Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
Kumbuka mkutano ulikuwa sebuleni kwa mkwere. Ungekuwa kwa sukuma gang si ardhi ingepasuka kabisa. Vilaza wa ccm wangekuwa wajanja wange accept legacy ya huyu mwamba. Ma k jr walivyolipuka aligeuka kama anakula limao ilochanganywa na nyanya chunguWale washangiliaji wa leo walikuwa ni sukumagang; ha ha ha. Makamanda uchwara kazi mnayo.