whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
Mkia upo lakini?Huyu wangu ndo kabisaaa, mpaka mambo msingi ya responsibilities zake mpaka umkumbushe😂
Imagine mke hawezi kukufulia, usafi wa nyumba hawezi, nk.
Wanawake sometimes kuachwa mnajitakia wenyewe🙂