As you heard when licking her assThat’s not what your mother said last night
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
As you heard when licking her assThat’s not what your mother said last night
Hi sonAs you heard when licking her ass
Kwa hiyo kuna watu wana uhitaji wa hotuba hizo.Ndio!
Mtu unapewa nafasi ya kusema kero kwa rais alafu unakuka na habari ya kuomba mahala pa kuweka mavi yako?
Hello ass licker!Hi son
Suzy ngoja nikwambie wapi mlikosea; kosa lenu ni kwamba mlianza kumponda mapema sana wakati watu walikuwa na maumivu ya kuondoka kwake. Alikuwa bado kipenzi cha watu, nyie mkaanza kumrushia madongo, mkawaumiza zaidi watu. Laiti mngejipa muda ili maumivu ya myoyo ya watu yapungue, labda hali ingekuwa tofauti.Ni wazi ipo haja kwa tusiompenda huyo jamaa tujiulize ni wapi anapo tuzidi kete ilihali hayupo nasi ajabu bado nderemo kwake zinazidia zetu tulio hai tena mbele ya walio hai wenzetu.
R.I.P JPM.
Falsafa zake zipo mioyoni mwa watu, watu walimpenda sana,ila huyu bibi(phD) apendwa na walamba asali na wazandiki tu.View attachment 2454555
Leo tena mfu hapo juu amepokea nderemo za kutosha na zisizo elezeka kutoka kwenye hadhira fulani kila lilipotajwa jina lake. Ajabu!
Ni wazi ipo haja kwa tusiompenda huyo jamaa tujiulize ni wapi anapo tuzidi kete ilihali hayupo nasi ajabu bado nderemo kwake zinazidia zetu tulio hai tena mbele ya walio hai wenzetu.
R.I.P JPM.
Ok.Hello ass licker!
Da chuma aka jembe aka jiwe,utadhani bado yupo hai, Mungu azidi kumpa pumziko la milele mwamba huyu wale wazee wazuri walamba asali pamoja na familia zao bado wanapata taabu sana juu yake. Kila wakijaribu kumpaka matope ndio kwanza wanajikaanga wenyewe kwa mafuta yao. Si ajabu watu wa kariba ya mwamba huyu akina Sankala ,Samora ,Nyerere bado watakumbukwa kwa vizazi na vizazi lakini wale walamba asali wanakumbukwa tu pale wanapoleta vichekesho kwenye mikutano ya vyama, hata watototo wao nao wamekuwa kama baba zao, kutwa kujaribu kumpaka matope mwamba huyu lakini nao ndio wanazidi kuwa vichekesho kwenye umma wa Watanzania kama walivyo baba zao walamba asali.View attachment 2454555
Leo tena mfu hapo juu amepokea nderemo za kutosha na zisizo elezeka kutoka kwenye hadhira fulani kila lilipotajwa jina lake. Ajabu!
Ni wazi ipo haja kwa tusiompenda huyo jamaa tujiulize ni wapi anapo tuzidi kete ilihali hayupo nasi ajabu bado nderemo kwake zinazidia zetu tulio hai tena mbele ya walio hai wenzetu.
R.I.P JPM.
Sijuia Nepi na mwenzake mtoto wa mlamba asali wanajisikiaje pale mwendazake anaposhangiliwa akitajwa pamoja na kuwa hayupo nasi.The Magufuli Legacy
Hakuna shaka wala ubishi kuwa miradi ya kufua umeme Bwawa la Mwl Nyerere na SGR ikianza kazi ni uamuzi wa Magufuli ambao utabaki katika historia ya WaTz ikiwa ni pamoja na kuhamishia Makao Makuu ya nchi Dodoma. Magufuli Legacy
Wewe no hasara kwa nchi na ukoo wenu@ nduli, mnyama katili, ila alikuwa muwajibikaji mwenye maamuzi ya kukurupuka yaliyoligharimu taifa.
M. V. Kigamboni
💯 💯 Mkuu, mtaani Hali ni tofauti. Huwa najiuliza hawa wanaomponda JPM. JF Wanaishi wapi?Magufuli anachukiwa saaaana JF kuliko huko mitaani na mitandao mingine kama twitter, instagram, facebook na platforms nyingine.
Naanza kuhisi kuna IDs zimetengenezwa humu nyingi na mabwanyenye za kumchafua. Cha ajabu huko mtaani hali ni tofauti. Ukitaka uonekane mbaya muongelee vibaya huyu marehem mtaani uone kitakachokukuta.
Huyu jamaa sikuwa najua kama ni wakike.Ukijifungua hilo gubu dhidi ya JPM litakwisha na utakuwa busy kulea kichanga chako
We jamaa nishakuona kama tahira flani hivi.Zile za kubaki na mavi yako nyumbani?
Huyo ni raisi wa wanyonge na masikini na hii nchi masikini wengi na wanyonge.View attachment 2454555
Leo tena mfu hapo juu amepokea nderemo za kutosha na zisizo elezeka kutoka kwenye hadhira fulani kila lilipotajwa jina lake. Ajabu!
Ni wazi ipo haja kwa tusiompenda huyo jamaa tujiulize ni wapi anapo tuzidi kete ilihali hayupo nasi ajabu bado nderemo kwake zinazidia zetu tulio hai tena mbele ya walio hai wenzetu.
R.I.P JPM.
Mimi sio hasara kwa nchi na ukoo wangu. Asante kwa kunibariki. Napokea baraka yangu ya kufungia mwaka na kufungua mwaka 2023Wewe no hasara kwa nchi na ukoo wenu
Ni yupi mwenye upeo mdogo? Wewe unayetaka Magufuli apendwe na watu wote ilhali Mungu mwenyewe wapo waliomchukia wakamuasi. Au mimi ambaye sikupenda ukatili na ukiukaji wa haki za kibinadamu uliokuwa ukifanyika kipindi cha utawala wake?Una upeo mdogo sana ktk kupambanua mambo