Ni Members gani wa JF, kwa mabandiko au koments zao tu, ina ashiria kabisa ni Warembo au Watanashati?

Ni Members gani wa JF, kwa mabandiko au koments zao tu, ina ashiria kabisa ni Warembo au Watanashati?

Wohiiiii 🤣🤣🤣🤣🤣
Hatareeeee alooo.!! Watu na kazi zenu.
Huyo Mh naye mnunuzi asikutishe
Naomba ulale dada,,hii ni usingiz inachati apa 🤣🤣🤣🤣🙌🏾🖐🏾🚶🏾‍♀️🚶🏾‍♀️🚶🏾‍♀️
 
Kwa wadada namuona ephen_ yuko poa sana kanaonekana kadada kastaarabu halafu kasikivu ridging on how she comments.
Lamomy kadada flan kacheshi,kanapenda masihara ila pia kana matani ya ukweli,kiujumla charming humble girl.
Evelyn Salt huyu mwanamama akili nyingi ila aonekana mbabe.
Lastly kipenzi changu mimi nayempendaga cocastic mwanamke mjanja na mjuaji mpaka kaivuka busara yake,yani kwa alivyo ningelimjua ningelimuweka mke wa pili kama ako single.Maana huwapenda wadada wajanja na wajuaji kupitiliza.

Kwa gentlemen nawaona wafuatao;
Poor Brain
Hammaz
Intelligent businessman
100 others
Proved .
😂😂😂😂😂 Aiseee
 
Hawa madada wanaonekana ni wazuri na warembo licha ya umri wao kusogea yaani ni mashangazi!

Nifah

Evelyn Salt

Madame B

Joanah

Nuzulat


Halafu kuna mdogo wao huyu anapenda sana ule mchezo!

Cocastic

Nb: Hao madada hapo juu ukimtoa Nifah (Hajajipambanua) wanapenda sana ule mchezo hasa huyo wa mwisho)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em sema kwelii?
 
Mimi kwa upande wangu ni Active huyu mod yuko vizuri sana, mstaarabu na hana makuu wala majivuno. Nahisi ni yule mzungu kwenye zile post za picha za JF [emoji23][emoji23][emoji1787]

Wambea MUNIKOME [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa wadada namuona ephen_ yuko poa sana kanaonekana kadada kastaarabu halafu kasikivu ridging on how she comments.
Lamomy kadada flan kacheshi,kanapenda masihara ila pia kana matani ya ukweli,kiujumla charming humble girl.
Evelyn Salt huyu mwanamama akili nyingi ila aonekana mbabe.
Lastly kipenzi changu mimi nayempendaga cocastic mwanamke mjanja na mjuaji mpaka kaivuka busara yake,yani kwa alivyo ningelimjua ningelimuweka mke wa pili kama ako single.Maana huwapenda wadada wajanja na wajuaji kupitiliza.

Kwa gentlemen nawaona wafuatao;
Poor Brain
Hammaz
Intelligent businessman
100 others
Proved .
Niko single, naomba nafasi ya kuwa mke wa 2 ipoo, uahindwee wee mwenyewe tyuu.
 
Kama ni Mgeni hapa jeiefu sawa ila kwa wakongwe 90% ya waliotajwa ni MADUME
 
Bhana acha bhana unajua mpaka naanza kutaka kulia atii!?
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].
Unataka kusema coca auza kisamvu cha kopo!?[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji2307][emoji2307]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mnachekeshaa wallah. Khaaaah!!
Seriously??
 
Back
Top Bottom