Ni mfu, ajabu nderemo zake zina ujazo kuzidi walio hai. Kwanini?

Mwamba from Chato muda huu angekuwa Chato na watumishi mngekuwa mshakura mishahara yenu mpo kujiandaa kwa X Mass, ila hawa warabu wa zanzibar hawajui x Mass nini mpaka mda huu watumishi mnapiga mihayo tu wameondoa mazoea mliyozoeweshwa 😂😂😂
 
Magufuli anachukiwa saaaana JF kuliko huko mitaani na mitandao mingine kama twitter, instagram, facebook na platforms nyingine.

Naanza kuhisi kuna IDs zimetengenezwa humu nyingi na mabwanyenye za kumchafua. Cha ajabu huko mtaani hali ni tofauti. Ukitaka uonekane mbaya muongelee vibaya huyu marehem mtaani uone kitakachokukuta.
 
Ni kweli kwenye kundi la wajinga wengi wa ccm lazima utaona mambo hayo ya ovyo. Chama kimejaa laana kile... Punde hivi watagawana Jembe na nyundo!
 
Nakusikitikia hukijui chama chetu wewe!
Mwanachama mwenye elimu ya chini kabisa, ana Bachelor ya unafiki!
Kuna wengi walishangiliwa na wajumbe na bado wakapata kura moja! Muulize Mwijaku...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…