010101
Senior Member
- Dec 12, 2022
- 168
- 370
Unahisi una akili?Ila Tanzania kuna watu wapumbavu na wengi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unahisi una akili?Ila Tanzania kuna watu wapumbavu na wengi sana
View attachment 2454555
Leo tena mfu hapo juu amepokea nderemo za kutosha na zisizo elezeka kutoka kwenye hadhira fulani kila lilipotajwa jina lake. Ajabu!
Ni wazi ipo haja kwa tusiompenda huyo jamaa tujiulize ni wapi anapo tuzidi kete ilihali hayupo nasi ajabu bado nderemo kwake zinazidia zetu tulio hai tena mbele ya walio hai wenzetu.
R.I.P JPM.
Shangwe za marehemu tu hizo.Leo tena mfu hapo juu amepokea nderemo za kutosha na zisizo elezeka kutoka kwenye hadhira fulani kila lilipotajwa jina lake. Ajabu!
Lilikuwa shamba Sana hili jamaa. Lilipenda sifa za kitoto mnoooo!
Alishangiliwa na watu wa namna gani? Maana Afrika wajinga na wasio na akili ni wengi kuliko wenye akili.View attachment 2454555
Leo tena mfu hapo juu amepokea nderemo za kutosha na zisizo elezeka kutoka kwenye hadhira fulani kila lilipotajwa jina lake. Ajabu!
Ni wazi ipo haja kwa tusiompenda huyo jamaa tujiulize ni wapi anapo tuzidi kete ilihali hayupo nasi ajabu bado nderemo kwake zinazidia zetu tulio hai tena mbele ya walio hai wenzetu.
R.I.P JPM.
Atakuwa Rais wa wajinga.Rais ajaye atatokana na Magufuli na yeyote ambaye hajawahi kutaja jina la Magufuli kwa mabaya ana uwezekano mkubwa wa kuwa Rais
Lione lilivyovimbiana tumbo hapo sofani sebuleni kwa shemeji yako baada ya kubugia viporo vya kandeRais ajaye atatokana na Magufuli na yeyote ambaye hajawahi kutaja jina la Magufuli kwa mabaya ana uwezekano mkubwa wa kuwa Rais
Waovu huwa ni wengi kuliko watu wema. Waovu hawatakosa kumpenda mwovu mwenzao.Hiki chuma ni kama kilishushwa direct kutoka mbinguni, kinapendwa mno
@ nduli, mnyama katili, ila alikuwa muwajibikaji mwenye maamuzi ya kukurupuka yaliyoligharimu taifa.
M. V. Kigamboni
Unakuwa chawa mpaka unanukaGwajima anafufua watu jamani, tumtumie amfufue kisha 2025 tumuweke agombee
Atashinda kwa kishindo kuliko 2020
Lakini si unafahamu jinsi alivyominya haki ya kupata habari? Hao wote ni watumwa wa ujinga uliotokana na kunyimwa haki yao ya kujua ukweli juu ya uovu aliokuwa akiutendeka.Hao watu wanampendaje si tunaambiwa alikuwa anauwa raia na kuwateka? Unataka kuniambia hao hawajui kwamba maelfu ya ndugu na jamaa zao waliyotekwa na kuuliwa kwamba aliyefanya hivyo ni Magufuli au wanajua ila wamempenda hivyo hivyo?
Sasa hata ushangilie vipi mfu hauwezi kukusaidia kitu.Kashangiliwa mpaka wameona aibu
Hawezi kubali kufufuka kurudi kwa wanafiki wa kiwango chetu...Gwajiboi si huwa anafufua watu mwambieni amfufue
Labda wajinga ndio watatumiaKampeni za 2025 jina lake litatumika kuombea kura (hata wanaombeza leo) kwa kuwa aliyoyafanya ni makubwa sana.
Itakaposemwa hitoria ya Tanzania bado JPM atatajwa, Mungu hadhihakiwi wala hana ushirika na mwanadamu, kila tendo la mwanadamu baya au zuri yeye hulihifadhi na kuipa haki yake...Cheza na vingine siyo haki ya mwanadamu...Uliza kwanini hatuwakumbuki marais wote wa Africa isipokuwa akina Patrice Lumumba, Kwame Nkurumah n.k?Ni Miaka 2 sasa, lakini hakuna siku Magufuli hajatajwa.
He was great
Sijasema kuwa mimi nina akili, soma tena, nimesema Tanzania kuwa wapumbavu wengi sana. Au umejihisi kuwa na wewe ni miongoni mwao?Unahisi una akili?
Unatesekea mitaa ya wapi? Utapata cancer kwa chuki hiyo, shame upon your face!Lakini si unafahamu jinsi alivyominya haki ya kupata habari? Hao wote ni watumwa wa ujinga uliotokana na kunyimwa haki yao ya kujua ukweli juu ya uovu aliokuwa akiutendeka.