Ni mfu, ajabu nderemo zake zina ujazo kuzidi walio hai. Kwanini?

Ni mfu, ajabu nderemo zake zina ujazo kuzidi walio hai. Kwanini?

Pale walijaa vijana wa ccm wengi na jezi zao,what if wamewapa mnacho kitaka? Nimewaza tu kwa nje ya boksi
 
Magufuli angetakiwa aiongoze Afrika,

Ni zaidi ya rais

Huko nchi nyingine za Afrika kungekuwa na waoga wa kumuogopa yeye kupora uchaguzi ili akae madarakani?
 
Huko nchi nyingine za Afrika kungekuwa na waoga wa kumuogopa yeye kupora uchaguzi ili akae madarakani?
Ni nchi gani , Demokrasia ilileta maendeleo

Demokrasia ni sehemu ya ulaji , ya wapinzania kwa huku Afrika
 
Ni nchi gani , Demokrasia ilileta maendeleo

Demokrasia ni sehemu ya ulaji , ya wapinzania kwa huku Afrika
Kama demokrasia haileti maendeleo, basi Afrika ndio ilitakiwa iwe na maendeleo sana, maana demokrasia yake ni tatizo.
 
Alishangiliwa na watu wa namna gani? Maana Afrika wajinga na wasio na akili ni wengi kuliko wenye akili.

Fikiria huko Uganda, hakuna Rais aliyewahi kubebwa na kushangiliwa kama Idd Amin Dada. Wewe unafikiri Afrika limekuwa bara la giza kwa bahati mbaya? Giza linaanzia vichwani mwa walio wengi.

Si ulishuhudia hapa kwetu kuna wakati shetani alitoa amri Lisu auawe kwa risasi, na kweli alitandikwa risasi. Kila mwenye akili Duniani alisikitika, lakini kuna Watanzania walishangilia na kumsifu muuaji eti ni kiongozi jasiri.

Shangilio la mwenye akili huashiria ubora lakini shangilio la mwendawazimu huashiria aibu.
Wewe umekuwa mzungu lini?

Bongo bhana!!
 
Kama demokrasia haileti maendeleo, basi Afrika ndio ilitakiwa iwe na maendeleo sana, maana demokrasia yake ni tatizo.
China , Libya , Singapore , Russia nazo ni Afrika?
 
Kweli ujinga ni kipaji.

Hivi hapo cha ajabu ni nini alichokifanya ambacho kilikuwa hakijawahi kufanyika?

1) Hivi TAZARA na reli ya kati siyo reli?

2) Hivi, Mtera, Kidatu, Kihatnsi, siyo mabwawa?

Jambo pekee alilolifanya ni kuhamishia makao makuu Dodoma, ambalo kwa teknolojia ya Ulimwengu wa sasa, hakuna chochote tutakachoongeza.

Hivyo vingine vyote vilifanyika wakati wa watangulizi wake. Tena walivianzisha na vikakamilika.

Mahapa yakizidi, hufifisha akili. Ukianza kuorodhesha yaliyofanyika wakati wa JPM, kiuhalisia ni machache na madogo kuliko yaliyofanyika wakati wa baadhi ya watangulizi wake.

Kikubwa alichofanikiwa marehemu kuliko mtangulizi wake yeyote, ni kutengeneza kundi kubwa la wajinga wa kumwabudu na kumsifia kwa kila alilolifanya hata likiwa dogo kiasi gani na kulifanya lionekane ni kubwa la ajabu.
Unachuki za kijinga sana we Dada
 
View attachment 2454555

Leo tena mfu hapo juu amepokea nderemo za kutosha na zisizo elezeka kutoka kwenye hadhira fulani kila lilipotajwa jina lake. Ajabu!

Ni wazi ipo haja kwa tusiompenda huyo jamaa tujiulize ni wapi anapo tuzidi kete ilihali hayupo nasi ajabu bado nderemo kwake zinazidia zetu tulio hai tena mbele ya walio hai wenzetu.

R.I.P JPM.
Thamani ya mtu huwa haionekani mpaka yule mtu anapokua hayupo miongoni mwa wale waliomtoa thamani.

Kwa sisi tulio ona thamani yake tokea mwanzo wa uongozi wa Magufuli, pamoja na mapungufu yake tumeona tumepoteza kama taifa tuna isio na mfano kwa nyakati zetu hizi.
Hatuwezi kulaumu sana au kuhuzunika sana sana kwa sababu kusudi la Mungu kwetu sote hakuna ajuaye.

Tunachoweza kusema asante Mungu kwa taifa hili la Tanzania, asante kwa kiongozi mwasisi wa taifa hili na viongozi walio muandama, lakini asante za kipekee kwa uongozi na huduma ya Magufuli katika taifa hili kwa nyakati zetu, asante pia kwa maisha yake, yeye ndie alie mjua kabla yetu hadi sisi tunamjua na kuona kilicho ndani yake na alipo ona imetosha kwa uwepo wake, tuna mshukuru sana.
Asante pia kwa uongozi ulipo sasa, Mungu tuonee huruma maana wewe ndie ujuaye dhamiri na nia na makusudio ya mtu, naamini wakati mmoja nasi kama taifa tutainuka na kusema asante kwa kua leo ni bora kuliko jana.
 
Akili yako ichunguze kama inafanyakazi sawasawa. Hata aliye wahi kuwa rais alikili kuwa huyu mtu ni zaidi ya mtu alafu wewe unasema matope VIP wewe
Huyo Bams ana akili vizuri tu ila shida yake ana wivu kama demu mcharuko.
JPM kashangiliwa huko yeye anakuja huku jf na maneno ya mipasho.

Kwani wahudhuriaji walizuiliwa kuwashangilia viongozi wote wengine na kulazimishwa kumshangilia Magu!?
 
Alishangiliwa na watu wa namna gani? Maana Afrika wajinga na wasio na akili ni wengi kuliko wenye akili.

Fikiria huko Uganda, hakuna Rais aliyewahi kubebwa na kushangiliwa kama Idd Amin Dada. Wewe unafikiri Afrika limekuwa bara la giza kwa bahati mbaya? Giza linaanzia vichwani mwa walio wengi.

Si ulishuhudia hapa kwetu kuna wakati shetani alitoa amri Lisu auawe kwa risasi, na kweli alitandikwa risasi. Kila mwenye akili Duniani alisikitika, lakini kuna Watanzania walishangilia na kumsifu muuaji eti ni kiongozi jasiri.

Shangilio la mwenye akili huashiria ubora lakini shangilio la mwendawazimu huashiria aibu.
Matope kweli wewe
 
Hao watu wanampendaje si tunaambiwa alikuwa anauwa raia na kuwateka? Unataka kuniambia hao hawajui kwamba maelfu ya ndugu na jamaa zao waliyotekwa na kuuliwa kwamba aliyefanya hivyo ni Magufuli au wanajua ila wamempenda hivyo hivyo?
Watu wanajaribu kifuta au kuua legacy, but is it possible? Legacy inaonekana utaiondoaje machoni? Hao wanaojaribu kuua au kufuta legacy ndio wanasababisha Mungu wa Mbinguni aadhibu nchi. Ona vifo visivyoezeka, ukame wa ajabu, ajali zisizokuwa za kawaida wala kufikirika etc. Haya ni mapigo tu. TUTUBU KWA NIABA YA VIONGOZI WANAOBEZA NA KWA TAIFA LA TZ.
 
Kweli ujinga ni kipaji.

Hivi hapo cha ajabu ni nini alichokifanya ambacho kilikuwa hakijawahi kufanyika?

1) Hivi TAZARA na reli ya kati siyo reli?

2) Hivi, Mtera, Kidatu, Kihatnsi, siyo mabwawa?

Jambo pekee alilolifanya ni kuhamishia makao makuu Dodoma, ambalo kwa teknolojia ya Ulimwengu wa sasa, hakuna chochote tutakachoongeza.

Hivyo vingine vyote vilifanyika wakati wa watangulizi wake. Tena walivianzisha na vikakamilika.

Mahapa yakizidi, hufifisha akili. Ukianza kuorodhesha yaliyofanyika wakati wa JPM, kiuhalisia ni machache na madogo kuliko yaliyofanyika wakati wa baadhi ya watangulizi wake.

Kikubwa alichofanikiwa marehemu kuliko mtangulizi wake yeyote, ni kutengeneza kundi kubwa la wajinga wa kumwabudu na kumsifia kwa kila alilolifanya hata likiwa dogo kiasi gani na kulifanya lionekane ni kubwa la ajabu.
Huoni aibu??
 
Back
Top Bottom