Ni mkakati wa kumuangusha Rais Samia kisiasa?

Ni mkakati wa kumuangusha Rais Samia kisiasa?

Nakumbuka ibara hiyo ya 15 sijui kama nimeinukuu vizuri ndio iliyoanza kuleta uzembe makazini Serikalini na kwenye mashirika ya Umma !
Unyapara ni lazima uwepo makazini ndio kazi zitafanyika kwa ufanisi !!
Ninakuelewa unachoandika hapa, lakini hicho kifungu unakinakiri kwa makosa.

Maana ya kifungu hicho haikuwa kutetea uzembe kazini, lakini kama ilivyo kwa mambo mengi ambayo watu hawakuelewa malengo yake yalikuwa yapi, hapa nawe unashiriki (najua siyo kwa maksudi yako) katika upotoshaji huo.

Wafanya kazi kunyanyaswa kazini haina maana ndiyo ufanisi wa utendaji kazi utaongezeka.

Baada ya kuyaeleza haya mkuu 'mzeewaSHY', usinishangae nami nikisema kuwa kwa hali tuliyo nayo hapa nchini katika maeneo mengi, tunachohitaji ni DIKTETA mmoja mwenye uzalendo, na mtu aliye na akili tulivu kuliko Magufuli.

Tabia za waTanzania zinaonyesha dhahiri kuwa aina ya mtu wa namna hiyo anahitajika sana iwapo Tanzania itaweza kupiga hatua mbele kimaendeleo.
WaTanzania wengi ni watu wanaopenda kusukumwa sukumwa sana ndipo waweze kustuka kufanya mambo.

Ndiyo maana CCM imetumia udhaifu huo wa wananchi wetu kujimilikisha kila kitu, ikiwa ni pamoja na watu hao hao (raia wasiostuka kwa lelemama).
 
Ninakuelewa unachoandika hapa, lakini hicho kifungu unakinakiri kwa makosa.

Maana ya kifungu hicho haikuwa kutetea uzembe kazini, lakini kama ilivyo kwa mambo mengi ambayo watu hawakuelewa malengo yake yalikuwa yapi, hapa nawe unashiriki (najua siyo kwa maksudi yako) katika upotoshaji huo.

Wafanya kazi kunyanyaswa kazini haina maana ndiyo ufanisi wa utendaji kazi utaongezeka.

Baada ya kuyaeleza haya mkuu 'mzeewaSHY', usinishangae nami nikisema kuwa kwa hali tuliyo nayo hapa nchini katika maeneo mengi, tunachohitaji ni DIKTETA mmoja mwenye uzalendo, na mtu aliye na akili tulivu kuliko Magufuli.

Tabia za waTanzania zinaonyesha dhahiri kuwa aina ya mtu wa namna hiyo anahitajika sana iwapo Tanzania itaweza kupiga hatua mbele kimaendeleo.
WaTanzania wengi ni watu wanaopenda kusukumwa sukumwa sana ndipo waweze kustuka kufanya mambo.

Ndiyo maana CCM imetumia udhaifu huo wa wananchi wetu kujimilikisha kila kitu, ikiwa ni pamoja na watu hao hao (raia wasiostuka kwa lelemama).
Ni kweli Mkuu Kalamu nia ya ile ibara ilikuwa ni nzuri sana na ilikuwa ya kiungwana sana lakini mapokeo yake ndio yalileta kizaazaa makazini !

Maoni yako naunga mkono 100 %
 
8. Kuongezeka maradufu kwa matumizi ya serikali bila kuongeza tija...hii ni pamoja na upanuzi wa Baraza la mawaziri pamoja na uwepo wa tume nyingi zinazozunguka bila matokeo ya utendaji wa tume hizo kuonekana kuleta mabadiliko kwa umma.
.... hapa!
 
Umeona jinsi ulienda kupoteza muda kugombea nafasi za 2 wa EALis A kwa kujufanya mzalendo, kumbe wenzio wanapitishiwa gate la uani.2
Giving a try on anything sio kupoteza muda but getting experience, kiukweli hili la EALA, Tanzania tumebugi step big time.

Japo CCM ndio chama chetu pekee, kwa baadhi ya mambo kinachotufanyia sisi Watanzania, mfano ilichotufanya Bunge la EALA, kitalaaniwa!. Kimewaacha some real good people, kika chagua baadhi ya makokoro!. Nilitoa ushauri mzuri kwa chama changu Ubunge EALA, Wito Kwa CCM, Msiangalie Ukwasi, Tuteulieni, Wazalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Wenye Uwezo na Uzoefu wa Kimataifa Kutuwakilisha Ipasavyo hilo kokoro lina kisu kikali!.

Kitu cha ajabu kabisa CCM ikapeleka majina 8 Bungeni, hivyo kazi ya Bunge ni kupitisha tuu na sio Bunge kufanya uchaguzi! Lijue Bunge la Afrika Mashariki na Jee Uchaguzi wa Wabunge wa CCM EALA Ulikuwa ni Uchaguzi Kweli Au Kiini Macho cha Uchaguzi?

Ndipo kuna mtu akanishika sikio kuhusu hilo kokoro, nilibaki mdomo wazi!.
P
 
Kuna mambo yanaendelea nchini unajiiza hizi Habari kwanini zinatoka sasa bila maelezo?

Mawaziri viburi na majibu ya rejareja kwenye mambo mazito yanayohitaji utulivu wa akili.

Mambo haya yafuatayo yanamfanya Rais aonekane anatoa maelekezo kwa manufaa ya wachache wasio na uchungu na taifa hili hata kidogo.

Kitu ambacho ni uhakika pengine Rais lazima asisitiziwe na wasaidizi wake ni kwamba Tanzania ni nchi masikini na watu wake ni masikini mno.

Karibu asilimia 50% ya watanzania wote wanaishi chini ya USD 2 kwa siku.... hawa watu lazima maamuzi yeyote yawe yanawazingatia sana.

Habari zifuatazo zitamchafua sana Mh Rais kuelekea uchaguzi mkuu wa 2024/25.

1. Nyongeza ya karibu 40% ya Mishahara ya wabunge? Kulikuwa na haja gani kufanya jambo hilo sasa?

2. Kupanda bei za nishati ya mafuta na kuadimika bila maelezo yanayojitosheleza, awali ilisemekana ni kukosekana kwa $ sasa imegeuka imekuwa kupanda bei kwenye soko la dunia... bado shutuma hizi zinaelekezwa kwa teuzi za Mh Rais kwamba mume wa Spika anaesimamia EWURA wanakula njama na wafanyabiashara. (Rejea hotuba ya Mbunge Tabasam bungeni iliyozimwa na Spika?)

3. Kukatika umeme bila maelezo wala taarifa za kutosha nchi nzima.( Watu wanajiuliza Magufuli aliwezaje? Kalemani alifanyq kitu gani? Majibu hayatolewi.

4. Kuna mgao wa maji unaotarajiwa kuanzia wiki ijayo maeneo ya Dar, Arusha na Tabora....

5. Kuondoa Bima za Afya kwa watoto kwa kisingizio cha gharama, huku NHIF wakilipana posho na Mkopo binafsi na matumiz mabaya ya kias cha zaid ya 129B bila maelezo yakueleweka.(Report ya CAG)

6. Kuongezeka matamasha na warsha nchi nzima bila kutatua matatizo halis ya wananchi wa kipato cha chini.

7. Miradi ya kilimo isiyomnufaisha mkulima wa kijijini moja kwa moja.., kama BBT, Kumbuka kilimo ni maisha ya watu huko kijijini na sio agenda.

8. Kuongezeka maradufu kwa matumizi ya serikali bila kuongeza tija...hii ni pamoja na upanuzi wa Baraza la mawaziri pamoja na uwepo wa tume nyingi zinazozunguka bila matokeo ya utendaji wa tume hizo kuonekana kuleta mabadiliko kwa umma.

9. Kudumaa kwa demokrasia, kulinganisha na Mwaka mmoja wa utawala wako..., hisia zinatawala ukwel kuliko uhalisia, mfano... Katiba mpya nk.

10. Kaa la moto la DP world, na shutuma za Rushwa ambazo hazijajibiwa kwa ufasaha hadi leo.

11. Kuna hili la Cartels (madalali biashara) kuwepo kila kona ya mambo yanayohusu maslahi ya nchi moja kwamoja, ikiwemo mafuta, Gas nk.

Mtiririko wa haya mambo ni mrefu sana, lakini watendaji wako walikuwa na nafasi kutafuta ukwel na kuuweka hadharani au hata kwenye baadhi ya mikutano ya Chama kwa ajili ya ufafanuzi.

Namsikitikia Mh. Rais kwamba pengine wasaidizi wake aliowaamini hawamsaidii ipasavyo??
Huyu rais nilipomuona na yule jambazi Rostam wakifunga mkataba basi nilikata Tamara.
 
Giving a try on anything sio kupoteza muda but getting experience, kiukweli hili la EALA, Tanzania tumebugi step big time.

Japo CCM ndio chama chetu pekee, kwa baadhi ya mambo kinachotufanyia sisi Watanzania, mfano ilichotufanya Bunge la EALA, kitalaaniwa!. Kimewaacha some real good people, kika chagua baadhi ya makokoro!. Nilitoa ushauri mzuri kwa chama changu Ubunge EALA, Wito Kwa CCM, Msiangalie Ukwasi, Tuteulieni, Wazalendo wa Kweli wa Taifa Hili, Wenye Uwezo na Uzoefu wa Kimataifa Kutuwakilisha Ipasavyo hilo kokoro lina kisu kikali!.

Kitu cha ajabu kabisa CCM ikapeleka majina 8 Bungeni, hivyo kazi ya Bunge ni kupitisha tuu na sio Bunge kufanya uchaguzi! Lijue Bunge la Afrika Mashariki na Jee Uchaguzi wa Wabunge wa CCM EALA Ulikuwa ni Uchaguzi Kweli Au Kiini Macho cha Uchaguzi?

Ndipo kuna mtu akanishika sikio kuhusu hilo kokoro, nilibaki mdomo wazi!.
P
Ina maana ndio umejulia hiyo michezo hapo? Hata hivyo sikuona haja ya ww kuhariri post yangu na kuweka maneno ambayo sio yangu. Post yangu namba 57 iko wazi bila hayo maneno uliyoongeza.
 
Ina maana ndio umejulia hiyo michezo hapo? Hata hivyo sikuona haja ya ww kuhariri post yangu na kuweka maneno ambayo sio yangu. Post yangu namba 57 iko wazi bila hayo maneno uliyoongeza.
Sorry it was mistaken typo.
P
 
Kuna mambo yanaendelea nchini unajiiza hizi Habari kwanini zinatoka sasa bila maelezo?

Mawaziri viburi na majibu ya rejareja kwenye mambo mazito yanayohitaji utulivu wa akili.

Mambo haya yafuatayo yanamfanya Rais aonekane anatoa maelekezo kwa manufaa ya wachache wasio na uchungu na taifa hili hata kidogo.

Kitu ambacho ni uhakika pengine Rais lazima asisitiziwe na wasaidizi wake ni kwamba Tanzania ni nchi masikini na watu wake ni masikini mno.

Karibu asilimia 50% ya watanzania wote wanaishi chini ya USD 2 kwa siku.... hawa watu lazima maamuzi yeyote yawe yanawazingatia sana.

Habari zifuatazo zitamchafua sana Mh Rais kuelekea uchaguzi mkuu wa 2024/25.

1. Nyongeza ya karibu 40% ya Mishahara ya wabunge? Kulikuwa na haja gani kufanya jambo hilo sasa?

2. Kupanda bei za nishati ya mafuta na kuadimika bila maelezo yanayojitosheleza, awali ilisemekana ni kukosekana kwa $ sasa imegeuka imekuwa kupanda bei kwenye soko la dunia... bado shutuma hizi zinaelekezwa kwa teuzi za Mh Rais kwamba mume wa Spika anaesimamia EWURA wanakula njama na wafanyabiashara. (Rejea hotuba ya Mbunge Tabasam bungeni iliyozimwa na Spika?)

3. Kukatika umeme bila maelezo wala taarifa za kutosha nchi nzima.( Watu wanajiuliza Magufuli aliwezaje? Kalemani alifanyq kitu gani? Majibu hayatolewi.

4. Kuna mgao wa maji unaotarajiwa kuanzia wiki ijayo maeneo ya Dar, Arusha na Tabora....

5. Kuondoa Bima za Afya kwa watoto kwa kisingizio cha gharama, huku NHIF wakilipana posho na Mkopo binafsi na matumiz mabaya ya kias cha zaid ya 129B bila maelezo yakueleweka.(Report ya CAG)

6. Kuongezeka matamasha na warsha nchi nzima bila kutatua matatizo halis ya wananchi wa kipato cha chini.

7. Miradi ya kilimo isiyomnufaisha mkulima wa kijijini moja kwa moja.., kama BBT, Kumbuka kilimo ni maisha ya watu huko kijijini na sio agenda.

8. Kuongezeka maradufu kwa matumizi ya serikali bila kuongeza tija...hii ni pamoja na upanuzi wa Baraza la mawaziri pamoja na uwepo wa tume nyingi zinazozunguka bila matokeo ya utendaji wa tume hizo kuonekana kuleta mabadiliko kwa umma.

9. Kudumaa kwa demokrasia, kulinganisha na Mwaka mmoja wa utawala wako..., hisia zinatawala ukwel kuliko uhalisia, mfano... Katiba mpya nk.

10. Kaa la moto la DP world, na shutuma za Rushwa ambazo hazijajibiwa kwa ufasaha hadi leo.

11. Kuna hili la Cartels (madalali biashara) kuwepo kila kona ya mambo yanayohusu maslahi ya nchi moja kwamoja, ikiwemo mafuta, Gas nk.

Mtiririko wa haya mambo ni mrefu sana, lakini watendaji wako walikuwa na nafasi kutafuta ukwel na kuuweka hadharani au hata kwenye baadhi ya mikutano ya Chama kwa ajili ya ufafanuzi.

Namsikitikia Mh. Rais kwamba pengine wasaidizi wake aliowaamini hawamsaidii ipasavyo??
Rais hana uwezo wa kuongoza nchi.
 
Kuna mambo yanaendelea nchini unajiiza hizi Habari kwanini zinatoka sasa bila maelezo?

Mawaziri viburi na majibu ya rejareja kwenye mambo mazito yanayohitaji utulivu wa akili.

Mambo haya yafuatayo yanamfanya Rais aonekane anatoa maelekezo kwa manufaa ya wachache wasio na uchungu na taifa hili hata kidogo.

Kitu ambacho ni uhakika pengine Rais lazima asisitiziwe na wasaidizi wake ni kwamba Tanzania ni nchi masikini na watu wake ni masikini mno.

Karibu asilimia 50% ya watanzania wote wanaishi chini ya USD 2 kwa siku.... hawa watu lazima maamuzi yeyote yawe yanawazingatia sana.

Habari zifuatazo zitamchafua sana Mh Rais kuelekea uchaguzi mkuu wa 2024/25.

1. Nyongeza ya karibu 40% ya Mishahara ya wabunge? Kulikuwa na haja gani kufanya jambo hilo sasa?

2. Kupanda bei za nishati ya mafuta na kuadimika bila maelezo yanayojitosheleza, awali ilisemekana ni kukosekana kwa $ sasa imegeuka imekuwa kupanda bei kwenye soko la dunia... bado shutuma hizi zinaelekezwa kwa teuzi za Mh Rais kwamba mume wa Spika anaesimamia EWURA wanakula njama na wafanyabiashara. (Rejea hotuba ya Mbunge Tabasam bungeni iliyozimwa na Spika?)

3. Kukatika umeme bila maelezo wala taarifa za kutosha nchi nzima.( Watu wanajiuliza Magufuli aliwezaje? Kalemani alifanyq kitu gani? Majibu hayatolewi.

4. Kuna mgao wa maji unaotarajiwa kuanzia wiki ijayo maeneo ya Dar, Arusha na Tabora....

5. Kuondoa Bima za Afya kwa watoto kwa kisingizio cha gharama, huku NHIF wakilipana posho na Mkopo binafsi na matumiz mabaya ya kias cha zaid ya 129B bila maelezo yakueleweka.(Report ya CAG)

6. Kuongezeka matamasha na warsha nchi nzima bila kutatua matatizo halis ya wananchi wa kipato cha chini.

7. Miradi ya kilimo isiyomnufaisha mkulima wa kijijini moja kwa moja.., kama BBT, Kumbuka kilimo ni maisha ya watu huko kijijini na sio agenda.

8. Kuongezeka maradufu kwa matumizi ya serikali bila kuongeza tija...hii ni pamoja na upanuzi wa Baraza la mawaziri pamoja na uwepo wa tume nyingi zinazozunguka bila matokeo ya utendaji wa tume hizo kuonekana kuleta mabadiliko kwa umma.

9. Kudumaa kwa demokrasia, kulinganisha na Mwaka mmoja wa utawala wako..., hisia zinatawala ukwel kuliko uhalisia, mfano... Katiba mpya nk.

10. Kaa la moto la DP world, na shutuma za Rushwa ambazo hazijajibiwa kwa ufasaha hadi leo.

11. Kuna hili la Cartels (madalali biashara) kuwepo kila kona ya mambo yanayohusu maslahi ya nchi moja kwamoja, ikiwemo mafuta, Gas nk.

Mtiririko wa haya mambo ni mrefu sana, lakini watendaji wako walikuwa na nafasi kutafuta ukwel na kuuweka hadharani au hata kwenye baadhi ya mikutano ya Chama kwa ajili ya ufafanuzi.

Namsikitikia Mh. Rais kwamba pengine wasaidizi wake aliowaamini hawamsaidii ipasavyo??
You nailed it
You nailed it so efficiency

Mheshimiwa Rais kazungukwa na waeuliwa wenye nia isiyo njema kwake.

Avunje BMW ateue upya hajachelewa.
 
Kuna mambo yanaendelea nchini unajiiza hizi Habari kwanini zinatoka sasa bila maelezo?

Mawaziri viburi na majibu ya rejareja kwenye mambo mazito yanayohitaji utulivu wa akili.

Mambo haya yafuatayo yanamfanya Rais aonekane anatoa maelekezo kwa manufaa ya wachache wasio na uchungu na taifa hili hata kidogo.

Kitu ambacho ni uhakika pengine Rais lazima asisitiziwe na wasaidizi wake ni kwamba Tanzania ni nchi masikini na watu wake ni masikini mno.

Karibu asilimia 50% ya watanzania wote wanaishi chini ya USD 2 kwa siku.... hawa watu lazima maamuzi yeyote yawe yanawazingatia sana.

Habari zifuatazo zitamchafua sana Mh Rais kuelekea uchaguzi mkuu wa 2024/25.

1. Nyongeza ya karibu 40% ya Mishahara ya wabunge? Kulikuwa na haja gani kufanya jambo hilo sasa?

2. Kupanda bei za nishati ya mafuta na kuadimika bila maelezo yanayojitosheleza, awali ilisemekana ni kukosekana kwa $ sasa imegeuka imekuwa kupanda bei kwenye soko la dunia... bado shutuma hizi zinaelekezwa kwa teuzi za Mh Rais kwamba mume wa Spika anaesimamia EWURA wanakula njama na wafanyabiashara. (Rejea hotuba ya Mbunge Tabasam bungeni iliyozimwa na Spika?)

3. Kukatika umeme bila maelezo wala taarifa za kutosha nchi nzima.( Watu wanajiuliza Magufuli aliwezaje? Kalemani alifanyq kitu gani? Majibu hayatolewi.

4. Kuna mgao wa maji unaotarajiwa kuanzia wiki ijayo maeneo ya Dar, Arusha na Tabora....

5. Kuondoa Bima za Afya kwa watoto kwa kisingizio cha gharama, huku NHIF wakilipana posho na Mkopo binafsi na matumiz mabaya ya kias cha zaid ya 129B bila maelezo yakueleweka.(Report ya CAG)

6. Kuongezeka matamasha na warsha nchi nzima bila kutatua matatizo halis ya wananchi wa kipato cha chini.

7. Miradi ya kilimo isiyomnufaisha mkulima wa kijijini moja kwa moja.., kama BBT, Kumbuka kilimo ni maisha ya watu huko kijijini na sio agenda.

8. Kuongezeka maradufu kwa matumizi ya serikali bila kuongeza tija...hii ni pamoja na upanuzi wa Baraza la mawaziri pamoja na uwepo wa tume nyingi zinazozunguka bila matokeo ya utendaji wa tume hizo kuonekana kuleta mabadiliko kwa umma.

9. Kudumaa kwa demokrasia, kulinganisha na Mwaka mmoja wa utawala wako..., hisia zinatawala ukwel kuliko uhalisia, mfano... Katiba mpya nk.

10. Kaa la moto la DP world, na shutuma za Rushwa ambazo hazijajibiwa kwa ufasaha hadi leo.

11. Kuna hili la Cartels (madalali biashara) kuwepo kila kona ya mambo yanayohusu maslahi ya nchi moja kwamoja, ikiwemo mafuta, Gas nk.

Mtiririko wa haya mambo ni mrefu sana, lakini watendaji wako walikuwa na nafasi kutafuta ukwel na kuuweka hadharani au hata kwenye baadhi ya mikutano ya Chama kwa ajili ya ufafanuzi.

Namsikitikia Mh. Rais kwamba pengine wasaidizi wake aliowaamini hawamsaidii ipasavyo??
Hili nalo watalitizama
 
Hayo yote yamepewa baraka na huyo mama yenu mzigo kwa Taifa..mnajitahidi kumsafisha aonekane mwema eti anaharibiwa ama kushauriwa vibaya kitu ambacho si kweli, anajifelisha yeye mwenyewe kwa kushindwa kusimamia misingi bora ya Uongozi.

Acha tuisome namba ili tuje kuwa mfano kwa vizazi vijavyo kwa maamuzi yetu mabaya na mabovu dhidi ya ulinzi wa Taifa na Rasilimali zake.
Rafiki wa Mfanyabiashara ni Mfanyabiashara pia na Rafiki wa mwizi ni mwizi pia.
Mama ameamua kujenga urafiki na wezi!
 
Kuna mambo yanaendelea nchini unajiiza hizi Habari kwanini zinatoka sasa bila maelezo?

Mawaziri viburi na majibu ya rejareja kwenye mambo mazito yanayohitaji utulivu wa akili.

Mambo haya yafuatayo yanamfanya Rais aonekane anatoa maelekezo kwa manufaa ya wachache wasio na uchungu na taifa hili hata kidogo.

Kitu ambacho ni uhakika pengine Rais lazima asisitiziwe na wasaidizi wake ni kwamba Tanzania ni nchi masikini na watu wake ni masikini mno.

Karibu asilimia 50% ya watanzania wote wanaishi chini ya USD 2 kwa siku.... hawa watu lazima maamuzi yeyote yawe yanawazingatia sana.

Habari zifuatazo zitamchafua sana Mh Rais kuelekea uchaguzi mkuu wa 2024/25.

1. Nyongeza ya karibu 40% ya Mishahara ya wabunge? Kulikuwa na haja gani kufanya jambo hilo sasa?

2. Kupanda bei za nishati ya mafuta na kuadimika bila maelezo yanayojitosheleza, awali ilisemekana ni kukosekana kwa $ sasa imegeuka imekuwa kupanda bei kwenye soko la dunia... bado shutuma hizi zinaelekezwa kwa teuzi za Mh Rais kwamba mume wa Spika anaesimamia EWURA wanakula njama na wafanyabiashara. (Rejea hotuba ya Mbunge Tabasam bungeni iliyozimwa na Spika?)

3. Kukatika umeme bila maelezo wala taarifa za kutosha nchi nzima.( Watu wanajiuliza Magufuli aliwezaje? Kalemani alifanyq kitu gani? Majibu hayatolewi.

4. Kuna mgao wa maji unaotarajiwa kuanzia wiki ijayo maeneo ya Dar, Arusha na Tabora....

5. Kuondoa Bima za Afya kwa watoto kwa kisingizio cha gharama, huku NHIF wakilipana posho na Mkopo binafsi na matumiz mabaya ya kias cha zaid ya 129B bila maelezo yakueleweka.(Report ya CAG)

6. Kuongezeka matamasha na warsha nchi nzima bila kutatua matatizo halis ya wananchi wa kipato cha chini.

7. Miradi ya kilimo isiyomnufaisha mkulima wa kijijini moja kwa moja.., kama BBT, Kumbuka kilimo ni maisha ya watu huko kijijini na sio agenda.

8. Kuongezeka maradufu kwa matumizi ya serikali bila kuongeza tija...hii ni pamoja na upanuzi wa Baraza la mawaziri pamoja na uwepo wa tume nyingi zinazozunguka bila matokeo ya utendaji wa tume hizo kuonekana kuleta mabadiliko kwa umma.

9. Kudumaa kwa demokrasia, kulinganisha na Mwaka mmoja wa utawala wako..., hisia zinatawala ukwel kuliko uhalisia, mfano... Katiba mpya nk.

10. Kaa la moto la DP world, na shutuma za Rushwa ambazo hazijajibiwa kwa ufasaha hadi leo.

11. Kuna hili la Cartels (madalali biashara) kuwepo kila kona ya mambo yanayohusu maslahi ya nchi moja kwamoja, ikiwemo mafuta, Gas nk.

Mtiririko wa haya mambo ni mrefu sana, lakini watendaji wako walikuwa na nafasi kutafuta ukwel na kuuweka hadharani au hata kwenye baadhi ya mikutano ya Chama kwa ajili ya ufafanuzi.

Namsikitikia Mh. Rais kwamba pengine wasaidizi wake aliowaamini hawamsaidii ipasavyo??
Yy SAMIA kama ni mvivu wa kujua shida za wananchi ni Uzembe wake na ndio uwezo wake umeishia hapo.
 
Lakini mkuu kumbuka wengi wa mawaziri waliopo na wabunge waliopo aliwakuta?
Kwani hana nguvu ya kubadilisha mawaziri wote na kuweka wapya?....Kama anayo, je hoja yako inakujaje hapa?
 
Back
Top Bottom