SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Waabudu mizimu utawajua tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaujua ukweli na wanazijua porojo pia!!Hao watu wanampendaje si tunaambiwa alikuwa anauwa raia na kuwateka? Unataka kuniambia hao hawajui kwamba maelfu ya ndugu na jamaa zao waliyotekwa na kuuliwa kwamba aliyefanya hivyo ni Magufuli au wanajua ila wamempenda hivyo hivyo?
Ujinga tu umekujaa. Na wivuGwajima anafufua watu jamani, tumtumie amfufue kisha 2025 tumuweke agombee
Atashinda kwa kishindo kuliko 2020
Kampeni za 2025 jina lake litatumika kuombea kura (hata wanaombeza leo) kwa kuwa aliyoyafanya ni makubwa sana.Rais ajaye atatokana na Magufuli na yeyote ambaye hajawahi kutaja jina la Magufuli kwa mabaya ana uwezekano mkubwa wa kuwa Rais
Mbna no normal tu hats kilindi cha magu akitajwa jk watu walifurahi sana..
Mentality ya kitz
Acha bangiRais ajaye atatokana na Magufuli na yeyote ambaye hajawahi kutaja jina la Magufuli kwa mabaya ana uwezekano mkubwa wa kuwa Rais
Lakini anapendwa kuliko wa kwako ambao wanalichimbia shimo taifa.@ nduli, mnyama katili, ila alikuwa muwajibikaji mwenye maamuzi ya kukurupuka yaliyoligharimu taifa.
M. V. Kigamboni
Ni kweli kwenye kundi la wajinga wengi wa ccm lazima utaona mambo hayo ya ovyo. Chama kimejaa laana kile... Punde hivi watagawana Jembe na nyundo!View attachment 2454555
Leo tena mfu hapo juu amepokea nderemo za kutosha na zisizo elezeka kutoka kwenye hadhira fulani kila lilipotajwa jina lake. Ajabu!
Ni wazi ipo haja kwa tusiompenda huyo jamaa tujiulize ni wapi anapo tuzidi kete ilihali hayupo nasi ajabu bado nderemo kwake zinazidia zetu tulio hai tena mbele ya walio hai wenzetu.
R.I.P JPM.
Wa kwangu ni wepi hao?Lakini anapendwa kuliko wa kwako ambao wanalichimbia shimo taifa.
Ila Tanzania kuna watu wapumbavu na wengi sanaMagufuli angetakiwa aiongoze Afrika,
Ni zaidi ya rais