financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
So unamwambia mshahara wako ni laki 2 wakati kwa salary slip ni 5Million siyo? Sababu hajui kusoma😂Kuna jamaa yangu alikuwa ananifurahisha, alisema hao ni wazuri kwa sababu hawajui kusoma 'salary slip' japo ni waongeaji na wajuaji sana.
Nikisema hivyo waajiriwa hasa wa siri kali wanaelewa