Ni Mkatoliki 100% ila hizi ni sababu zangu za kwanini Sihudhurii na Sitohudhuria Jumuiya za kila Jumamosi....

Ni Mkatoliki 100% ila hizi ni sababu zangu za kwanini Sihudhurii na Sitohudhuria Jumuiya za kila Jumamosi....

Hao wote mnasema ni wakatoliki nyie sio maana tayari mmesha hasi kanisa.

Moja mmekataa kwa hiari yenu kushiriki jumuiya na sala zingine za vikundi(vyama vya kitume) lakini pia kanisani hamuendi, ila mnataka mzikwe na huduma ya kanisa.

Kanisa ni la walio hai na sio wafu hivyo shiriki ukiwa hai ili ukifa waamini wakusindikize kwa maombi.

Pia jumuiya yako hayo majungu sijui kutongozana sioni maana yeyote zaidi ya uongo maana sala ni dakika 45. Baada ya sala watu wote wanaondoka tena saa 12:00 asubuhi wanatongozana wapi.

Kama wanaweza kwemda wote kanisani, vikoba vya mtaa, wanakutana kila siku mtaani Jumuiya haiwezi kuwa chanzo maana wanakutana mara nyingi zaidi kwenye mambo mengine kuliko huko kwemye jumuiya.

Kuhusu michango, ni kweli ipo kwenye jumuiya kama sehemu ya kuendeleza kanisa. Lakini jumuiya zenye sadaka nzuri hakuna haja ya michango.

Mwisho huna hoja ya kutokwenda jumuiya zaidi ya uvivu, ulegevu wa iman, ulembukeni wa imani na kutaka kujusfy upungufu wako.
 
Michango ya jumuiya makosa mi naona ni ya kanisa.
Maana huko ndo inakotokea... ila kusema kweli michango inachosha.
Mi binafsi siendi jumuiya uvivu wakuamka saa 12, ukichanganya na majungu , ukienda unatwishwa majukumu mazito! Hujadaiwa mchango daaah!!!
Naishia tu kanisani maana kule hamna hata atakae kukaba
Na hapo ni misa ya 2 maana ya kwanza unakutana na kwanzia mwenyekiti wa jumuiya,katibu sijui nani wa WAWATA mara sijui VIWAWA
EEH
Kuna jirani alikua hajatoa michango ya jumuia....sasa christmass kuna mwanajumuiya akatoa 🐐 wale wanaume wa jumuiya akaomba katika list ya watakaoenda kuiandaa na kuchinja wamhesabu....wakamtema...wakamwambia hujachanga michango una gaps kibao...since then ...🙌
 
Amri ya Kanisa inasema SAIDIA KANISA KATOLIKI KWA ZAKA..
hizo mambo zingine zinatoka wapi?
Wenzetu ulaya hata hiyo sadaka ya katikati ya misa hawatoi.. Kwa sababu Zaka ina fanya kila kitu..

Huku michango michango michango
Neno zaka limeongezea ila kulingana na tafsiri ya kiingereza inasema "You shall help to provide for the needs of the church"
 
1. Jumuiya kumekuwa ni sehemu za Majungu.

2. Jumuiya imekuwa ni sehemu za Kuchunguzana Kimaisha.

3. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Masutano.

4. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Wanaume Kutongoza na Wanawake kutafuta wa Kuwachapa Nao ( Kuwabandua )

5. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Kutishana kuwa kama hauhudhurii basi Ukifa ( Ukifariki ) Kanisa Katoliki halitokuombea ukiwa Jenezani Kwako.

6. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya kila Siku kuja na Michango isiyo na Kichwa wala Miguu.

7. Jumuiya imekuwa ni Gulio Kuu la kila aina ya Unafiki unaoujua na usioujua hapa duniani.

Halafu Wewe Mwenyekiti, Katibu na Mweka Hazina wa Jumuiya yangu hivi mnavyonitishia kuwa kama nisipohudhuria Jumuiya Nikifa hamtoniombea mmeshazungumza na Baba Mungu na akawaambieni kuwa ataanza Kunitanguliza Mimi Kaburini kabla yenu? Wapuuzi wakubwa nyie.

Je, mnavyong'ang'ania Kutoniombea GENTAMYCINE pale Nikifa je, ile Siku ninazaliwa mlikuja Agha Khan Hospital mbele ya Sister Brendah na Sister Aghata waliohakikisha Nazaliwa vyema na salama Kuniombea? Wapuuzi wakubwa nyie.

Na nani aliyewadanganyeni kuwa Imani ya Ukatoliki inapimwa kwa Kuja Kwake ( Kuhudhuria ) katika Jumuiya za Kikatoliki kila Jumamosi kama ya hii leo?

Nilichoamua tu na najua hata Mwenyezi Mungu ananibariki nacho ni kwamba nitajitahidi Kuhudhuria Ibada zote za kila Jumapili ( hasa Misa yangu pendwa ya Kwanza ) na kutoa Sadaka na Michango ya Kikanisa kama tu nitakuwa Nimebarikiwa na Uchumi kwa wakati huo na kama sina najua hata Mola / Maulana nae atajua na hatonichukia au kuwa na Usununu ( Kinyongo ) nami.

Nawatakieni nyote Jumuiya njema!!!!
Jiandae kukalipiwa na wenzio
 
1. Jumuiya kumekuwa ni sehemu za Majungu.

2. Jumuiya imekuwa ni sehemu za Kuchunguzana Kimaisha.

3. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Masutano.

4. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Wanaume Kutongoza na Wanawake kutafuta wa Kuwachapa Nao ( Kuwabandua )

5. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Kutishana kuwa kama hauhudhurii basi Ukifa ( Ukifariki ) Kanisa Katoliki halitokuombea ukiwa Jenezani Kwako.

6. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya kila Siku kuja na Michango isiyo na Kichwa wala Miguu.

7. Jumuiya imekuwa ni Gulio Kuu la kila aina ya Unafiki unaoujua na usioujua hapa duniani.

Halafu Wewe Mwenyekiti, Katibu na Mweka Hazina wa Jumuiya yangu hivi mnavyonitishia kuwa kama nisipohudhuria Jumuiya Nikifa hamtoniombea mmeshazungumza na Baba Mungu na akawaambieni kuwa ataanza Kunitanguliza Mimi Kaburini kabla yenu? Wapuuzi wakubwa nyie.

Je, mnavyong'ang'ania Kutoniombea GENTAMYCINE pale Nikifa je, ile Siku ninazaliwa mlikuja Agha Khan Hospital mbele ya Sister Brendah na Sister Aghata waliohakikisha Nazaliwa vyema na salama Kuniombea? Wapuuzi wakubwa nyie.

Na nani aliyewadanganyeni kuwa Imani ya Ukatoliki inapimwa kwa Kuja Kwake ( Kuhudhuria ) katika Jumuiya za Kikatoliki kila Jumamosi kama ya hii leo?

Nilichoamua tu na najua hata Mwenyezi Mungu ananibariki nacho ni kwamba nitajitahidi Kuhudhuria Ibada zote za kila Jumapili ( hasa Misa yangu pendwa ya Kwanza ) na kutoa Sadaka na Michango ya Kikanisa kama tu nitakuwa Nimebarikiwa na Uchumi kwa wakati huo na kama sina najua hata Mola / Maulana nae atajua na hatonichukia au kuwa na Usununu ( Kinyongo ) nami.

Nawatakieni nyote Jumuiya njema!!!!
mkuu kama ujapiga kitu dry na mixer huwa unaandikaga vitu vya msingi
 
1. Jumuiya kumekuwa ni sehemu za Majungu.

2. Jumuiya imekuwa ni sehemu za Kuchunguzana Kimaisha.

3. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Masutano.

4. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Wanaume Kutongoza na Wanawake kutafuta wa Kuwachapa Nao ( Kuwabandua )

5. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Kutishana kuwa kama hauhudhurii basi Ukifa ( Ukifariki ) Kanisa Katoliki halitokuombea ukiwa Jenezani Kwako.

6. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya kila Siku kuja na Michango isiyo na Kichwa wala Miguu.

7. Jumuiya imekuwa ni Gulio Kuu la kila aina ya Unafiki unaoujua na usioujua hapa duniani.

Halafu Wewe Mwenyekiti, Katibu na Mweka Hazina wa Jumuiya yangu hivi mnavyonitishia kuwa kama nisipohudhuria Jumuiya Nikifa hamtoniombea mmeshazungumza na Baba Mungu na akawaambieni kuwa ataanza Kunitanguliza Mimi Kaburini kabla yenu? Wapuuzi wakubwa nyie.

Je, mnavyong'ang'ania Kutoniombea GENTAMYCINE pale Nikifa je, ile Siku ninazaliwa mlikuja Agha Khan Hospital mbele ya Sister Brendah na Sister Aghata waliohakikisha Nazaliwa vyema na salama Kuniombea? Wapuuzi wakubwa nyie.

Na nani aliyewadanganyeni kuwa Imani ya Ukatoliki inapimwa kwa Kuja Kwake ( Kuhudhuria ) katika Jumuiya za Kikatoliki kila Jumamosi kama ya hii leo?

Nilichoamua tu na najua hata Mwenyezi Mungu ananibariki nacho ni kwamba nitajitahidi Kuhudhuria Ibada zote za kila Jumapili ( hasa Misa yangu pendwa ya Kwanza ) na kutoa Sadaka na Michango ya Kikanisa kama tu nitakuwa Nimebarikiwa na Uchumi kwa wakati huo na kama sina najua hata Mola / Maulana nae atajua na hatonichukia au kuwa na Usununu ( Kinyongo ) nami.

Nawatakieni nyote Jumuiya njema!!!!
Sidanganyi sina jumuiya hata moja. Si hapa nilipo hata nilikozaliwa. Ninachohisi sitazikwa kijumuiya ila itabidi wanizike kimkatoliki kama watapendezewa. Wasipopendezewa basi nitazikwa na sapuri yangu ya mama Maria na mtakatifu Shaber ambaye ndiye mtakatifu wa mwisho kuzuru.
 
Michango imekuwa mingi sana Kanisa Katoliki..

Mbaya zaidi ukikaa karibu na hao makuhani unaweza acha kutoa kabisa..

Kuna sadaka ya kawaida ya jumuiya
Kuna tegemeza jimbo
Kuna tegemeza parokia
Kuna mavuno
Kuna zaka
Kuna mchango wa ujenzi
Kuna mchango wa UWAKA/ WAWATA
kuna mchango wa gari la paroko


Michango ni bandika bandua
Ujenzi wa ukumbi
Ujenzi wa shule
Birthday yaPengo
Radio maria
Radio Tumaini
 
kiufupi jumuiya zimeanzishwa ili kuongeza kipato cha sadaka mkamuliwe juma pili kanisani alaff jumamosi au juma tano mnakamuliwa tena mkikutana alaf kero ni pale wanataka kusalia ndani kwako mm nawakaribisha nje tu.
nakumbuka kuna siku kulikua na hali ya mvua nkaandaa vitu kwenye garden wakaja mm nkaingia ndani ghafla mvua ikaanza nkajifungia kimya ilipokata na muda umesogea nkatoka nkawaambia kwa leo mambo yashaharibika wakataka kusalia ndani nakawagomea kwanza ndan kwangu hakuna nafasi bas kile kitu wakaenda sema hadi kwa mchungaji na ndo mwanzo na mwisho kwenda jumuiya wakija kwangu sifungui asubuh wanakuta kimyaaaaaaaaaa tena jumamos ndo kabisaaa naamka saa tano
Mkuu umenichekesha, we kauzu Kama Mimi muda mwingine
 
Kama ungekua una akili japo chembe usingeweza kubeza umuhimu wa ibada za jumuia ndogondogo.

Watu wanasema tu ila mimi nimeshuhudia mtu akizikwa na serikali ya mtaa. Hata walokole hawakujihusha nae.
Asikuambie mtu inauma sana kuona ndugu yako anazikwa kama mzoga wa mbwa aliyegongwa barabarani
Ww nae akili ndogo aisee!!! Ukisha kufa hauna kitu cha ziada.. kwani ukizikwa vzr unapata faida gn ww marehemu?

Ukisha kufa utazikwa tu na hata usipo zikwa harufu watapambana nayo wenyewe.

Ww ni mtumwa wa kidini na muoga wa kifo, nakwambia utakufa tu Kama sisi tutakavyo kufa. Hata uzikwe vp na sisi tuzikwe na manispaa sote ni wafu tu na tumefukiwa.

Nakushauri toka utumwani na uishi maisha yanayokupendeza ww
 
1. Jumuiya kumekuwa ni sehemu za Majungu.

2. Jumuiya imekuwa ni sehemu za Kuchunguzana Kimaisha.

3. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Masutano.

4. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Wanaume Kutongoza na Wanawake kutafuta wa Kuwachapa Nao ( Kuwabandua )

5. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Kutishana kuwa kama hauhudhurii basi Ukifa ( Ukifariki ) Kanisa Katoliki halitokuombea ukiwa Jenezani Kwako.

6. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya kila Siku kuja na Michango isiyo na Kichwa wala Miguu.

7. Jumuiya imekuwa ni Gulio Kuu la kila aina ya Unafiki unaoujua na usioujua hapa duniani.

Halafu Wewe Mwenyekiti, Katibu na Mweka Hazina wa Jumuiya yangu hivi mnavyonitishia kuwa kama nisipohudhuria Jumuiya Nikifa hamtoniombea mmeshazungumza na Baba Mungu na akawaambieni kuwa ataanza Kunitanguliza Mimi Kaburini kabla yenu? Wapuuzi wakubwa nyie.

Je, mnavyong'ang'ania Kutoniombea GENTAMYCINE pale Nikifa je, ile Siku ninazaliwa mlikuja Agha Khan Hospital mbele ya Sister Brendah na Sister Aghata waliohakikisha Nazaliwa vyema na salama Kuniombea? Wapuuzi wakubwa nyie.

Na nani aliyewadanganyeni kuwa Imani ya Ukatoliki inapimwa kwa Kuja Kwake ( Kuhudhuria ) katika Jumuiya za Kikatoliki kila Jumamosi kama ya hii leo?

Nilichoamua tu na najua hata Mwenyezi Mungu ananibariki nacho ni kwamba nitajitahidi Kuhudhuria Ibada zote za kila Jumapili ( hasa Misa yangu pendwa ya Kwanza ) na kutoa Sadaka na Michango ya Kikanisa kama tu nitakuwa Nimebarikiwa na Uchumi kwa wakati huo na kama sina najua hata Mola / Maulana nae atajua na hatonichukia au kuwa na Usununu ( Kinyongo ) nami.

Nawatakieni nyote Jumuiya njema!!!!
Mimi ni Mwenyekiti wako wa Jumuiya,malalamiko yako nimeyapokea nitayafanyia kazi.Lkn nakuomba kwa moyo radhi Kabisa njoo Jumuiyani tusali Pamoja,changamoto hizo tutazitatua.
 
1. Jumuiya kumekuwa ni sehemu za Majungu.

2. Jumuiya imekuwa ni sehemu za Kuchunguzana Kimaisha.

3. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Masutano.

4. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Wanaume Kutongoza na Wanawake kutafuta wa Kuwachapa Nao ( Kuwabandua )

5. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Kutishana kuwa kama hauhudhurii basi Ukifa ( Ukifariki ) Kanisa Katoliki halitokuombea ukiwa Jenezani Kwako.

6. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya kila Siku kuja na Michango isiyo na Kichwa wala Miguu.

7. Jumuiya imekuwa ni Gulio Kuu la kila aina ya Unafiki unaoujua na usioujua hapa duniani.

Halafu Wewe Mwenyekiti, Katibu na Mweka Hazina wa Jumuiya yangu hivi mnavyonitishia kuwa kama nisipohudhuria Jumuiya Nikifa hamtoniombea mmeshazungumza na Baba Mungu na akawaambieni kuwa ataanza Kunitanguliza Mimi Kaburini kabla yenu? Wapuuzi wakubwa nyie.

Je, mnavyong'ang'ania Kutoniombea GENTAMYCINE pale Nikifa je, ile Siku ninazaliwa mlikuja Agha Khan Hospital mbele ya Sister Brendah na Sister Aghata waliohakikisha Nazaliwa vyema na salama Kuniombea? Wapuuzi wakubwa nyie.

Na nani aliyewadanganyeni kuwa Imani ya Ukatoliki inapimwa kwa Kuja Kwake ( Kuhudhuria ) katika Jumuiya za Kikatoliki kila Jumamosi kama ya hii leo?

Nilichoamua tu na najua hata Mwenyezi Mungu ananibariki nacho ni kwamba nitajitahidi Kuhudhuria Ibada zote za kila Jumapili ( hasa Misa yangu pendwa ya Kwanza ) na kutoa Sadaka na Michango ya Kikanisa kama tu nitakuwa Nimebarikiwa na Uchumi kwa wakati huo na kama sina najua hata Mola / Maulana nae atajua na hatonichukia au kuwa na Usununu ( Kinyongo ) nami.

Nawatakieni nyote Jumuiya njema!!!!
Hiyo ya 4 Dr. GENTAMYCINE
nimeipenda
 
Umeandika kwa kutizama kwa jicho hasi ila umesahau kuwa jumuiya ni msingi wa imani kwani huwaleta wakristu pamoja kama kanisa moja.Hiyo ni moja ya faida pamoja na faida zingine nyingi ikiwemo kusali pamoja. Kama umeona mapungufu nilitegemea kama mkristu makini ungekuwa wa kwanza kurekebisha kasoro hizo ndogo ndogo na kusisitiza watu wahudhurie!
Jumuia nyingi, siku ya Jumuia ya Jumamosi, Muda wa sala ni mdogo saana ukilinganisha muda wa kushughulikia michango!
 
1. Jumuiya kumekuwa ni sehemu za Majungu.

2. Jumuiya imekuwa ni sehemu za Kuchunguzana Kimaisha.

3. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Masutano.

4. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Wanaume Kutongoza na Wanawake kutafuta wa Kuwachapa Nao ( Kuwabandua )

5. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Kutishana kuwa kama hauhudhurii basi Ukifa ( Ukifariki ) Kanisa Katoliki halitokuombea ukiwa Jenezani Kwako.

6. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya kila Siku kuja na Michango isiyo na Kichwa wala Miguu.

7. Jumuiya imekuwa ni Gulio Kuu la kila aina ya Unafiki unaoujua na usioujua hapa duniani.

Halafu Wewe Mwenyekiti, Katibu na Mweka Hazina wa Jumuiya yangu hivi mnavyonitishia kuwa kama nisipohudhuria Jumuiya Nikifa hamtoniombea mmeshazungumza na Baba Mungu na akawaambieni kuwa ataanza Kunitanguliza Mimi Kaburini kabla yenu? Wapuuzi wakubwa nyie.

Je, mnavyong'ang'ania Kutoniombea GENTAMYCINE pale Nikifa je, ile Siku ninazaliwa mlikuja Agha Khan Hospital mbele ya Sister Brendah na Sister Aghata waliohakikisha Nazaliwa vyema na salama Kuniombea? Wapuuzi wakubwa nyie.

Na nani aliyewadanganyeni kuwa Imani ya Ukatoliki inapimwa kwa Kuja Kwake ( Kuhudhuria ) katika Jumuiya za Kikatoliki kila Jumamosi kama ya hii leo?

Nilichoamua tu na najua hata Mwenyezi Mungu ananibariki nacho ni kwamba nitajitahidi Kuhudhuria Ibada zote za kila Jumapili ( hasa Misa yangu pendwa ya Kwanza ) na kutoa Sadaka na Michango ya Kikanisa kama tu nitakuwa Nimebarikiwa na Uchumi kwa wakati huo na kama sina najua hata Mola / Maulana nae atajua na hatonichukia au kuwa na Usununu ( Kinyongo ) nami.

Nawatakieni nyote Jumuiya njema!!!!
Labda jumuiya yenu
 
Hao wote mnasema ni wakatoliki nyie sio maana tayari mmesha hasi kanisa.

Moja mmekataa kwa hiari yenu kushiriki jumuiya na sala zingine za vikundi(vyama vya kitume) lakini pia kanisani hamuendi, ila mnataka mzikwe na huduma ya kanisa.

Kanisa ni la walio hai na sio wafu hivyo shiriki ukiwa hai ili ukifa waamini wakusindikize kwa maombi.

Pia jumuiya yako hayo majungu sijui kutongozana sioni maana yeyote zaidi ya uongo maana sala ni dakika 45. Baada ya sala watu wote wanaondoka tena saa 12:00 asubuhi wanatongozana wapi.

Kama wanaweza kwemda wote kanisani, vikoba vya mtaa, wanakutana kila siku mtaani Jumuiya haiwezi kuwa chanzo maana wanakutana mara nyingi zaidi kwenye mambo mengine kuliko huko kwemye jumuiya.

Kuhusu michango, ni kweli ipo kwenye jumuiya kama sehemu ya kuendeleza kanisa. Lakini jumuiya zenye sadaka nzuri hakuna haja ya michango.

Mwisho huna hoja ya kutokwenda jumuiya zaidi ya uvivu, ulegevu wa iman, ulembukeni wa imani na kutaka kujusfy upungufu wako.
Kanisa ni nini? ukatoliki ni nini? Na imani ni nini?..Nipe tofauti ya hivi vitatu!
 
Back
Top Bottom