Ni matumaini yangu Uongozi wa Simba SC utaandaa Uongo wa kutuambia kwanini Bernard Morrison hatoenda South Africa tarehe 24 April, 2022

Ni matumaini yangu Uongozi wa Simba SC utaandaa Uongo wa kutuambia kwanini Bernard Morrison hatoenda South Africa tarehe 24 April, 2022

Mleta mada chuki tuu ndio inamsumbua, mimi ninachojua Morrison kaupiga mwingi mpaka tumeingia robo fainali, hayo mengine umbeya tuu
 
Mleta mada chuki tuu ndio inamsumbua, mimi ninachojua Morrison kaupiga mwingi mpaka tumeingia robo fainali, hayo mengine umbeya tuu
Waghana wenzake ndio wanamchukia huyu mwizi mwenzako.

FB_IMG_1649277520295.jpg
 
Sasa mbona toka mechi na kaizer chief watu walishajua sababu nn
 
Hakuingizwa mjini, anajuwa kila kitu, mfano wewe Bongo utanunuwa nyumba bila kusearch wizara ya ardhi? Je utanunuwa gari bila kusearch kwenye simu mmiliki halali ni nani?
[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji28][emoji23][emoji23][emoji38] deed assignment
 
Nashukuru kwa Kunielewa, nawe Kulisemea tena Kiufafanuzi zaidi kwani kuna Majuha ( Mazuzu ) ndani ya Simba SC ( hasa Mashabiki ) walidhani naongopa, nimekosea na Kukurupuka pia wakiwa Wamesahau kuwa moja ya Sifa Kuu ya GENTAMYCINE ni Kufuatilia Jambo.

Kulichimba, Kulidadisi, kutafuta Maarifa zaidi, Kujichanganya na Watu mbalimbali, kuwa na Vyanzo vingi na aminika vya Taarifa ( Habari ) za Ndani na Ngumu, Kushauri na kutoa Suluhisho lenye Kujenga zaidi katika Jamii au Taasisi husika.
Hii sio mpya, tangu anasajiliwa Yanga hizi habari zilikuwapo. Kwa hiyo sio kwamba umefuatilia, ni kwamba habari zipo kwa kuwa zilikuwapo
 
Na GENTAMYCINE najua ili 'Kutuzuga' zaidi na Wawahadae Majuha (Mazuzu) wengi huyu Mchezaji ataambiwa ama ajifanye Kaumia Mechi yetu ya Kwanza na Orlando Pirates FC tarehe 17 April, 2022 au acheze Faulo apate Kadi Nyekundu ili sababu ya Yeye kutoenda Afrika Kusini katika Mechi ya marudiano na Orlando Pirates FC tarehe 24 April, 2022 ipatikane.

GENTAMYCINE niliwahi hapa hapa JamiiForums kuandika kuwa Mchezaji Bernard Morrison ana BAN ya Kutoingia nchini Afrika Kusini kutokana na Vitendo vyake vya Utovu wa Nidhamu kama kawaida ya Mazuzu ( Majuha ) hapa wakaanza Kunitukana, Kunidhihaki na Kunibishia juu ya hili.

Sasa Mimi huyu huyu GENTAMYCINE leo tena kwa Kujiamini kabisa nawaambieni kuwa Mchezaji Bernard Morrison ana BAN ya kuingia South Africa na tafadhali Uongozi wa Simba SC uwaambieni huu Ukweli na siyo Kuficha halafu wakaondoka nae kisha Wakamficha Zimbabwe au Lesotho na Kumlazimisha apige Picha akiwa na Watu katika Treni za Umeme kama alivyofanya Simba SC ilipoenda mwaka Jana Afrika Kusini kucheza na Kaizer Chiefs FC na Kuzitupia Mitandaoni ambapo Waswahili wenye Akili fupi wakaamini kuwa nae aliingia nchini Afrika Kusini.

Endeleeni tu Kunichukia GENTAMYCINE ila Kazi yangu kubwa hapa JamiiForums ni kuwapeni Ukweli, Kuwakosoa, Kuwaelimisha wale Majuha ( Mazuzu ) na Kusifia / Kupongeza pale tu nionapo kuna la maana / tija limepatikana.

Naipenda mno Simba SC yangu ( hata Mwenyezi Mungu anajua ), ila sipendi Unafiki au Kuficha madhaifu ambayo nayaona eti ili tu GENTAMYCINE niwafurahishe 'Followers' wangu hapa JamiiForums na wale Watu ambao Wananipenda na hunisoma sana hapa.

Mwisho namalizia kwa wale wana Simba SC Mazuzu ( Majuha ) mliopo hapa na ambao Kutwa mnanishambulia GENTAMYCINE kwa kusema Ukweli na kutokuwa Mnafiki kwa kuwaambia kuwa kama ambavyo mlikuwa mkishangilia nikiwa Nawananga (Nawasema) wana Yanga SC hapa JamiiForums na wakawa Wanatulia, basi nanyi pia safari hii tulieni hivyo hivyo nikiwa 'nimewachenjia: na sasa 'Nawakandia' ili mjitathmini na ikiwezekana mbadilike na muache Upuuzi na Uswahili wenu mlioubobea.
mbona hata siyo habari mpya wewe kiazi mbatata.
 
Na GENTAMYCINE najua ili 'Kutuzuga' zaidi na Wawahadae Majuha (Mazuzu) wengi huyu Mchezaji ataambiwa ama ajifanye Kaumia Mechi yetu ya Kwanza na Orlando Pirates FC tarehe 17 April, 2022 au acheze Faulo apate Kadi Nyekundu ili sababu ya Yeye kutoenda Afrika Kusini katika Mechi ya marudiano na Orlando Pirates FC tarehe 24 April, 2022 ipatikane.

GENTAMYCINE niliwahi hapa hapa JamiiForums kuandika kuwa Mchezaji Bernard Morrison ana BAN ya Kutoingia nchini Afrika Kusini kutokana na Vitendo vyake vya Utovu wa Nidhamu kama kawaida ya Mazuzu ( Majuha ) hapa wakaanza Kunitukana, Kunidhihaki na Kunibishia juu ya hili.

Sasa Mimi huyu huyu GENTAMYCINE leo tena kwa Kujiamini kabisa nawaambieni kuwa Mchezaji Bernard Morrison ana BAN ya kuingia South Africa na tafadhali Uongozi wa Simba SC uwaambieni huu Ukweli na siyo Kuficha halafu wakaondoka nae kisha Wakamficha Zimbabwe au Lesotho na Kumlazimisha apige Picha akiwa na Watu katika Treni za Umeme kama alivyofanya Simba SC ilipoenda mwaka Jana Afrika Kusini kucheza na Kaizer Chiefs FC na Kuzitupia Mitandaoni ambapo Waswahili wenye Akili fupi wakaamini kuwa nae aliingia nchini Afrika Kusini.

Endeleeni tu Kunichukia GENTAMYCINE ila Kazi yangu kubwa hapa JamiiForums ni kuwapeni Ukweli, Kuwakosoa, Kuwaelimisha wale Majuha ( Mazuzu ) na Kusifia / Kupongeza pale tu nionapo kuna la maana / tija limepatikana.

Naipenda mno Simba SC yangu ( hata Mwenyezi Mungu anajua ), ila sipendi Unafiki au Kuficha madhaifu ambayo nayaona eti ili tu GENTAMYCINE niwafurahishe 'Followers' wangu hapa JamiiForums na wale Watu ambao Wananipenda na hunisoma sana hapa.

Mwisho namalizia kwa wale wana Simba SC Mazuzu ( Majuha ) mliopo hapa na ambao Kutwa mnanishambulia GENTAMYCINE kwa kusema Ukweli na kutokuwa Mnafiki kwa kuwaambia kuwa kama ambavyo mlikuwa mkishangilia nikiwa Nawananga (Nawasema) wana Yanga SC hapa JamiiForums na wakawa Wanatulia, basi nanyi pia safari hii tulieni hivyo hivyo nikiwa 'nimewachenjia: na sasa 'Nawakandia' ili mjitathmini na ikiwezekana mbadilike na muache Upuuzi na Uswahili wenu mlioubobea.
Gentamycin ni Yanga dam dam na haujawahi kuwa Simba hata siku moja. Ila una lundo la ID. Al rounder, nk.
 
Naomba niweke taarifa ya BM kutoruhusiwa kuingia Afrika ya kusini kwa usahihi na uwazi zaidi.
Kuna mambo matukio mawili:
1. La kwanza Bernard Morrison alibambikiwa na wajanja gari la wizi. Akakamatwa nalo na kufunguliwa mashtaka. Uchunguzi ulionesha kuwa hakuwa ameliiba Ila wajanja wa south walimwingiza mjini. Kwa kuzingatia kuwa hakuwa raia wa south, mwendesha mashtaka wa Serikali aliamua kutokuendelea na kesi na akaachiwa huru. Kwa maana hiyo ni kwamba suala la gari ya wizi si sababu téna inayomfanya asiruhusiwe kuingia south Africa Kama wengine wanavyofikiria. Maana suala Hilo liliisha na akaendelea na maisha yake huko
2. La pili ndilo mgogoro hasa uliomfanya azuiliwe kuingia Afrika ya kusini. Ni kuwa aliamua kuendelea kuwepo Afrika ya kusini wakati visa yake ilikuwa imekwisha na hakushughulikia kuomba visa wakati anajua imeisha! Kwa sheria za huko, ukikamatwa huna visa na ukaamuliwa kuondoka, unakuwa umekosa sifa za kuruhusiwa kuingia téna Afrika ya kusini. Hilo ndilo linalomkabili Bernard Morrison. Na Hilo ni jambo ambalo linaweza kushighulikiwa tu na Nchi yake ya Ghana kwa mazungumzo ya kidiplomasia na Afrika ya kusini. Ni lazima Nchi yake imdhamini na kuithibitishia Afrika ya kusini kuwa mtu wao hatarudia téna kosa la kukaa nchini mwao kinyume Cha sheria!
 
Back
Top Bottom