mangiTz
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,820
- 3,062
Usiombe hawa jamaa wakuandame Aisee sio poa kwanza huchezi mbali na toiletMkuu, kunywa maji ya DAWASA bila kuyachemsha ni sawa na ku-commit suicide. Kuna wengine tuliacha hata hiyo kuchemsha tukifikiria wadudu waliomo ndani ya hayo maji ambao tunawameza hata kama wamekufa! Wazia kumeza hawa jamaa
View attachment 2932499