GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Najua umezungumza nae mengi Mgeni hasa ya kutumia vyema Bandari yako Kibiashara, Ulinzi na Usalama, TEHAMA na Utulivu huko anakowanyoosha Wakata Viuno tu kila Siku.
Hata hivyo ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa kabla Mgeni hajaondoka Kesho utakuwa umemuomba akuletee Watu wake Werevu ( Intelligent ) ili wapandikize Akili zao Kubwa kwa Wananchi wako wengi ambao ni Wavivu wa Kufikiri ili angalau nawe nchi yako ibadilike Kimaendeleo na iwe na Watu makini ( smart ) kama wa nchi yake.
Mwambie Mgeni ninampenda mno.
Hata hivyo ni matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa kabla Mgeni hajaondoka Kesho utakuwa umemuomba akuletee Watu wake Werevu ( Intelligent ) ili wapandikize Akili zao Kubwa kwa Wananchi wako wengi ambao ni Wavivu wa Kufikiri ili angalau nawe nchi yako ibadilike Kimaendeleo na iwe na Watu makini ( smart ) kama wa nchi yake.
Mwambie Mgeni ninampenda mno.