Ni mikoa gani pisi kali za kichotara zinapatikana

Ni mikoa gani pisi kali za kichotara zinapatikana

🤣🤣🤣 dah! Apo pemba kama ni wife material, haina noma mkuu... huko ntaenda nikiwa na miaka 80 ivi, kwa sasa nimejiunga na jumuiya ya wasiooa...kwa iyo dah! Niko njia panda.
Sasa apo Pemba unasema ni wafilisti tupu(yani watakufilisi)....au wakikucheki kama mpunga umekaa poa na wamekuelewa ndio unapewa usajili.
Pemba ni kwamba hawana mambo mengi wao nia yako uoe tuu ila sasaa ukishao mzee ndugu watakuwa wanapishana tuu kwako afu usafi sifurii.
Wafilisti ni waunguja mademu wanashinda ndani muda woote kazi hawataki kufanya wao shughuli tuu ndo kazi yao twgemeo lao kubwa wanaume
 
Nenda Rujewa Mbeya wapo wa kutosha. Ukienda Madibira, Waburushi utawakuta wanalima mpunga na magurumeru. Pisi kali za kiajemi nywele mpaka kiunoni
Oyooooo....ahsante mkuu kwa kueleza sehemu husika! Ulivyosema kiajemi, nywele mpaka kiunoni...nimejiskia kulipa tozo mara mbili mbili.
Shukrani sana muheshimiwa mbunge.
 
Tuendelee kuvimba migodi na ku discover the hidden treasures... So far Tanga Yuko juu kwene msimamo wa ligi..

Nasisitiza toka nakua niliambiwa Hawa watu wana patikana Sana rudewa ... Uko uko Ni clean Gold ... Mali Safi jiwe uzito wa enock laizer... Kitu na box ... Box na kitu

Pure Diamond ... Ruby na Tanzanite Ilo kolea inabaki kwa watt was kishua.. izi zingine Ni kukumbatia bomu anytime linakulipukia.


Haya endeleni kutupa machimbo.
Ahsante muheshimiwa,
Muda si mrefu ii hoja itapitishwa iwe sheria kabisa.

Tanga mpaka sasa ndo top scorer ligi kuu...kitu cha Mayele.
 
Pemba ni kwamba hawana mambo mengi wao nia yako uoe tuu ila sasaa ukishao mzee ndugu watakuwa wanapishana tuu kwako afu usafi sifurii.
Wafilisti ni waunguja mademu wanashinda ndani muda woote kazi hawataki kufanya wao shughuli tuu ndo kazi yao twgemeo lao kubwa wanaume
Eh! Apo unguja unafanywa mtaji wa tozo sio? Pemba nafuu kidogo lakini kwa spidi iyo, naona yanaeza tokea yale ya ule jamaa wa Mwanza.
 
Back
Top Bottom