Ni mimi peke yangu ndio nimeoa mke mwenye uwezo mdogo wa akili?

Ni mimi peke yangu ndio nimeoa mke mwenye uwezo mdogo wa akili?

Ila kuna wanaume wajinga jamani?
Huyo mke uliletewa straight kanisani/msikitini? Hakukuwa na kipindi cha urafiki/uchumba?
Au ulidhani ukishamuoa ndo akili zinakuja?
Pambav
 
Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,

Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot

N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Ungependa muwe mnajadili nae MAGAZIJUTO nn😂😂😂
 
Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,

Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot

N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Kama ana akili ya kuzungumzia mambo ya watoto, mapenzi na sex then wataka nini zaidi kwa mwanamke? Mbona kama unazingua babu
 
  • Thanks
Reactions: nao
Huu sio ushauri mzuri unamuingiza chaka mtoa mada.
Ukweli uko hivi asilimia 85 ya wanawake wa Kitanzania ndio wako hivyo hata akioa mwingine hakitabadilika kitu labda akaoe profesa au Daktari wa falsafa wa kutoka chuo kikuu dizaini kama ya wakina Tulia Ackson lakini wakikupelekesha kibabe usije kutuandikia uzi tena wa malalamiko.
Nani kakudanganya?

Umetumia tafiti zipi kuzipata hizo 85% au umewaza tu...?

Aisee hii dunia bado wapo wanawake wengi na wazuri tu usipende kumkatisha tamaa jamaa kwa kutaka kuendelea kuishi kifungoni....

Methari 14: "Ni bora kuishi juu ya kona ya dari kuliko kuishi na mwanamke mgomvi"
 
Mwamba ashaaanza kumchoka mke daah ,pisi za tako mzigo znamchanganya
 
Njoo ukutane na sisi tunajua mpaka aina Za engine
Utahama nyumba
 
Nani kakudanganya?

Umetumia tafiti zipi kuzipata hizo 85% au umewaza tu...?

Aisee hii dunia bado wapo wanawake wengi na wazuri tu usipende kumkatisha tamaa jamaa kwa kutaka kuendelea kuishi kifungoni....

Methari 14: "Ni bora kuishi juu ya kona ya dari kuliko kuishi na mwanamke mgomvi"
Hakuna mahali nimesema wanawake wa Tanzania ni wabaya.
Yeye mtoa mada anaamini kwamba mke wake hafai lakini si kweli kwamba hafai hiyo ni tabia tu ya kimaumbile mtu anakuwa nayo kutokana na malezi aliyopitia au mazingira alipo.
Sasa wanawake wa Kitanzania wako hivyo na si wanawake tu hata baadhi ya wanaume wako hivyo kutokana na relaxation iliyopo Tanzania kutokana na amani iliyojengeka ikiunganika na ujamaa.
Ukitaka kujua hichi ninachokiongea safiri utoke nje ya Tanzania hata hapo Kenya tu kisha ulinganishe wanawake wa kule wakoje ndio utanielewa ninachomaanisha.
 
Achague moja tu ambalo ni msingi wa ndoa yao ...huwezi kupewa vyote kamwe
Kabisaa.. Ni binadamu wachache wanaoweza kutosheleza mahitaji yako yote ila cha msingi ni kuangalia yale unayoyahitaji zaidi 🙏🙏
 
Hakuna mahali nimesema wanawake wa Tanzania ni wabaya.
Yeye mtoa mada anaamini kwamba mke wake hafai lakini si kweli kwamba hafai hiyo ni tabia tu ya kimaumbile mtu anakuwa nayo kutokana na malezi aliyopitia au mazingira alipo.
Sasa wanawake wa Kitanzania wako hivyo na si wanawake tu hata baadhi ya wanaume wako hivyo kutokana na relaxation iliyopo Tanzania kutokana na amani iliyojengeka ikiunganika na ujamaa.
Ukitaka kujua hichi ninachokiongea safiri utoke nje ya Tanzania hata hapo Kenya tu kisha ulinganishe wanawake wa kule wakoje ndio utanielewa ninachomaanisha.
Mbona hueleweki

1: umesema 85% ya wanawake tz wapo hivyo, je hizo tafiti umetoa wapi?

2: Umesema nampotosha hebu thibitisha kwa Experience ya kwako ya mahusiano ama ndoa (ili ajifunze)

3: Kama huna uzoefu wowote basi mpatie mbinu mmbadalawa kukabir tatizo siyo kusema watz wanawake 85% wana matatizo hayo halafu unakana. 🤔🤔🤔
 
Kwani Kuna mtihani wa darasani hadi azungumzie Mambo ya taaluma
 
Mbona hueleweki

1: umesema 85% ya wanawake tz wapo hivyo, je hizo tafiti umetoa wapi?

2: Umesema nampotosha hebu thibitisha kwa Experience ya kwako ya mahusiano ama ndoa (ili ajifunze)

3: Kama huna uzoefu wowote basi mpatie mbinu mmbadalawa kukabir tatizo siyo kusema watz wanawake 85% wana matatizo hayo halafu unakana. [emoji848][emoji848][emoji848]
Mkuu nafikiri kumbe hujanielewa.
Hilo sio tatizo kabisa na hakuna mahali nimesema hilo ni tatizo.
Na kuhusu ushauri aendelee naye tu aache kucomplicate maisha.
Kazi ya mwanamke sio kusolve Calculus,bali ni kulea watoto pamoja na kumliwaza mwanaume vitu vingine vilivyobaki mwanaume ndio controller.
 
Huyu wangu ndo kabisaaa, mpaka mambo msingi ya responsibilities zake mpaka umkumbushe[emoji23]

Imagine mke hawezi kukufulia, usafi wa nyumba hawezi, nk.

Wanawake sometimes kuachwa mnajitakia wenyewe[emoji846]

[emoji3]ila wanaume kutufanya sisi mapunda siyo poa
 
Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,

Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot

N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Aliyekudanganya ndoa ni lazima mtu akidhi mahitaji yote ya Dunia nani? Kazi ya mwanamke kubwa duniani kwa mwanaume ni kuzaa watoto kwisha, sasa we unataka nini?
 
We jamaa utakuwa Muhaya aka "nshomile" ama lah basi ni mnyakyusa wa mwakaleli make ndo mnajifanyaga much know na nyodo za kishamba!
Unapata faida gani kumuanika mkeo na kumuadhirisha mtoto wa watu hapa?!
So what kwani tulikuchagulia?!! We mwenye akili umevumbua nini au taifa linakutegemea kwa kipi ulicho deliver?
Kazi ya mke ni kukuzalia watoto, kukuheshimu kama mumewe na kukusupport ktk harakati zako ktk kusaka tonge(kukuombea n.k). Sasa wewe ulimuoa ili mfanye debate na academic argumentations?!

You are a man not only man gentleman sometime wanaume wajifunze kuwaapreciate wanawake siyo kuwadhalilisha
 
Mkuu nafikiri kumbe hujanielewa.
Hilo sio tatizo kabisa na hakuna mahali nimesema hilo ni tatizo.
Na kuhusu ushauri aendelee naye tu aache kucomplicate maisha.
Kazi ya mwanamke sio kusolve Calculus,bali ni kulea watoto pamoja na kumliwaza mwanaume vitu vingine vilivyobaki mwanaume ndio controller.
Kwahiyo umefuta 85%..??
 
I feel sorry to my fellow woman.
Mwanamke uliemuelezea katika Uzi wako anakuona wewe ndio mwisho na mwanzo hata kubrainstorm vitu vipya hawazi.
Mwanzoni ulimwona Mitchell Obama Sasa hivi unamwona hafai.
Unajua changamoto ya mwanamke mjuaji asiesikiliza?
Namalizia na tako kwa jinsi ulivyoandika😥 this is another form of discrimination na umepata unachostahili
 
Back
Top Bottom