Ni Matumaini yangu Mgeni kaombwa atuletee Watu wake ili Watuambukize Akili zao Kubwa nasi tuendelee haraka kama Wao

Ni Matumaini yangu Mgeni kaombwa atuletee Watu wake ili Watuambukize Akili zao Kubwa nasi tuendelee haraka kama Wao

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Najua umezungumza nae mengi Mgeni hasa ya kutumia vyema Bandari yako Kibiashara, Ulinzi na Usalama, TEHAMA na Utulivu huko anakowanyoosha Wakata Viuno tu kila Siku.

Hata hivyo ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa kabla Mgeni hajaondoka Kesho utakuwa umemuomba akuletee Watu wake Werevu ( Intelligent ) ili wapandikize Akili zao Kubwa kwa Wananchi wako wengi ambao ni Wavivu wa Kufikiri ili angalau nawe nchi yako ibadilike Kimaendeleo na iwe na Watu makini ( smart ) kama wa nchi yake.

Mwambie Mgeni ninampenda mno.
 
Najua umezungumza nae mengi Mgeni hasa ya kutumia vyema Bandari yako Kibiashara, Ulinzi na Usalama, TEHAMA na Utulivu huko anakowanyoosha Wakata Viuno tu kila Siku.

Hata hivyo ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa kabla Mgeni hajaondoka Kesho utakuwa umemuomba akuletee Watu wake Werevu ( Intelligent ) ili wapandikize Akili zao Kubwa kwa Wananchi wako wengi ambao ni Wavivu wa Kufikiri ili angalau nawe nchi yako ibadilike Kimaendeleo na iwe na Watu makini ( smart ) kama wa nchi yake.

Mwambie Mgeni ninampenda mno.
mbona hapa watu wa kabila na mgeni wapo wengi mno na wanazaliana na wenyeji huku,tena kila mkoa wapo
 
Kwani si waliletwa enzi za mwendazake....wakafanywa kitu mbaya.. Bongo sio kama unavoichukulia...hata tolu anajua hilo na siku hizi kaacha madharau yake kwetu
 
Najua umezungumza nae mengi Mgeni hasa ya kutumia vyema Bandari yako Kibiashara, Ulinzi na Usalama, TEHAMA na Utulivu huko anakowanyoosha Wakata Viuno tu kila Siku.

Hata hivyo ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa kabla Mgeni hajaondoka Kesho utakuwa umemuomba akuletee Watu wake Werevu ( Intelligent ) ili wapandikize Akili zao Kubwa kwa Wananchi wako wengi ambao ni Wavivu wa Kufikiri ili angalau nawe nchi yako ibadilike Kimaendeleo na iwe na Watu makini ( smart ) kama wa nchi yake.

Mwambie Mgeni ninampenda mno.
Hamna kitu nyie wanyarwanda mnapenda sifa za kijinga sana
 
Watutsi wapo kibao tu humu mbona hawana JIPYA mkuu!?tena WENGINE wajomba zangu kabisa lakini sioni cha maana toka kwao zaidi ya uvivu na kulala lala tu na kujiona wao wanastahili MAKUBWA SANA wakati HAMNA kitu mkuu!!!?


Mi naona mnaji overrate sana jamaa!wavivu na hawawezi kazi ngumu full majivuno tu!wajomba zangu HUWA nawazoom halafu nawaona hamnazo KABISA!!!
 
Since PK landed DSM, James Mwakibolwa is the smartest millitary intelligent man in EAST AFRICA.
Angekuwa na Sifa za Uwongo ulizotoa hapa angefukuzwa Congo DR wakati na kurejeshwa Tanzania?

au unataka tufunguke Kilichomtoa kule na baadhi ya Kashfa zake ambazo tunazo ila tunamstahi tu?

Huna Akili.
 
Najua umezungumza nae mengi Mgeni hasa ya kutumia vyema Bandari yako Kibiashara, Ulinzi na Usalama, TEHAMA na Utulivu huko anakowanyoosha Wakata Viuno tu kila Siku.

Hata hivyo ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa kabla Mgeni hajaondoka Kesho utakuwa umemuomba akuletee Watu wake Werevu ( Intelligent ) ili wapandikize Akili zao Kubwa kwa Wananchi wako wengi ambao ni Wavivu wa Kufikiri ili angalau nawe nchi yako ibadilike Kimaendeleo na iwe na Watu makini ( smart ) kama wa nchi yake.

Mwambie Mgeni ninampenda mno.
Unastahili ban, yaani mgeni aache kuchuma aanze kukufundisha wewe akili za kumkata mikono asichume?
 
Back
Top Bottom