Ni Mimi tu inanitokea au lah! !!!

Ni Mimi tu inanitokea au lah! !!!

Sikiliza kijana kupata na kukosa kupo kushindwa Mara mbili tuu usha kata tamaa je ungekuwa yule aliye gundua umeme ambaye alishindwa Mara 9999 na ushee cha msingi kuwa msafi usinuke kokote unapo ongea usi cheke cheke jiamini na mwangalie USOni pia usitumie pesa kumpata demu mwache alizike nawe ukimpata tulia usianze madharau .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za wakati huu wanajf!!
poleni na majukumu ya siku ya Leo!!

Niende moja kwa moja kwenye mada.
mimi ni kijana Nina miaka 21.
Nina tabia moja ambayo nashindwa kujua ni tabia ya aina gani.
Nimetongoza wasichana wawili toka nianze Ku..... na wote wamenikataaa kwa sababu wanazozijua wenyewe...
sasa inakuja hivi naumia sana mpaka hata nikimuona msichana mwenyewe natamani kubadilisha njia ili hali tusionane.
Naomba kuuliza kwa wenye uzoefu na mambo haya! hii hali inanitokea mimi tu.... au hata na wengine? Na kama ni hali ya kawaida wewe ulitumia njia gani kuishinda hali hii?

Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi hela unazo ???kama hela huna achana nao tafta hela hao wanapenda hela .ukiwa nahela mpaka utawakimbia dogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikiliza kijana kupata na kukosa kupo kushindwa Mara mbili tuu usha kata tamaa je ungekuwa yule aliye gundua umeme ambaye alishindwa Mara 9999 na ushee cha msingi kuwa msafi usinuke kokote unapo ongea usi cheke cheke jiamini na mwangalie USOni pia usitumie pesa kumpata demu mwache alizike nawe ukimpata tulia usianze madharau .

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Asante sana kwa USHAURI mzuri
professional yako nini mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina imani kama ni pesa coz wenyewe wanaishi Maisha ya tabu kiasi kwamba natamani hata kumsaidia but hiyo nafasi ananinyima?

Sent using Jamii Forums mobile app
Basis kama vihela unovo nimbinu huna au unakurupuka kwwenye utongozaji wako ...MPE hela bila hata kumtongoza unakaa kama wiki moja unampata tena ..kisha unaomba kutoka nae siku moja hawezi kukataaa mpeleke mbali kidogo wengine hawapendi kujulikana mtaani kama wanamahusiano labda tayari anakibwana chake .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niambie uliwaambiaje........le big sista is here.......will teach you........
Wasikubabaishe..........kwanza sio type yako......achana nao........
Tell me.........
Msichana mwenyewe ndo hivo ameishia kidato cha nne bora yangu mimi.... hata kama bado sijamaliza
tatizo ni kwamba nampenda hivohivo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basis kama vihela unovo nimbinu huna au unakurupuka kwwenye utongozaji wako ...MPE hela bila hata kumtongoza unakaa kama wiki moja unampata tena ..kisha unaomba kutoka nae siku moja hawezi kukataaa mpeleke mbali kidogo wengine hawapendi kujulikana mtaani kama wanamahusiano labda tayari anakibwana chake .

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wewe hujui tu nimechoka mpaka basi sijui cha kufanya haelewi eti huyu binti!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom