Ni mikoa gani pisi kali za kichotara zinapatikana

Ni mikoa gani pisi kali za kichotara zinapatikana

Pisi kali.jpg

Ndo umekutana na kitu kama hichi, ebu niambieni kamati kuu...
 
Eh! Apo unguja unafanywa mtaji wa tozo sio? Pemba nafuu kidogo lakini kwa spidi iyo, naona yanaeza tokea yale ya ule jamaa wa Mwanza.
haaa haaa haaa ila sasa madada wa huku akishaona kakukamua vya kutosha,kakuchoka na ameshtuka umeanza kuishiwa anawahi pemba tuu unapigwa kitu unakuwa kanyaboya huekewi mmiliki mwingine anashika hatamu.
Huku talaka kitu cha kawaida sanaaa na mwanamke kuolewa mara nyingi hujisifu anabahatii
 
haaa haaa haaa ila sasa madada wa huku akishaona kakukamua vya kutosha,kakuchoka na ameshtuka umeanza kuishiwa anawahi pemba tuu unapigwa kitu unakuwa kanyaboya huekewi mmiliki mwingine anashika hatamu.
Huku talaka kitu cha kawaida sanaaa na mwanamke kuolewa mara nyingi hujisifu anabahatii
Mbona tabu ii muheshimiwa...kwa hiyo visiwani ni pisi ndo zinaamua mfumo!!! Mateso ayo...dah!
 
Njoo Tabora anzia pale Bukene au Njoo Mwanza kule Kayenze zipo tele.😁.
 
Wakuu, kwa wale walioniambia nitafute hela....kusema ukweli mmesema ukweli. Hiyo haina ubishi.

Kwa wale walioangusha ma location kama yote humu...kaeni mkao...mirejesho inakuja.

Ngoja kwanza nkatafute hela asee.
 
Back
Top Bottom