Ni Mkatoliki 100% ila hizi ni sababu zangu za kwanini Sihudhurii na Sitohudhuria Jumuiya za kila Jumamosi....

Ni Mkatoliki 100% ila hizi ni sababu zangu za kwanini Sihudhurii na Sitohudhuria Jumuiya za kila Jumamosi....

1. Jumuiya kumekuwa ni sehemu za Majungu.

2. Jumuiya imekuwa ni sehemu za Kuchunguzana Kimaisha.

3. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Masutano.

4. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Wanaume Kutongoza na Wanawake kutafuta wa Kuwachapa Nao ( Kuwabandua )

5. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Kutishana kuwa kama hauhudhurii basi Ukifa ( Ukifariki ) Kanisa Katoliki halitokuombea ukiwa Jenezani Kwako.

6. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya kila Siku kuja na Michango isiyo na Kichwa wala Miguu.

7. Jumuiya imekuwa ni Gulio Kuu la kila aina ya Unafiki unaoujua na usioujua hapa duniani.

Halafu Wewe Mwenyekiti, Katibu na Mweka Hazina wa Jumuiya yangu hivi mnavyonitishia kuwa kama nisipohudhuria Jumuiya Nikifa hamtoniombea mmeshazungumza na Baba Mungu na akawaambieni kuwa ataanza Kunitanguliza Mimi Kaburini kabla yenu? Wapuuzi wakubwa nyie.

Je, mnavyong'ang'ania Kutoniombea GENTAMYCINE pale Nikifa je, ile Siku ninazaliwa mlikuja Agha Khan Hospital mbele ya Sister Brendah na Sister Aghata waliohakikisha Nazaliwa vyema na salama Kuniombea? Wapuuzi wakubwa nyie.

Na nani aliyewadanganyeni kuwa Imani ya Ukatoliki inapimwa kwa Kuja Kwake ( Kuhudhuria ) katika Jumuiya za Kikatoliki kila Jumamosi kama ya hii leo?

Nilichoamua tu na najua hata Mwenyezi Mungu ananibariki nacho ni kwamba nitajitahidi Kuhudhuria Ibada zote za kila Jumapili ( hasa Misa yangu pendwa ya Kwanza ) na kutoa Sadaka na Michango ya Kikanisa kama tu nitakuwa Nimebarikiwa na Uchumi kwa wakati huo na kama sina najua hata Mola / Maulana nae atajua na hatonichukia au kuwa na Usununu ( Kinyongo ) nami.

Nawatakieni nyote Jumuiya njema!!!!
Umeandika kimajungu. Ujinga mtupu.
 
1. Jumuiya kumekuwa ni sehemu za Majungu.

2. Jumuiya imekuwa ni sehemu za Kuchunguzana Kimaisha.

3. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Masutano.

4. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Wanaume Kutongoza na Wanawake kutafuta wa Kuwachapa Nao ( Kuwabandua )

5. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Kutishana kuwa kama hauhudhurii basi Ukifa ( Ukifariki ) Kanisa Katoliki halitokuombea ukiwa Jenezani Kwako.

6. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya kila Siku kuja na Michango isiyo na Kichwa wala Miguu.

7. Jumuiya imekuwa ni Gulio Kuu la kila aina ya Unafiki unaoujua na usioujua hapa duniani.

Halafu Wewe Mwenyekiti, Katibu na Mweka Hazina wa Jumuiya yangu hivi mnavyonitishia kuwa kama nisipohudhuria Jumuiya Nikifa hamtoniombea mmeshazungumza na Baba Mungu na akawaambieni kuwa ataanza Kunitanguliza Mimi Kaburini kabla yenu? Wapuuzi wakubwa nyie.

Je, mnavyong'ang'ania Kutoniombea GENTAMYCINE pale Nikifa je, ile Siku ninazaliwa mlikuja Agha Khan Hospital mbele ya Sister Brendah na Sister Aghata waliohakikisha Nazaliwa vyema na salama Kuniombea? Wapuuzi wakubwa nyie.

Na nani aliyewadanganyeni kuwa Imani ya Ukatoliki inapimwa kwa Kuja Kwake ( Kuhudhuria ) katika Jumuiya za Kikatoliki kila Jumamosi kama ya hii leo?

Nilichoamua tu na najua hata Mwenyezi Mungu ananibariki nacho ni kwamba nitajitahidi Kuhudhuria Ibada zote za kila Jumapili ( hasa Misa yangu pendwa ya Kwanza ) na kutoa Sadaka na Michango ya Kikanisa kama tu nitakuwa Nimebarikiwa na Uchumi kwa wakati huo na kama sina najua hata Mola / Maulana nae atajua na hatonichukia au kuwa na Usununu ( Kinyongo ) nami.

Nawatakieni nyote Jumuiya njema!!!!
Dr. Msoka kule Moshi vp?
 
1. Jumuiya kumekuwa ni sehemu za Majungu.

2. Jumuiya imekuwa ni sehemu za Kuchunguzana Kimaisha.

3. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Masutano.

4. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Wanaume Kutongoza na Wanawake kutafuta wa Kuwachapa Nao ( Kuwabandua )

5. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya Kutishana kuwa kama hauhudhurii basi Ukifa ( Ukifariki ) Kanisa Katoliki halitokuombea ukiwa Jenezani Kwako.

6. Jumuiya imekuwa ni sehemu ya kila Siku kuja na Michango isiyo na Kichwa wala Miguu.

7. Jumuiya imekuwa ni Gulio Kuu la kila aina ya Unafiki unaoujua na usioujua hapa duniani.

Halafu Wewe Mwenyekiti, Katibu na Mweka Hazina wa Jumuiya yangu hivi mnavyonitishia kuwa kama nisipohudhuria Jumuiya Nikifa hamtoniombea mmeshazungumza na Baba Mungu na akawaambieni kuwa ataanza Kunitanguliza Mimi Kaburini kabla yenu? Wapuuzi wakubwa nyie.

Je, mnavyong'ang'ania Kutoniombea GENTAMYCINE pale Nikifa je, ile Siku ninazaliwa mlikuja Agha Khan Hospital mbele ya Sister Brendah na Sister Aghata waliohakikisha Nazaliwa vyema na salama Kuniombea? Wapuuzi wakubwa nyie.

Na nani aliyewadanganyeni kuwa Imani ya Ukatoliki inapimwa kwa Kuja Kwake ( Kuhudhuria ) katika Jumuiya za Kikatoliki kila Jumamosi kama ya hii leo?

Nilichoamua tu na najua hata Mwenyezi Mungu ananibariki nacho ni kwamba nitajitahidi Kuhudhuria Ibada zote za kila Jumapili ( hasa Misa yangu pendwa ya Kwanza ) na kutoa Sadaka na Michango ya Kikanisa kama tu nitakuwa Nimebarikiwa na Uchumi kwa wakati huo na kama sina najua hata Mola / Maulana nae atajua na hatonichukia au kuwa na Usununu ( Kinyongo ) nami.

Nawatakieni nyote Jumuiya njema!!!!
Sababu ulizozitaja baadhi zina UKWELI ila sababu zingine ulizozitaja ni suala linaloegemea mtazamo wako.
(1) Sehemu ya kutongozana, hata kanisani wanatongozana( Mfano: wanakwaya, wanafunzi).
(2) Ishu ya kukuombea kwa MUNGU siyo suala la viongozi wa jumuiya isipokuwa ni mwongozo wa kanisa ( kutoendesha misa kwa asiyehudhuria jumuiya).- Rejea mafundisho yanayosisitiza umuhimu wa MISA.
(3) Hutakiwi kuwa na hasira na watu. Hasa viongozi wa jumuiya ambao ni wapokeaji wa maagizo tu( ndio maana, sasahivi wengi hawapendi kuwa viongozi wa jumuiya).
(4) Hatahivyo, kanisa Katoliki linaendeshwa na michango ya waumini ( tangu mwanzo, ilikuwa hivyo- Rejea kanisa la YERUSALEMU).
NB
-Uko sahihi kabisa kuwa kwenda MBINGUNI kupo katika maamuzi ya MUNGU na siyo vinginevyo.
- Pia kanisa lingekuwa linawapa waumini kama mwezi mmoja hivi baada ya miezi 3 ili wapumue kwa baadhi ya michango, badala ya bandua bandika ili watu wapunguze STRESS.
 
Tatizo jumuiya kila jumamosi zinarotate kwenye nyumba za waumini sasa kama mazingira yako machafu utaichukia tu jumuiya, boresha mazingira yako unapoishi acha kelele
Daah nimecheka sana yani 😂😂😂😂😂😂😂
 
Kulea roho za watu bila kuwa na roho wa Mungu ni tatizo kubwa sana sio kwetu wakatoliki pekee bali hata kwa madhehebu na dini zingine. Lipo tatizo kubwa la kusimamia mambo ya kwa nguvu za mwilini huku rohoni hawana kitu

Ukikubali kuwa shekhe, padre, mchungaji unayeongoza kundi la waamini zitafute nguvu za rohoni, hekima na upendo viwe miongozo yako na umwombe Mungu ajalie wale unaowaweka kukusaidia kama makatibu, wenyeviti.... kuongoza kwa kufuata yale unayoamini. Vinginevyo badala ya kuwa tumaini lenye faraja kwa watu unaishia kuwa kikwazo na kuumiza watu
Umenena
 
Binafsi naudhika na matumizi mabaya ya mapato ya kanisa. Mapadre ni vimwana na ulevi mtindo mmoja. Hayo ya kutozikwa yanatekelezwa hata kwa wanao sali. Msiba wa rofa misa ina endeshwa na katekista, wa tajiri mapadri ni wahudumu, askofu anaendesha ibada.
Nakubali kabisa hii
 
Tatizo jumuiya kila jumamosi zinarotate kwenye nyumba za waumini sasa kama mazingira yako machafu utaichukia tu jumuiya, boresha mazingira yako unapoishi acha kelele
Usijibu hoja kwa ujumla.
Mleta mada ameeleza mambo mengi. Abalaani zinaa ndani ya jumuiya maana anasema mpaka wake za watu wanachukuliwa
Hivi katika hali hiyo atamtaka mwanajumuiya nyumbani kwake?
 
Umeandika kimajungu. Ujinga mtupu.
Michango inatesa sana waamini, kuna mdada tumempa eneo letu atulindie huko shamba basi nikienda namuuliza mbona huendi ibadani anasema hana pesa ya michango, kanisani kwao kuna michango aina 7 ukiacha sadaka,
 
Back
Top Bottom