Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787]Mkuu, wapi huku nimewaambia hali yangu ya kiuchumi?
[emoji1787]Duh! HAO HAPANA!! HERI NIOE MTI
Mkuu dadavua kidogo hapa...; pande zipi za Tanga...Pale pale mjini? Chumbageni, Raskazone, Mabawa, Makorora ama..??? Mwaga Data Mkuu...Factors determine the price of a commodity: demand and supply; the higher the supply the lower the price
Ukitaka the higher the supply the lower the price nenda Tanga kuna wale wanaitwa Waburushi watoto wakali kinyama shombeshombe wale. Niliwahi mega pisi mbili nikiwa Tanga.
Nakushauri tembelea huko, utakuja kunishukuru baadaye
Asee! Izi pisi chotara za kishua! Weeeh! acha tu, true love asee! yule nilikua nae bana si akaondoka kwenda chuo ulaya afu anarudi home mwezi mmoja kwa mwaka, na uo mwezi ni wiki kadhaa tu, likizo zingine anauma uko uko kwa ndugu zake ulaya....pumbavvv mimi si mwaka wa tatu nikawa nimeeka "in a relationship with" na pisi ingine ya kienyeji kwenye facebook! Wuuueeeeeh! Alikasirika ni kama tumeoana. Kipindi iyo najiona mi ndo 50 cent...G-G-G-unit. Nauguzaga machungu mpaka leo kimya kimya, lakini nakaushaga tu.Za kiswazi Miyeyusho kichizi, mie nshakula pisi Bee nikiwa Mo Town.
Ni zile O.5 zilizonyooka yani manzi ni mkali af yuko real na muhuni yani typical kama mtasha tu kujiachia akiwa na wewe anytime wala hamuwazi mtu full mapendo.
So far sijawahi kuwa kwenye peak ya feelings za upendo kama ambavyo nilikuwa na hizo pisi. Haijawahi tokea experience is amazing bruhv!!!
Sasa mwarabu wa kitanga, anataka starehe za million 2-3 ndio anaona umemfikisha. Na wakati wote anataka hela laki 2-3 lazma awe unamtumia ili kushikilia penzi.
🤣🤣🤣 dah! Apo pemba kama ni wife material, haina noma mkuu... huko ntaenda nikiwa na miaka 80 ivi, kwa sasa nimejiunga na jumuiya ya wasiooa...kwa iyo dah! Niko njia panda.Zanzibar hapa;
Wa Unguja wanapenda sana pesa...yaani ukiwa nazo utapewa chochote utakacho mkuu
Wa kipemba; hawa wanapenda saana ndoa,yaani ukienda kule nenda kwa dhumuni la kuoa lakini ugegede usepe maaaweee watakumimba hukohuko ulipo
Sawa sawa mkuu, Tanga mpaka sasa naona wanaongoza ligi kuu, ila naskia wanacheza rafu sana!!!TANGA, TABORA, MTWARA, SINGIDA, LINDI, PWANI (BAGAMOYO), na ZANZIBAR huko utakutana nao wa kutosha, Chotara za kizungu na Waarabu ndio home kwao huko.
Mkuu, dah! Naelewa una machungu mkuu... nikikuuliza mkoa upi uo naona unaeza ata ukaua mtu.Nenda mkoa wa TOZO utawapata
Watafiti wanasema tabia yako na umasikini wako unaweza kugunduliwa kwa sek 30 tu, kwa kuangalia mpangilio wa muandiko wako.Asee! Izi pisi chotara za kishua! Weeeh! acha tu, true love asee! yule nilikua nae bana si akaondoka kwenda chuo ulaya afu anarudi home mwezi mmoja kwa mwaka, na uo mwezi ni wiki kadhaa tu, likizo zingine anauma uko uko kwa ndugu zake ulaya....pumbavvv mimi si mwaka wa tatu nikawa nimeeka "in a relationship with" na pisi ingine ya kienyeji kwenye facebook! Wuuueeeeeh! Alikasirika ni kama tumeoana. Kipindi iyo najiona mi ndo 50 cent...G-G-G-unit. Nauguzaga machungu mpaka leo kimya kimya, lakini nakaushaga tu.
Mmhhh kumbe uswahili ilikuja na kiarabu! Dah! Nchi yetu hii...kumbe apo Tanga ni kitu cha Mandonga...kuvamia mtungi wa vibwengo bana.
Ahsante mkuu, natumai umepokea mgawanyo wako wa wimbo wa taifa hapo COSOTA. Ntawaambia na wakupe uwe msemaji wao kabisa.nchi ya zanzibar, pemba.. lindi baadhi ya sehemu, sikinge tabora, shinyanga
Asee...nakazia humu humu. Alete rasimu kama ya warioba.Mkuu dadavua kidogo hapa...; pande zipi za Tanga...Pale pale mjini? Chumbageni, Raskazone, Mabawa, Makorora ama..??? Mwaga Data Mkuu...
Sema za shinyanga chawi chawi kinomaaa, najuta kuzi fahaaamu, waburush sio kabisa wanyama waleAhsante mkuu, natumai umepokea mgawanyo wako wa wimbo wa taifa hapo COSOTA. Ntawaambia na wakupe uwe msemaji wao kabisa.
Kuna pisi ya kiarabu(sio chotara) tulikuwa friends kawaida tu na imetoka Shinyanga!!!
Sasa nikawa nashangaa dah! Asee...ahsante mkuu.
Sawa mkuu, mchango wako ni muhimu pia.Watafiti wanasema tabia yako na umasikini wako unaweza kugunduliwa kwa sek 30 tu, kwa kuangalia mpangilio wa muandiko wako.
Dah! Wanyama? Wakoje wakoje mkuu? Maanake ripoti nilizopata awali... sifa tupu.Sema za shinyanga chawi chawi kinomaaa, najuta kuzi fahaaamu, waburush sio kabisa wanyama wale
Ukukutana na mambo yakichawi na kupeana limbwata?Factors determine the price of a commodity: demand and supply; the higher the supply the lower the price
Ukitaka the higher the supply the lower the price nenda Tanga kuna wale wanaitwa Waburushi watoto wakali kinyama shombeshombe wale. Niliwahi mega pisi mbili nikiwa Tanga.
Nakushauri tembelea huko, utakuja kunishukuru baadaye
Wabaya sana ikija kwenye swala la mali na utajiri, 🥹🥹🥹 mengine wapo powa ila hapo kwenye pesa na utajiri kao nao mbali sio watu wazuriDah! Wanyama? Wakoje wakoje mkuu? Maanake ripoti nilizopata awali... sifa tupu.
Kwa iyo pisi za kichotara apo shinyanga ni unapigwa kizungu mkuti ya hatari?