Ni maumivu gani makali zaidi ya mwili?

Kuna Ile unalima afu mpini wa jembe ukugonge kwenye mguu mfupa wa mbele....sijui mnanielewa!
 
Kama umeenda Ocean Road Cancer Institute kumuangalia mgonjwa kuna wale waliofikia stage ya mwisho wanapigwa morphine tu kuwapunguzia maumivu, inasikitisha sana.
Hakika, hata huyu Dada alikuwa anatumia morphine ile ya syrup.

Upande mwingine kuna wale wana saratani ya koo.

Nadhani kwenye swala la maumivu wagonjwa wenye saratani wanaweza kuwa wanateseka zaidi pengine kuliko magonjwa mengine
 
Kuna siku na mie nliumwa na tumbo km hilo. Ilikuwa gesi sijui, maana nikitoka kula mihogo.
Ile siku niliona ndio naaga, unajiskia kwenda chooni ukifika hamna kitu, najiskia km kutapika lkn sitapiki, yaani huko chooni nilikuwa naenda kwa kutambaa. Nilimaliza dawa, matango, zaatari, maji ya uvuguvugu. Holaa
Mpk ikabidi nipelekwe hospital. Nilipata dawa maumivu yalipungua lkn like 3 days nilikuwa siwezi kutembea kimo changu lazima niiname, yaani nikisema nisimame wima tumbo chini ya kitovu km napitishwa visu
 
Nilitaka niandike yangu,nikaona hii nikasoma, nimeona nitulie kwanza mpaka mwili umesisimka.
 
Kubinywa ngozi ya pumbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…