Ni mila zipi za kabila lingine uliwahi kukutana nazo zikakushangaza

Tanga niliagizia samaki na ugali nilivyomaliza kula samaki upande nikamgeuza nikasikia wahudumu kwenye hotel teeeeeee amgeuza akosamke wewe nilishangaa sana
Mkuu hiyo sio mila bhana maana muhudumu anaweza akawa ni kabila lolote siyo lazma mtanga
 
Hii Kali asee
 
Ndugu kuoa mke na kukaa nae watoto kwa niaba ya ndugu yake aliyekufa, hii niliiona Tarime
 
Kumbe
 
Hawa wamasai ambao wazazi hujenga mazoea ya kuwaingizia kwenye K watoto wao wakike vibuyu vyembamba aina ya finga ili wapanuke na waoelewe mapema. Mtoto wa kimasai anaeza olewa akiwa na miaka 7
[emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
Wajaluo kusex na maiti (ikitokea binti marehemu hakuwahi kuolewa) kisha mwanaume kulipwa mahari ambayo ilikuwa alipiwe binti endapo angeolewa akiwa hai.
**Msione wa-Kenya wanamkataa Odinga hawa jamaa hamnazo.
NB: Nduggay2025TOSHA
 
Wanawake WA kikulya kuoa mwanamke na mtoto anayezaliwa anakuwa WA huyo mama aliyeoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…