Ila yeye ni Mwenyekiti wa CCM kwa sasa mkuu....Rais huyu ni wa mpito kaja kwa bahati mbaya, amalize kipindi cha mpito aondoke 2025, hana tofauti na Joyce Banda wa Malawi. Mnalazimisha awe mgombea wa CCM 2025 kwa kipi hasa?
Hayo yote yaliaanzia baada ya Nyerere kupewa nchi na Waingeraza, huku ikiwa na uchumi sawa na Korea ya Kusini(Sio kwa kiduku).Kuna mambo yanaendelea nchini unajiiza hizi Habari kwanini zinatoka sasa bila maelezo?
Mawaziri viburi na majibu ya rejareja kwenye mambo mazito yanayohitaji utulivu wa akili.
Mambo haya yafuatayo yanamfanya Rais aonekane anatoa maelekezo kwa manufaa ya wachache wasio na uchungu na taifa hili hata kidogo.
Kitu ambacho ni uhakika pengine Rais lazima asisitiziwe na wasaidizi wake ni kwamba Tanzania ni nchi masikini na watu wake ni masikini mno.
Karibu asilimia 50% ya watanzania wote wanaishi chini ya USD 2 kwa siku.... hawa watu lazima maamuzi yeyote yawe yanawazingatia sana.
Habari zifuatazo zitamchafua sana Mh Rais kuelekea uchaguzi mkuu wa 2024/25.
1. Nyongeza ya karibu 40% ya Mishahara ya wabunge? Kulikuwa na haja gani kufanya jambo hilo sasa?
2. Kupanda bei za nishati ya mafuta na kuadimika bila maelezo yanayojitosheleza, awali ilisemekana ni kukosekana kwa $ sasa imegeuka imekuwa kupanda bei kwenye soko la dunia... bado shutuma hizi zinaelekezwa kwa teuzi za Mh Rais kwamba mume wa Spika anaesimamia EWURA wanakula njama na wafanyabiashara. (Rejea hotuba ya Mbunge Tabasam bungeni iliyozimwa na Spika?)
3. Kukatika umeme bila maelezo wala taarifa za kutosha nchi nzima.( Watu wanajiuliza Magufuli aliwezaje? Kalemani alifanyq kitu gani? Majibu hayatolewi.
4. Kuna mgao wa maji unaotarajiwa kuanzia wiki ijayo maeneo ya Dar, Arusha na Tabora....
5. Kuondoa Bima za Afya kwa watoto kwa kisingizio cha gharama, huku NHIF wakilipana posho na Mkopo binafsi na matumiz mabaya ya kias cha zaid ya 129B bila maelezo yakueleweka.(Report ya CAG)
6. Kuongezeka matamasha na warsha nchi nzima bila kutatua matatizo halis ya wananchi wa kipato cha chini.
7. Miradi ya kilimo isiyomnufaisha mkulima wa kijijini moja kwa moja.., kama BBT, Kumbuka kilimo ni maisha ya watu huko kijijini na sio agenda.
8. Kuongezeka maradufu kwa matumizi ya serikali bila kuongeza tija...hii ni pamoja na upanuzi wa Baraza la mawaziri pamoja na uwepo wa tume nyingi zinazozunguka bila matokeo ya utendaji wa tume hizo kuonekana kuleta mabadiliko kwa umma.
9. Kudumaa kwa demokrasia, kulinganisha na Mwaka mmoja wa utawala wako..., hisia zinatawala ukwel kuliko uhalisia, mfano... Katiba mpya nk.
10. Kaa la moto la DP world, na shutuma za Rushwa ambazo hazijajibiwa kwa ufasaha hadi leo.
11. Kuna hili la Cartels (madalali biashara) kuwepo kila kona ya mambo yanayohusu maslahi ya nchi moja kwamoja, ikiwemo mafuta, Gas nk.
Mtiririko wa haya mambo ni mrefu sana, lakini watendaji wako walikuwa na nafasi kutafuta ukwel na kuuweka hadharani au hata kwenye baadhi ya mikutano ya Chama kwa ajili ya ufafanuzi.
Namsikitikia Mh. Rais kwamba pengine wasaidizi wake aliowaamini hawamsaidii ipasavyo??
Na pia kumekuwa na uminyaji mkubwa wa uhuru wa kujieleza pamoja na kuzuia uhuru wa kuhabarishwa.
Sasa hivi vyombo vyote vya habari vinafanya na kutenda kwa maelekezo kutoka juu serikalini.na hivyo kulaximishwa kutoripoti habari youote ambayo ni opposed kwa serikali ya Samia.
Pia Uhuru wa kufanya siasa za majukwaani umeanza kuzimwa kwa nguvu mpya kupitia jeshi la Polisi.
Mifano hai ni Loliondo na Ngorongoro kisha karatu hivi karibuni.
Rais kukaa kimya huku zikiwa zimevuja habari na Documents zinazoonyesha mwanae akitajwa kijusika kwenye miamala ya kibadhirifu.kupitia malipo ya tenda za polisi.
Hili ni Doa kubwa sana kwake Rais.
Ukiongezea na ile kashfa ya mabilioni ya likosi kazi cha serikali kule Barrick Gold kupitia Acacia mining....
Kwa kweli Mh Rais atafika 2025 amechafuka sana!
CCM haiwezi kuwa na aina hio ya mgombea tambua hilo usione watu wako kimya. Akiwa na akili za mbali ajiandae kuondoka 2025.Ila yeye ni Mwenyekiti wa CCM kwa sasa mkuu....
Top tier party owner for the time being... unadhan nani anaweza mfanya kitu bila kumsaidia asivurunde?
Naweza kukuelewa kuwa Kuna mkakati wa maksudi ashindwe..CCM haiwezi kuwa na aina hio ya mgombea tambua hilo usione watu wako kimya. Akiwa na akili za mbali ajiandae kuondoka 2025.
Ni nomaHayo yote yamepewa baraka na huyo mama yenu mzigo kwa Taifa..mnajitahidi kumsafisha aonekane mwema eti anaharibiwa ama kushauriwa vibaya kitu ambacho si kweli, anajifelisha yeye mwenyewe kwa kushindwa kusimamia misingi bora ya Uongozi.
Acha tuisome namba ili tuje kuwa mfano kwa vizazi vijavyo kwa maamuzi yetu mabaya na mabovu dhidi ya ulinzi wa Taifa na Rasilimali zake.
Duh...!.SERIKALI YA RAIS SAMIA YASHIRIKIANA NA KAMPUN YA DAISY GENERAL TRADERS KUKWAPUA MABILIONI FEDHA TOKA BANK KUU.
4/9/2023: 21:30 HRS Western Indiana.
Taarifa kutoka ndani ya kitengo cha Financial Intelligence Unit (FIU) zinatujuza kama ifuatavyo.
Genge la walafi na wakwapuaji Fedha za walipa kodi likiongozwa na Angela Kiziga, Abdluhalim Hafidh Ameir na Hamad Massaun Yusuph linaifilisi nchi.
Duh!Namsikitikia Mh. Rais kwamba pengine wasaidizi wake aliowaamini hawamsaidii ipasavyo??
Hawa watu ni kama nilishasoma majina yao mahala fulani...; huyo mmoja mwenye majina ya kiarabu, siyo yule mwenye mradi wa umeme wa Solar anaoshirikiana na yule Dikteta wa Uganda kuujenga?Genge la walafi na wakwapuaji Fedha za walipa kodi likiongozwa na Angela Kiziga, Abdluhalim Hafidh Ameir na Hamad Massaun Yusuph linaifilisi nchi.
Kwahiyo ndo ashindwe kuwasimamia kisa aliwakuta? Huyu urais hauwezi hafai.Lakini mkuu kumbuka wengi wa mawaziri waliopo na wabunge waliopo aliwakuta?
Ongezea na vijana wa kanisani pia hawamtaki ndio maana madili ya kitapeli yanafichuliwa mda huu na bado kuna madudu yanaachiliwa zaidiHayo yote yamepewa baraka na huyo mama yenu mzigo kwa Taifa..mnajitahidi kumsafisha aonekane mwema eti anaharibiwa ama kushauriwa vibaya kitu ambacho si kweli, anajifelisha yeye mwenyewe kwa kushindwa kusimamia misingi bora ya Uongozi.
Acha tuisome namba ili tuje kuwa mfano kwa vizazi vijavyo kwa maamuzi yetu mabaya na mabovu dhidi ya ulinzi wa Taifa na Rasilimali zake.
wengine hatukuwepo kwenye mkutano. alimshushua je?Mama anajimaliza mwenyewe, tusilaumu wengine, mfano mdogo tu alivyo mshushua mwananchi aliyetaka kumueleza duku duku lake siku ya jana ziarani, nadhani kitendo kama hiki amekifanya mara ya pili sasa.
Kuna muda mambo madogo madogo kama hayo yanaweza kufanya wananchi wakaona uko mbali nao.
NakumbuKa niliwahi kutoa ushauri kwenye dawati la siasa jinsi Mama anavyoweza kuwa karibu na wananchi na jinsi anavyoweza kutumia ukaribu huo kama mtaji wa kisiasa cha ajabu niliishia kupewa karipio.
Duh!
Andiko lote lile ulilotumia umakini mkubwa kuliwasilisha, halafu mwishoni unakuja na mstari wa ajabu sana kama huo?
Mbona ni kama umefuta yote uliyoandika huko mwanzo?
Namm napataka hapowengine hatukuwepo kwenye mkutano. alimshushua je?
Lakini alikuwa na uwezo wa kuwabadili wote na hata sasa anaweza !!Lakini mkuu kumbuka wengi wa mawaziri waliopo na wabunge waliopo aliwakuta?
Wanacheza na mentality yake tu..viongozi wa chini huwa wanaangalia wa juu anataka nini au anafurahishwa na nini au hajali nini.Kuna mambo yanaendelea nchini unajiiza hizi Habari kwanini zinatoka sasa bila maelezo?
Mawaziri viburi na majibu ya rejareja kwenye mambo mazito yanayohitaji utulivu wa akili.
Mambo haya yafuatayo yanamfanya Rais aonekane anatoa maelekezo kwa manufaa ya wachache wasio na uchungu na taifa hili hata kidogo.
Kitu ambacho ni uhakika pengine Rais lazima asisitiziwe na wasaidizi wake ni kwamba Tanzania ni nchi masikini na watu wake ni masikini mno.
Karibu asilimia 50% ya watanzania wote wanaishi chini ya USD 2 kwa siku.... hawa watu lazima maamuzi yeyote yawe yanawazingatia sana.
Habari zifuatazo zitamchafua sana Mh Rais kuelekea uchaguzi mkuu wa 2024/25.
1. Nyongeza ya karibu 40% ya Mishahara ya wabunge? Kulikuwa na haja gani kufanya jambo hilo sasa?
2. Kupanda bei za nishati ya mafuta na kuadimika bila maelezo yanayojitosheleza, awali ilisemekana ni kukosekana kwa $ sasa imegeuka imekuwa kupanda bei kwenye soko la dunia... bado shutuma hizi zinaelekezwa kwa teuzi za Mh Rais kwamba mume wa Spika anaesimamia EWURA wanakula njama na wafanyabiashara. (Rejea hotuba ya Mbunge Tabasam bungeni iliyozimwa na Spika?)
3. Kukatika umeme bila maelezo wala taarifa za kutosha nchi nzima.( Watu wanajiuliza Magufuli aliwezaje? Kalemani alifanyq kitu gani? Majibu hayatolewi.
4. Kuna mgao wa maji unaotarajiwa kuanzia wiki ijayo maeneo ya Dar, Arusha na Tabora....
5. Kuondoa Bima za Afya kwa watoto kwa kisingizio cha gharama, huku NHIF wakilipana posho na Mkopo binafsi na matumiz mabaya ya kias cha zaid ya 129B bila maelezo yakueleweka.(Report ya CAG)
6. Kuongezeka matamasha na warsha nchi nzima bila kutatua matatizo halis ya wananchi wa kipato cha chini.
7. Miradi ya kilimo isiyomnufaisha mkulima wa kijijini moja kwa moja.., kama BBT, Kumbuka kilimo ni maisha ya watu huko kijijini na sio agenda.
8. Kuongezeka maradufu kwa matumizi ya serikali bila kuongeza tija...hii ni pamoja na upanuzi wa Baraza la mawaziri pamoja na uwepo wa tume nyingi zinazozunguka bila matokeo ya utendaji wa tume hizo kuonekana kuleta mabadiliko kwa umma.
9. Kudumaa kwa demokrasia, kulinganisha na Mwaka mmoja wa utawala wako..., hisia zinatawala ukwel kuliko uhalisia, mfano... Katiba mpya nk.
10. Kaa la moto la DP world, na shutuma za Rushwa ambazo hazijajibiwa kwa ufasaha hadi leo.
11. Kuna hili la Cartels (madalali biashara) kuwepo kila kona ya mambo yanayohusu maslahi ya nchi moja kwamoja, ikiwemo mafuta, Gas nk.
Mtiririko wa haya mambo ni mrefu sana, lakini watendaji wako walikuwa na nafasi kutafuta ukwel na kuuweka hadharani au hata kwenye baadhi ya mikutano ya Chama kwa ajili ya ufafanuzi.
Namsikitikia Mh. Rais kwamba pengine wasaidizi wake aliowaamini hawamsaidii ipasavyo??
Tena kuwajibu vile wananchi ndio kunafanya hao viongozi wake wazidi kulala na kupuuza matatizo ya wananchi..sababu wanajua wananchi hawana pa kwenda kulalamika.Mama anajimaliza mwenyewe, tusilaumu wengine, mfano mdogo tu alivyo mshushua mwananchi aliyetaka kumueleza duku duku lake siku ya jana ziarani, nadhani kitendo kama hiki amekifanya mara ya pili sasa.
Kuna muda mambo madogo madogo kama hayo yanaweza kufanya wananchi wakaona uko mbali nao.
NakumbuKa niliwahi kutoa ushauri kwenye dawati la siasa jinsi Mama anavyoweza kuwa karibu na wananchi na jinsi anavyoweza kutumia ukaribu huo kama mtaji wa kisiasa cha ajabu niliishia kupewa karipio.
Inaendelea hapa (jana ilikuwa bodini moderator akaitoa):Duh...!.
P