisha anaweza kuchanganya maji na mafuta yakachanganyika kabisaaa.kwa hyo mungu anaweza kutengeneza mpaka kushindwa kwake kama atashindwa bac 2takua wapuuz kumpa sfa et anaweza kila kitu.so n anaweza mpaka kushindwa kwake(cjui kama nimeeleweka heb jaribu kufikiria tena ili unielewe maana hata kuweka vzur maneno ili mpate kle ninachofikira kama kilivyo imekua ngumu kwangu)