Hao wote mnasema ni wakatoliki nyie sio maana tayari mmesha hasi kanisa.
Moja mmekataa kwa hiari yenu kushiriki jumuiya na sala zingine za vikundi(vyama vya kitume) lakini pia kanisani hamuendi, ila mnataka mzikwe na huduma ya kanisa.
Kanisa ni la walio hai na sio wafu hivyo shiriki ukiwa hai ili ukifa waamini wakusindikize kwa maombi.
Pia jumuiya yako hayo majungu sijui kutongozana sioni maana yeyote zaidi ya uongo maana sala ni dakika 45. Baada ya sala watu wote wanaondoka tena saa 12:00 asubuhi wanatongozana wapi.
Kama wanaweza kwemda wote kanisani, vikoba vya mtaa, wanakutana kila siku mtaani Jumuiya haiwezi kuwa chanzo maana wanakutana mara nyingi zaidi kwenye mambo mengine kuliko huko kwemye jumuiya.
Kuhusu michango, ni kweli ipo kwenye jumuiya kama sehemu ya kuendeleza kanisa. Lakini jumuiya zenye sadaka nzuri hakuna haja ya michango.
Mwisho huna hoja ya kutokwenda jumuiya zaidi ya uvivu, ulegevu wa iman, ulembukeni wa imani na kutaka kujusfy upungufu wako.
Moja mmekataa kwa hiari yenu kushiriki jumuiya na sala zingine za vikundi(vyama vya kitume) lakini pia kanisani hamuendi, ila mnataka mzikwe na huduma ya kanisa.
Kanisa ni la walio hai na sio wafu hivyo shiriki ukiwa hai ili ukifa waamini wakusindikize kwa maombi.
Pia jumuiya yako hayo majungu sijui kutongozana sioni maana yeyote zaidi ya uongo maana sala ni dakika 45. Baada ya sala watu wote wanaondoka tena saa 12:00 asubuhi wanatongozana wapi.
Kama wanaweza kwemda wote kanisani, vikoba vya mtaa, wanakutana kila siku mtaani Jumuiya haiwezi kuwa chanzo maana wanakutana mara nyingi zaidi kwenye mambo mengine kuliko huko kwemye jumuiya.
Kuhusu michango, ni kweli ipo kwenye jumuiya kama sehemu ya kuendeleza kanisa. Lakini jumuiya zenye sadaka nzuri hakuna haja ya michango.
Mwisho huna hoja ya kutokwenda jumuiya zaidi ya uvivu, ulegevu wa iman, ulembukeni wa imani na kutaka kujusfy upungufu wako.