Ni Mimi tu inanitokea au lah! !!!

Ni Mimi tu inanitokea au lah! !!!

Ukiwaona badilisha njia niaibu sana kukataliwa
 
huna pesa za kuhonga..then unahangaika na wanawake wa kitanzania
 
Nakushauri tu mdogoangu mapenzi wakati mwingine hayalazimishwi, unaweza kuja kuumia baadae, subiri atakayekupenda kwa dhati atakuja, mi nishakataliwa na wadada kama watano hivi sikukata tamaa sababu naamini wasichana wapo wengi watakaonifaa, upendo wa kweli anao mama tu hawa wengine maigizo mengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakushauri tu mdogoangu mapenzi wakati mwingine hayalazimishwi, unaweza kuja kuumia baadae, subiri atakayekupenda kwa dhati atakuja, mi nishakataliwa na wadada kama watano hivi sikukata tamaa sababu naamini wasichana wapo wengi watakaonifaa, upendo wa kweli anao mama tu hawa wengine maigizo mengi

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu kwa kushare nami

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom