RRONDO JF-Expert Member Joined Jan 3, 2010 Posts 55,727 Reaction score 123,094 Mar 13, 2024 #61 princess ariana said: kwamba uwongo? Click to expand... Unazuga.
princess ariana JF-Expert Member Joined Aug 19, 2016 Posts 9,245 Reaction score 18,347 Mar 13, 2024 #62 RRONDO said: Unazuga. Click to expand... aisee! kuna watu sijui hatujaelimika ama hatujali afya zetu mua huu nimetoka kuyanywa sijachemsha yani maisha yametu vuruga mpaka tunaona liwalo na liwe.
RRONDO said: Unazuga. Click to expand... aisee! kuna watu sijui hatujaelimika ama hatujali afya zetu mua huu nimetoka kuyanywa sijachemsha yani maisha yametu vuruga mpaka tunaona liwalo na liwe.
M muvangulumemile JF-Expert Member Joined May 25, 2020 Posts 686 Reaction score 966 Mar 14, 2024 #63 uttoh2002 said: Ni mwehu tu anaweza kunywa hayo. Maji bila kuchemsha, ngoja wendawazimu wenzako waje, Angalau ya Arusha, Dar es salaam na muingiliano wote wa sewage? Click to expand... Wewe ndio mwehu,nani anachemsha maji Mbagala,kawe, Manzese,buguruni,Tegeta na maeneo yote ya uswahilini?
uttoh2002 said: Ni mwehu tu anaweza kunywa hayo. Maji bila kuchemsha, ngoja wendawazimu wenzako waje, Angalau ya Arusha, Dar es salaam na muingiliano wote wa sewage? Click to expand... Wewe ndio mwehu,nani anachemsha maji Mbagala,kawe, Manzese,buguruni,Tegeta na maeneo yote ya uswahilini?
uttoh2002 JF-Expert Member Joined Feb 3, 2012 Posts 17,060 Reaction score 32,400 Mar 14, 2024 #64 muvangulumemile said: Wewe ndio mwehu,nani anachemsha maji Mbagala,kawe, Manzese,buguruni,Tegeta na maeneo yote ya uswahilini? Click to expand... Kuna vichaa huwa wanakula majalalani na hawapati maradhi, join them kwa kula majalalani
muvangulumemile said: Wewe ndio mwehu,nani anachemsha maji Mbagala,kawe, Manzese,buguruni,Tegeta na maeneo yote ya uswahilini? Click to expand... Kuna vichaa huwa wanakula majalalani na hawapati maradhi, join them kwa kula majalalani