Ni mimi peke yangu ndio nimeoa mke mwenye uwezo mdogo wa akili?

Ni mimi peke yangu ndio nimeoa mke mwenye uwezo mdogo wa akili?

Ahaaaa mkipata akina sie mnatuona much know!
Sasa ummempata mtoto wa kisukuma maskini
.Hajui kama kuna vita uko Ukraine

Hajui huko Qatar kombe la dunia lilianza lini na linaisha lini?
Huko kwenye siasa ndo usimuulize may be anajua kuwa jpm wetu bado yupo hai!

Hata hakusikia the Royal tour ya mama

Sana sana anajua bongo movie huba.

Hawa si ndo mnatakaga? Kakukera nini minza wa watu?

Aisee kuna dada mmoja alinichekesha alisema anataka mme anaejuwa hesabu, kwamba yeye hajui hesabu anataka mme wake awe anawasaidia watoto homework
 
Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,

Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot

N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
we uwezo wako umeupima wapi, inaonekana wazi kabisa we ndio shida. Kumwandika tu mke wako huku ni uwezo mdogo sana unao. Mzazi mwenzako? We ni kijeba nini?
 
Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,

Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot

N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Sasa kama wewe umesoma Elimu ya juu,na mkeo upeo wake ni mdogo,utakuwa humtendei haki,ukiwa unwzungumzia mambo makubwa,Siasa,uchumi,diplomasia,tekinolojia,tafuta topic anayoweza kuimudu,malezi,mapishi,wanyqma,biashara,kama wewe una degree,lakini huwezi kufanya mazungumzo na mtu wa std 7,basi wewe Elimu haijakusaidia,hata kama umesoma,inabidi uwe na uwezo wa kujichsganyanya na watu wa kawaida,
Kuna wadada wameishia la saba,lakini wanauelewa mkubwa kuliko Hawa wasomi,wanaojua kuchsnganya lugha tu,
 
Walikuchagulia nn mku, rudi kijijini kwenu ukaulizie vzuri au alikupga juju uyo ,juju limeishiwa nguvu ndo unaanza kushtuka rn
 
Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,

Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot

N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
ndugu yangu,nakushauri kwa moyo mweupe,huyo usimuache ndo mzuri,hatakusumbua kabisa,siku ukioa mjuaji kama wewe,humo ndani moto utawaka,utanikumbuka mimi.
 
Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,

Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot

N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Unabahati Sana ndugu Ila bahati mbaya huitambui na hauioni

Nahuyo utakuja uitambue thamani yake baada ya kuowa wa chuo kikuu au anaye tambua Mambo ya academic Kama utakavyo
 
Mpe exposure mkuu.
Mchukue umpeleke El Giza huko Egypt au mpeleke Bali au hata Cuba. Ukishindwa kabisa mpeleke hata Makumbusho ya taifa au Bagamoyo pale Keran Serai.
Mpe kitu cha kuongelea.

Mkichill muangalie hata documentaries badala ya movies.

Mpe majukumu ya kufuatilia hata Bunge.
Baada ya muda ataimprove tu.
 
Kama anaheshima na anajituma mengine ni yakwangu.
 
Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,

Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot

N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Mbona kama vyote vinavyohitajika kwenue ndoa anavimudu?
Hakuna sehemu ndoa inataka mambo ya academic
 
Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,

Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot

N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
wewe unataka akili zake za nini?? tumia zako achana na akili za mkeo zinamtosha yeye tuuu
 
Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,
Mkuu kama anawajibika na mambo mengine ya familia hapo nyumbani na kitandani, mbona hivyo vitu vinatosha kwa mke, mambo ya academic ya Nn kwenye ndoa? Hiyo na mengine ya kisomi kisomi tumia akili yako kujazia ili Maisha yaende
 
Siku hizi ni kama tumeoa dada wa Kazi, maana hawa ndio utimiza majukumu ya mke kwenye ndoa,mke anachojua ni kuchati na kukaa mguu pande tu.
Wanaogopa kuharibu makucha yao ya kuzimu.
Mimi nilishapiga marufuku mambo ya hayo maurembo, maana ukizubaa umeishq.
 
Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,

Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot

N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu

Kwanza kabisa nasikitika sana kuona kuna baadhi ya wanaume wenye akili finyu kama yako yaani sijui kama unaelewa nini maana ya ndoa, umekosa hekima na busara ya kumtunzia siri mkeo na wewe kuwa kama kichwa na kiongozi ndani ya familia, jiulize baba ako angeamua kuanika madhaifu ya mama ako mitandaoni ungemchukuliaje eti au umekurupuka tu kuandika aya apa. Ndoa ni siri ya wawili na popote kwenye mapungufu basi simama kama baba mstari wa mbele kurekebisha, na sio kuonesha dharau na kumtukana mwenza wako kuwa ni’idiot’ , huo ni ukosefu wa hekima na busara. Pole yenu wanawake wote wenye waume wenye tabia kama za uyu. Nakusihi jitafakari na badirika.
 
Lengo la Kuoa Lilikua nini?Tukijua lengo uenda tukasema kweli huyo hakufai au wewe ndio hufai maana uenda umebadirika toka kwenye lengo lenu la Kuoana. Mimi naamini ulioa ili mtengeneze familia jambo ambalo umesema anaweza,sina uhakika kama ulioa ili mshirikiane Kufanya Ugunduzi wa Kwenda Kuishi Mars huko uku Mkitukimbia na kutuacha tuendelee kutawaliwa na Chama Cha Mambuzi.Any way your Lucky Kuoa mwanamke wa Ivo Karne hii.
mwambie huyo,.
 
Back
Top Bottom