financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
So unamwambia mshahara wako ni laki 2 wakati kwa salary slip ni 5Million siyo? Sababu hajui kusoma😂Kuna jamaa yangu alikuwa ananifurahisha, alisema hao ni wazuri kwa sababu hawajui kusoma 'salary slip' japo ni waongeaji na wajuaji sana.
Nikisema hivyo waajiriwa hasa wa siri kali wanaelewa
Mkuu sema Asante hawawajuaji pasua kichwa sanaYaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,
Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot
N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Uliunganishwa?Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,
Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot
N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,
Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot
N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
Acha kuchafua watumishiMpeleke kwa mwamposa amuombee,kisha amle
Ndio huyu hyu asie na shape au kunamwingine?Yaani mada pekee anayoweza kuimudu ni mnapozungumzia watoto, mapenzi+sex na vingine,
Kitu chochote cha ki academic haelewi kama vile hajasoma, nakua na hasira sana. I feel like i married an idiot
N.B
Hana tako kama ninavyoambiwa, ni wa kawaida tu
😅😅😅 umenikumbusha wiki iliyopita nilikuwa naangalia mojawapo ya mechi za kombe la dunia. Mke wangu baada Pilika Pilika za jikoni kaja sebuleni kakuta naangalia hiyo mechi, sikumbuki ilikuwa timu gani ya Afrika ilikuwa inacheza na siku hiyo.Huyo ndie mwenyew, mwanamke inabidi awe hivo, asiwe much know, anauuliza uliza vimaswali vya kijinga jinga
Unakuta mwanamke anajua kikosi kizima cha Manchester united [emoji23]
Pole. Huyu wa kwako ni mzigo. Huyu inawezekana ulimuoa kwa kuvutiwa na shepu na chura, ukasahau mambo mengine ya msingi. Lakini bado kuna nafasi ya kumsaidia kubadilika na kuwa mke anayejitambua. Inabidi uwe mvumilivu. Mvumilie hadi atakapobadilika.Huyu wangu ndo kabisaaa, mpaka mambo msingi ya responsibilities zake mpaka umkumbushe😂
Imagine mke hawezi kukufulia, usafi wa nyumba hawezi, nk.
Wanawake sometimes kuachwa mnajitakia wenyewe🙂
Hata tako wala nini.... Basi tuu.Pole. Huyu wa kwako ni mzigo. Huyu inawezekana ulimuoa kwa kuvutiwa na shepu na chura, ukasahau mambo mengine ya msingi. Lakini bado kuna nafasi ya kumsaidia kubadilika na kuwa mke anayejitambua. Inabidi uwe mvumilivu. Mvumilie hadi atakapobadilika.