Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwanza nikupongeza kwani kama mke wa milele wewe unaye.Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,
Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot
N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Hayo mambo alitakiwa kufikiria wakati wa uchumbaHapana...lazima ktk kuangalia future ya watoto umpate mke ambaye walahu atawakumbusha watoto hata kufanya homework na kuwasaidia
Amesema hana trakoo
pole sana kakaHuyu wangu ndo kabisaaa, mpaka mambo msingi ya responsibilities zake mpaka umkumbushe😂
Imagine mke hawezi kukufulia, usafi wa nyumba hawezi, nk.
Wanawake sometimes kuachwa mnajitakia wenyewe🙂
[emoji23][emoji23]Wew ni yule sakina wangu nn mkuu mnk nae ni gamu zake hzoHahaha, mie mchumba angu ksa usafi hakuna sa kumshinda,, ila sasa nae ni wale wale tu, ana kiswaswadu cha kuchezea game za nyoka[emoji23][emoji2296],hajui dunia ya Instagram, wasap, etc.
Very unexposed
Asante kaka....pole sana kaka
Umenena vyema sana ni aina ya wanawake ambao uamini katika njia za utafutaji mwanaume ndio nguzo, uamini kila umwambialo na kuliheshimu, kinachomsumbua mshkaji ni anamuona mkewe ni mshamba mshamba ngoja akadondokee kwa mabinti watoto wa mjini aonje joto la jiwe [emoji23][emoji23]Nachojua wanawake wa namna hiyo wengi huwa submissive na huwachukulia waume zao kama mwanzo na mwisho. Hawana dreams wala matarajio katika maisha yaani kiufupi maisha yao yanaanza na kuishia pale yako yanapoanza na kuishia "wewe ndiye maisha yake"
Najua anakupa amani ya moyo sababu hakupi challenge na pengine ndio sababu ulimuoa Ila kwa sasa you want more...
Unaweza kumpa exposure ukitaka lakini ukiona ni kazi katafute wa kukupa hiyo package unayoitaka lakini nina uhakika bado kuna vitu vingi utavimiss kwa mkeo japo kwa sasa unavichukulia poa sababu ndivyo unavyovipata daily kiasi umevizoea, vimekuboa na havikusisimui tena
All in all do whats makes you happy
Hiyo asilimia unawezs kubadilisha uweke inayokupendeza ila ujumbe umefika kwamba ni wanawake wengi hasa wa kitanzania wsko wako hivyo.Kwahiyo umefuta 85%..??
Itakuwa hutoi hela ya matumiz home kwakoHuyu wangu ndo kabisaaa, mpaka mambo msingi ya responsibilities zake mpaka umkumbushe😂
Imagine mke hawezi kukufulia, usafi wa nyumba hawezi, nk.
Wanawake sometimes kuachwa mnajitakia wenyewe🙂