Ni mawazo yamenizidi au uzembe?

Pole sana!

Naomba nijibu kaswali kangu tuu..!

"Mara ya mwisho umechapwa na msaliboko lini??"
 
ishu ya pesa shughulikia kwanza ukiimaliza (kama itawezekana) ndio uende kwa msaikilojia ili akusaidie tatizi lako la mawazo na kukosa umakini lisijirudie siku za baadae..

Naamini ukipewa huo ushauri utabadilika kadiri siku zinavyokwenda
Sawa mkuu nimekuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…