Ni mfu, ajabu nderemo zake zina ujazo kuzidi walio hai. Kwanini?

Ni mfu, ajabu nderemo zake zina ujazo kuzidi walio hai. Kwanini?

The Magufuli Legacy

Hakuna shaka wala ubishi kuwa miradi ya kufua umeme Bwawa la Mwl Nyerere na SGR ikianza kazi ni uamuzi wa Magufuli ambao utabaki katika historia ya WaTz ikiwa ni pamoja na kuhamishia Makao Makuu ya nchi Dodoma. Magufuli Legacy
Kweli ujinga ni kipaji.

Hivi hapo cha ajabu ni nini alichokifanya ambacho kilikuwa hakijawahi kufanyika?

1) Hivi TAZARA na reli ya kati siyo reli?

2) Hivi, Mtera, Kidatu, Kihansi, siyo mabwawa?

Jambo pekee alilolifanya ni kuhamishia makao makuu Dodoma, ambalo kwa teknolojia ya Ulimwengu wa sasa, hakuna chochote tutakachoongeza.

Hivyo vingine vyote vilifanyika wakati wa watangulizi wake. Tena walivianzisha na vikakamilika.

Mahaba yakizidi, hufifisha akili. Ukianza kuorodhesha yaliyofanyika wakati wa JPM, kiuhalisia ni machache na madogo kuliko yaliyofanyika wakati wa baadhi ya watangulizi wake.

Kikubwa alichofanikiwa marehemu kuliko mtangulizi wake yeyote, ni kutengeneza kundi kubwa la wajinga wa kumwabudu na kumsifia kwa kila alilolifanya hata likiwa dogo kiasi gani na kulifanya lionekane ni kubwa la ajabu.
 
Sijasema kuwa mimi nina akili, soma tena, nimesema Tanzania kuwa wapumbavu wengi sana. Au umejihisi kuwa na wewe ni miongoni mwao?
Nani kakuuliza kama umesema una akili
Swali: Wewe unahisi una akili
 
Kweli ujinga ni kipaji.

Hivi hapo cha ajabu ni nini alichokifanya ambacho kilikuwa hakijawahi kufanyika?

1) Hivi TAZARA na reli ya kati siyo reli?

2) Hivi, Mtera, Kidatu, Kihatnsi, siyo mabwawa?

Jambo pekee alilolifanya ni kuhamishia makao makuu Dodoma, ambalo kwa teknolojia ya Ulimwengu wa sasa, hakuna chochote tutakachoongeza.

Hivyo vingine vyote vilifanyika wakati wa watangulizi wake. Tena walivianzisha na vikakamilika.

Mahapa yakizidi, hufifisha akili. Ukianza kuorodhesha yaliyofanyika wakati wa JPM, kiuhalisia ni machache na madogo kuliko yaliyofanyika wakati wa baadhi ya watangulizi wake.

Kikubwa alichofanikiwa marehemu kuliko mtangulizi wake yeyote, ni kutengeneza kundi kubwa la wajinga wa kumwabudu na kumsifia kwa kila alilolifanya hata likiwa dogo kiasi gani na kulifanya lionekane ni kubwa la ajabu.
Akili yako ichunguze kama inafanyakazi sawasawa. Hata aliye wahi kuwa rais alikili kuwa huyu mtu ni zaidi ya mtu alafu wewe unasema matope VIP wewe
 
Kweli ujinga ni kipaji.

Hivi hapo cha ajabu ni nini alichokifanya ambacho kilikuwa hakijawahi kufanyika?

1) Hivi TAZARA na reli ya kati siyo reli?

2) Hivi, Mtera, Kidatu, Kihatnsi, siyo mabwawa?

Jambo pekee alilolifanya ni kuhamishia makao makuu Dodoma, ambalo kwa teknolojia ya Ulimwengu wa sasa, hakuna chochote tutakachoongeza.

Hivyo vingine vyote vilifanyika wakati wa watangulizi wake. Tena walivianzisha na vikakamilika.

Mahapa yakizidi, hufifisha akili. Ukianza kuorodhesha yaliyofanyika wakati wa JPM, kiuhalisia ni machache na madogo kuliko yaliyofanyika wakati wa baadhi ya watangulizi wake.

Kikubwa alichofanikiwa marehemu kuliko mtangulizi wake yeyote, ni kutengeneza kundi kubwa la wajinga wa kumwabudu na kumsifia kwa kila alilolifanya hata likiwa dogo kiasi gani na kulifanya lionekane ni kubwa la ajabu.
Watu wajinga wano ubinafsi mwingi na hawathamini haki za binadamu wenzao. Watu wajinga huamini umaskini wao umesababishwa na raia wenzao wenye unafuu kidogo kimaisha. Watu wajinga hufurahia sana watu waliowazidi mali, elimu, madaraka, nk wakiumizwa. JPM aliumiza watu waliomkosoa, wenye utajiri kidogo na wale aliowaona wanamzi usomi, maarifa na upeo. Alijizoelea umaarufu kutoka wajinga wenye roho mbaya, wivu, nk.
 
Kweli ujinga ni kipaji.

Hivi hapo cha ajabu ni nini alichokifanya ambacho kilikuwa hakijawahi kufanyika?

1) Hivi TAZARA na reli ya kati siyo reli?

2) Hivi, Mtera, Kidatu, Kihatnsi, siyo mabwawa?

Jambo pekee alilolifanya ni kuhamishia makao makuu Dodoma, ambalo kwa teknolojia ya Ulimwengu wa sasa, hakuna chochote tutakachoongeza.

Hivyo vingine vyote vilifanyika wakati wa watangulizi wake. Tena walivianzisha na vikakamilika.

Mahapa yakizidi, hufifisha akili. Ukianza kuorodhesha yaliyofanyika wakati wa JPM, kiuhalisia ni machache na madogo kuliko yaliyofanyika wakati wa baadhi ya watangulizi wake.

Kikubwa alichofanikiwa marehemu kuliko mtangulizi wake yeyote, ni kutengeneza kundi kubwa la wajinga wa kumwabudu na kumsifia kwa kila alilolifanya hata likiwa dogo kiasi gani na kulifanya lionekane ni kubwa la ajabu.
[emoji1005] [emoji706]
 
View attachment 2454555

Leo tena mfu hapo juu amepokea nderemo za kutosha na zisizo elezeka kutoka kwenye hadhira fulani kila lilipotajwa jina lake. Ajabu!

Ni wazi ipo haja kwa tusiompenda huyo jamaa tujiulize ni wapi anapo tuzidi kete ilihali hayupo nasi ajabu bado nderemo kwake zinazidia zetu tulio hai tena mbele ya walio hai wenzetu.

R.I.P JPM.
Utendaji kazi wake uligusa kila mtu, hawa waliopo hata wapewe ma phd kama mlima Kilimanjaro hawawezi fikia hata robo ya kazi za huyo mtu. Alikuwa mtu kazi, mtu wa vitendo, sio bla bla wala mipasho. Rest in peace JPM. Shujaa wa Africa yote.
 
Back
Top Bottom