Ni mikoa gani pisi kali za kichotara zinapatikana

Ni mikoa gani pisi kali za kichotara zinapatikana

Mzee baba ahsante kwa kufafanua kabisa maanake huku supply ni kidogo so prices ni astronomical na absurd sana.

Tanga ndio nilipanga kufika hizo sekta baada ya kupata takwimu, nikasema kwa nini nisipige tour kabisa kupata variety.

Afu shukran sana kwa kuspecify kabisa....ntakuletea mrejesho.

Ntaongea na kamati kuu wakupe ile project ya kusmamia bandari ya Tanga mpango ukikaa.
Piga tour mzee baba pande za Tanga hautajuta

Fanya hivyo mwanetu ongea na kamati kuu nipigie pande la bandari hiyoo tukusanye pisi za Kiburushi kama zote 🤣🤣🤣
 
Ndo maana nikasema, pisi zinazojielewa. Apo sasa wewe unawasemea kina Paula.... overpriced mkuu. Kuna pisi unaiangalia ivi, unashindwa kufikiria...alafu wala haina uswahili mwingi. Ni wewe na kiswahili yako, afu kama una future nzuri...mnaanzia hapo.

Alafu kama unamlipia demu unaemla photoshoot, dah! Upelekwe mirembe...
Ndo maana nimekwambia hao hauwawezi.life style yao wanapenda maisha ya hali ya juu.kukuomba laki laki 2kila wiki kwao ni kawaida.haijalishi utagonga au haugongi hayo ni matumizi yake tu
 
Nipe na mie,nikakunywe pombe nilewe niendeshe baiskeli nigonge bodaboda zote.
Weeh sema mkoa nikitimba hapo nikutafute mwana JF mwenzangu....
Kupewa upewe.
Wanaboda boda watakachokufanyia nisilaumiwe.
 
Tatizo la colorism

Wewe unachagua na kupenda watu sababu ya ngozi ya rangi zao zilivyo nyeupe

Ila ipofika wewe kubaguliwa sababu ya ngozi yako unaanza kulia na kutoa maneno ya laana

Yaani mawadamu sisi ni mapumbavu sana,tena.....huu ni mfano wazi kabisa!
Point kali sana hii, nashkuru kwa maoni yako.

Personally sina shida jamaa mweupe akisema anapenda pisi nyeusi, kumaanisha sina colorism. Ila kwa nini wao wasipende pisi nyeusi kama sisi tunavyopenda nyeupe. Sisi weusi kupenda pisi nyeupe ni ishara tosha hatuna ishu. It is in nature to go for that which is different/opposite from you...yani what you dont have. Thats why men go for women, short women like tall men....n.k

So kawaulize ao wa upande mwingine mkuu. Mimi kama mimi, sina noma na pisi yoyote kali, ila preference yangu ndo hiyo.
 
Piga tour mzee baba pande za Tanga hautajuta

Fanya hivyo mwanetu ongea na kamati kuu nipigie pande la bandari hiyoo tukusanye pisi za Kiburushi kama zote 🤣🤣🤣
Usiwaze...ngoja apo wizara ya fedha wapitishe uo mswada.

Tanga nishaiweka kwenye list....so far ndo wanaongoza bila kushindwa mpaka sasa ligi kuu bara.
 
Hao watoto wako maeneo ambayo wazungu waliweka makazi enzi za ukoloni. Au karibu na agencies za kimataifa kama Ubalozini.

Kwa mfano Arusha watoto wa design hio ni wengi, Moshi pia wapo wapo. Morogoro napo wapo kiaina. Hizo nazungumzia zile chotara OG!Unakuta familia iko njema mtoto akikuzimia anakuwa na wewe kwa upendo kamili sio kupigana mizinga.

Chotara za kiswazi ziko Dar, Tanga,Singida, Tabora hao ndio lazma upasuke haswa!
 
Ndo maana nimekwambia hao hauwawezi.life style yao wanapenda maisha ya hali ya juu.kukuomba laki laki 2kila wiki kwao ni kawaida.haijalishi utagonga au haugongi hayo ni matumizi yake tu
Braza, inaonekana pisi unazokutana nazo zinakurudisha nyuma sana. Kunywa maji ya Mwamposa mkuu... alafu badilisha mazingira ujionee. Kwa kifupi, umezoea kudeal na ma liar. Bora ata ukachukue malaya kabisa uokoe matumizi.
 
Hao watoto wako maeneo ambayo wazungu waliweka makazi enzi za ukoloni. Au karibu na agencies za kimataifa kama Ubalozini.

Kwa mfano Arusha watoto wa design hio ni wengi, Moshi pia wapo wapo. Morogoro napo wapo kiaina. Hizo nazungumzia zile chotara OG!Unakuta familia iko njema mtoto akikuzimia anakuwa na wewe kwa upendo kamili sio kupigana mizinga.

Chotara za kiswazi ziko Dar, Tanga,Singida, Tabora hao ndio lazma upasuke haswa!
Wakuu, nafkiri mpaka sasa mtakuwa mmemuelewa waziri wetu wa mambo ya nje alivyosema, na pia alivyo fafanua.

Arusha nina experience nao, na ni kweli unavyosema...sema sasa ni mpaka ma likizo ya vyuo vya nje. Wengi tunaofahamiana wanasoma ulaya bwuana...

Kumbe za kiswazi miyeyusho?
 
Aminia kiongozi natumaini Mwigulu ataipitisha tu. Tanga ndo habari sasa
Waziri wetu wa mambo ya nje muheshimiwa Extrovert kasema za Tanga ni za kiswazi maanake, lazma mtu apigwe mizinga, hivi ni kweli?
Kwamba haitapatikana inayojielewa na inajua inataka nini...kama ni kusaidiana, na kupendana, ni mambo ya msingi sio mizinga kama tumefiwa na raisi mstaafu.
 
Wakuu, nafkiri mpaka sasa mtakuwa mmemuelewa waziri wetu wa mambo ya nje alivyosema, na pia alivyo fafanua.

Arusha nina experience nao, na ni kweli unavyosema...sema sasa ni mpaka ma likizo ya vyuo vya nje. Wengi tunaofahamiana wanasoma ulaya bwuana...

Kumbe za kiswazi miyeyusho?
Za kiswazi Miyeyusho kichizi, mie nshakula pisi Bee nikiwa Mo Town.

Ni zile O.5 zilizonyooka yani manzi ni mkali af yuko real na muhuni yani typical kama mtasha tu kujiachia akiwa na wewe anytime wala hamuwazi mtu full mapendo.

So far sijawahi kuwa kwenye peak ya feelings za upendo kama ambavyo nilikuwa na hizo pisi. Haijawahi tokea experience is amazing bruhv!!!

Sasa mwarabu wa kitanga, anataka starehe za million 2-3 ndio anaona umemfikisha. Na wakati wote anataka hela laki 2-3 lazma awe unamtumia ili kushikilia penzi.
 
Zanzibar hapa;
Wa Unguja wanapenda sana pesa...yaani ukiwa nazo utapewa chochote utakacho mkuu
Wa kipemba; hawa wanapenda saana ndoa,yaani ukienda kule nenda kwa dhumuni la kuoa lakini ugegede usepe maaaweee watakumimba hukohuko ulipo
 
Back
Top Bottom