Kesho hiyo sasa, wizoo nae kanipokea mie, maana nlikua natembezewa ban km njuguu, nimestaafu sasa. Lol[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mshamba kasema eti alitukana!! Sasa ndio sijajua kamtukana nani?!
Mwambie shem mode amfingulie banaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa km sio demu, salamu za [emoji441]yake alitumajee??
Kesho hiyo sasa, wizoo nae kanipokea mie, maana nlikua natembezewa ban km njuguu, nimestaafu sasa. Lol
mi sipo tena nakuachia uwanja we na Cute Wife 😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa km sio demu, salamu za [emoji441]yake alitumajee??
Kipenselibalama ni nani
ni ye34nbe huyo ana id kibaoKipenseli
Hahaha Lofa huyo.ni ye34nbe huyo ana id kibao
Sasa ungejua mie na Mjep tunavyopigwa vitaa, muulize yeye akuambieee,Shangaa hapo na wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumechachuka humu kila mtu anamkana baby wake, mshamba sijapentraaaaa kabisa
Bado na wewe ole wako umkane shem wangu Mjep
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wachaaaa wee, nimuambiee keshoo moder??Wanipe na mie nipumzike nipate muda wa kubembeleza baby wangu khaaaaaaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa ungejua mie na Mjep tunavyopigwa vitaa, muulize yeye akuambieee,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JF ya mchezoooo, tumeshazoeaaa.
extrovert ndo hampendi kabisa anamuona papai😂Kamleteeee wizooo wetuuu,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lasivyo tunamuambia Extrovert akubondeee.
Kamleteeee wizooo wetuuu,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lasivyo tunamuambia Extrovert akubondeee.
extrovert ndo hampendi kabisa anamuona papai[emoji23]
Nakuambiajee wee muulize akupe mkanda mzimaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Weee usinambie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kisa nini sasa? Ila watu wana hekaheka au vocha unazotumiwa udugu?!!
Achana nao km vipi wajinyonge ikiwauma [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah wee hebu sema kweliiii.extrovert ndo hampendi kabisa anamuona papai[emoji23]
Hapoooo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan huyu amrudishe wizoo kablaa brooh hajastukaaa, sisi akiulizaa tunamtajaa yeye. Ndo atajua hajuiiKabisa tumsemelee udugu hawezi kumfanyia hivi wizo na wakati wizo alikubali kumcheat hadi bro kisa yeye na mic za kutuma salamu alimpa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
nyie mnataka kuniuzia papai kwenye gunia😂Hakuna unalolijua mimi cousin ake ndio najua kila kitu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakuambiajee wee muulize akupe mkanda mzimaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbna utashtukaaaa, jinsi anavyopewa maneno kuhusu mie,
Basi sisi wenyewe tukikaaa tunachekaaaa, tunawaachia wao uwanja wa kuneng'enekaa vyediiii.