Ni Mkatoliki 100% ila hizi ni sababu zangu za kwanini Sihudhurii na Sitohudhuria Jumuiya za kila Jumamosi....

Duh!

Mpaka Simba imefika kwenye jumuia!!
 
Mkuu huwezi amini Nimecheka mpaka basi kwa hii post yako na kila nikiikumbuka tu najikuta naangua Kicheko tu. Hakika Jamiiforums ni raha mno na Burudani tosha.
Poa mkuu. Mimi ninapenda maisha halisi.

Mwenyekiti alitangaza 'mpango kazi' wa kanisa. Nikawa na hamu kujua pengine ni mpango kazi wa kusali; ja ajabu ananiambia ni michango ambayo ni matumizi ya kila siku ikiwemo kuwalipa wafanyakazi wa Parokia. Nikasema sawa!

Parokia yetu, kila jumuia huwa inaandaa andiko la Mapato na Matumizi.

Kila week michango mara watoto wakienda kuhiji, sherehe, pasaka na sikukuu zote wanataka hela.

Kanisa sijui linatupeleka wapi. Nimewahi kuambiwa Wazungu wamejitoa kufadhili makanisa yetu na kwa hiyo mzigo upo kwetu.

Kanisa lenyewe halisaidii watu. Hata ukienda kuomba panado hupewi. Sasa ya nini?

Hawana aibu!
 
Umemake sense sana hapa POPOMA...tangu nimeanza kukufahamu..
 

Ni wakati kwa wakatoliki kujitafakari kama ni mahali sahihi kulea watoto wao na Familia zao
 
Mkuu fanya tafiti .. baada ya Central gvt kanisa katoliki linafuata kutoa kwa jamii.
Hivi unanielewa. Nina maana kwamba; mimi ninatoa michango bure kwa kanisa, lakini kanisa halinipi bure msaada.

Siyo huduma hizo za kanisa ambazo hata kuzimudu nazo ni tabu tupu. Shule ghali, dawa ghali, hospitali na kila huduma ya kanisa ni gharama sana kuliko za serikali. Sasa si bora nikaacha kuchangia ili niwe na akiba ya kumudu hizo huduma zao.
 
Kanisa huwa linasaidia nini?
 
Miradi yote ya kanisa katoliki pesa zinakwenda wapi?
 
Jamaa umeongea kweli kabisa aisee Yani jamaa Wana michango mingi halafu daily khaaaaaa nimewachoka aiseee
 
Katika kanisa Katoliki jumuiya ni kama serikali za mitaa katika serikali, na Vatican ni nchi, hivyo huwezi kukwepa jumuiya. Jitahidi urekebishe mambo na ubaki kwenye jumuiya yako. Kila kitu kinaanzia kwenye jumuiya mf. Ubatizo, ndoa nk.
 
Kwa wenyeji tuliozaliwa Dar maternity ilikuwa ocean road then ikahamia Muhimbili.

Ukifoji birth certificate ukaandika umezaliwa Aga Khan unapigwa pingu mapema tu.
Mqjuha wakubwa nyie jadilini Mada Kuu na sijasema kuwa Nimezaliwa Hospitali ya Agha Khan labda niwe kama najimwambafai Kwenu bali ni katika Kukazia Uzi.

Na kuwatieni Hasira zaidi Majuha na Washamba nyie sikuishia tu Kuzaliwa hapo ila nilipozaliwa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere akatoka Ikulu ( Mita chache tu ) kuja Kunibeba na kunipa Jina langu halisia ambalo ninalo na nitakufa nalo.

Na sijacheza tu na kushinda Ikulu yenu ya Magogoni na kule ( pale ) Msasani bali pia nimechezea na hadi kulala vile vile na Ikulu ya Nakasero nchini Uganda kwake Rais wa Uganda Yoweri Museveni.

Wapuuzi wakubwa nyie mliojaa Wivu, Chuki, Hasira na Ushamba kwakuwa labda hamkuwa / hamjawa 'Privileged' tokea mzaliwe au katika Makuzi yenu kama wengine ambao tumezaliwa na kuyakuta hayo ( haya ) Maisha japo huwa hatupendi Kujionyesha au Kujitangaza ila inapobidi na tukikutana na Waswahili kama Wewe na Wenzako huwa mnatulazimisha sasa 'tujimwambafai' Kwenu ili tuanze Kuheshimiana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…