Ni mimi peke yangu ndio nimeoa mke mwenye uwezo mdogo wa akili?

Ni mimi peke yangu ndio nimeoa mke mwenye uwezo mdogo wa akili?

Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,

Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot

N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Na wenye jina la Fatuma ndio wapo hivi ,hawana akili hata robo
 
Halafu unamsemaje mke wako.. unaonekana kama wewe ndo una matatizo
 
  • Thanks
Reactions: nao
Ila wanawake wa hivyo wanakuaga wazuri sana ila ubongo sasa [emoji40][emoji40][emoji40]
 
Duuh!
Nimemuonea huruma.
Nenda nae taratibu mkuu labda Mungu kamleta kwako ili umpanue uelewa wake.
Cha msingi anakuheshimu na ana hofu ya Mungu na yuko makini na malezi ya watoto wenu kama ulivyosema.
Anaweza akawa na uelewa mkubwa wa mambo viingereza vingi vingi halafu anakudharau itakufaa nini?
Please be easy with her.
Kabisa
 
Nachojua wanawake wa namna hiyo wengi huwa submissive na huwachukulia waume zao kama mwanzo na mwisho. Hawana dreams wala matarajio katika maisha yaani kiufupi maisha yao yanaanza na kuishia pale yako yanapoanza na kuishia "wewe ndiye maisha yake"

Najua anakupa amani ya moyo sababu hakupi challenge na pengine ndio sababu ulimuoa Ila kwa sasa you want more...

Unaweza kumpa exposure ukitaka lakini ukiona ni kazi katafute wa kukupa hiyo package unayoitaka lakini nina uhakika bado kuna vitu vingi utavimiss kwa mkeo japo kwa sasa unavichukulia poa sababu ndivyo unavyovipata daily kiasi umevizoea, vimekuboa na havikusisimui tena

All in all do whats makes you happy
Wow umemaliza mzee
 
Ndiyo mzuri huyo...

Weka picha yake upewe miongozo...
 
Umenena vyema sana ni aina ya wanawake ambao uamini katika njia za utafutaji mwanaume ndio nguzo, uamini kila umwambialo na kuliheshimu, kinachomsumbua mshkaji ni anamuona mkewe ni mshamba mshamba ngoja akadondokee kwa mabinti watoto wa mjini aonje joto la jiwe [emoji23][emoji23]

Nb: Ukioa mwanamke mjanja mjanja sana migogoro haitaisha na ndoa haitadumu kamwe.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app

Wajuaji pia wana changamoto zao japo wapo pia wajuaji, hustlers na wanyenyekevu kwa wakati mmoja lakini hawa huolewa faster sana kiasi huwezi wakuta wamekaa mtaani wanakusubiria. Of course ni dream women kwa wanaume wengi hivyo, huwa sishangai

Ila wale wajuaji wanaozijua harakati, wapo wengi tu na akitaka atawapata ila ndio ajiandae kuwa superior kwenye mahusiano ili mambo yaende sawa maana atapewa challenge daily. Awe na pesa, connections na akili zaidi maana hata ladies wa namna hii huheshimu wanaume exceptional only
 
Tuendelee kuomba kufunuliwa ya sirini, inatisha sana kugundua anayokuwazia mtu anayekuchekea usoni
 
Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,

Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot

N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Yani dhambi zingine hizi🤣🤣🤣
 
Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,

Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot

N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Hilo ni chaguo lako...
 
Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,

Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot

N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Huyo ndo mke sasa unataka pasua kichwa au
 
Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,

Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot

N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
No one woman will be ur everything
 
Nachojua wanawake wa namna hiyo wengi huwa submissive na huwachukulia waume zao kama mwanzo na mwisho. Hawana dreams wala matarajio katika maisha yaani kiufupi maisha yao yanaanza na kuishia pale yako yanapoanza na kuishia "wewe ndiye maisha yake"

Najua anakupa amani ya moyo sababu hakupi challenge na pengine ndio sababu ulimuoa Ila kwa sasa you want more...

Unaweza kumpa exposure ukitaka lakini ukiona ni kazi katafute wa kukupa hiyo package unayoitaka lakini nina uhakika bado kuna vitu vingi utavimiss kwa mkeo japo kwa sasa unavichukulia poa sababu ndivyo unavyovipata daily kiasi umevizoea, vimekuboa na havikusisimui tena

All in all do whats makes you happy
We ni mwanasikolojia au ni mtu ulokula chnvi nyingi? This one is great
 
We ni mwanasikolojia au ni mtu ulokula chnvi nyingi? This one is great
Hapana mkuu,
Mimi ni wale mnaita "millenials"na wala sio mwanasaikolojia

Shukrani kwa appreciation and compliment pia mkuu, I'm humbled 🙏🙏
 
Back
Top Bottom