Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Mwanza kuna Hotel pale inaitwa Sparrow nzuri sana,vyumba vina range 60K na kuendele-wana break fast moja matata sana-unaweza usile siku nzima kila kitu asubuhi kipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asee JF mna madini ... nimepajua mwanza kwa sekunde chache.Mwanza kuna Hotel pale inaitwa Sparrow nzuri sana,vyumba vina range 60K na kuendele-wana break fast moja matata sana-unaweza usile siku nzima kila kitu asubuhi kipo.
Basi utalipia nauli gari ni kama hii kama upo tayariAsante mkuu
Ila me sio muumini sana wa lift
Sizitaki mbichi hizi! Mfuko kalagabaho tuWakuu habari zenu?
Hatimaye Mungu amenikumbuka.
Nataka nikajipe mapumziko kidogo baada ya heka heka flani za mwaka mzima uliopita na mitihani flani ya maisha ili akili ikae mkao wa utafutaji.
Sasa naomba wakuu mnishauri mkoa mzuri hapa Tanzania ambao una maeneo mazuri ya mapumziko. Mkoa huo usiwe Arusha, Tanga, Dar es salaam na Kilimanjaro. Pia zanzibar na visiwa vyake hapana. Mimi binafsi nimependa Mwanza kwa kuwa sijawahi kufika huko, ila mapendekezo yenu nayaheshimu sana.
Bei ya malazi ianzie 50,000 hadi 100,000 kwa siku kwamba hata ikiwa 60, 70 poa tu.
Plan ni kukaa wiki moja (pamoja na siku za safari).
Sipendi kupanda ndege huwa napenda Road trip.
Bajeti yangu haitazidi 1.5.
Nazijua mkuuBasi utalipia nauli gari ni kama hii kama upo tayariView attachment 2162531
Tunaruhusiwa kujiunga jamani?Wakuu habari zenu?
Hatimaye Mungu amenikumbuka.
Nataka nikajipe mapumziko kidogo baada ya heka heka flani za mwaka mzima uliopita na mitihani flani ya maisha ili akili ikae mkao wa utafutaji.
Sasa naomba wakuu mnishauri mkoa mzuri hapa Tanzania ambao una maeneo mazuri ya mapumziko. Mkoa huo usiwe Arusha, Tanga, Dar es salaam na Kilimanjaro. Pia zanzibar na visiwa vyake hapana. Mimi binafsi nimependa Mwanza kwa kuwa sijawahi kufika huko, ila mapendekezo yenu nayaheshimu sana.
Bei ya malazi ianzie 50,000 hadi 100,000 kwa siku kwamba hata ikiwa 60, 70 poa tu.
Plan ni kukaa wiki moja (pamoja na siku za safari).
Sipendi kupanda ndege huwa napenda Road trip.
Bajeti yangu haitazidi 1.5.
Wewe me ndege nimepanda hadi nimechoka mkuu... tena mandege yale makubwa ya maana sembuse hizi daladala za tanzania.Sizitaki mbichi hizi! Mfuko kalagabaho tu
Itakulazimu uwasiliane na kampuni za utalii, ili wale wanaokwenda kuwinda uwe nao; ili kufurahia mazingira ya asiliNielezee vyema
Mtoto wa Monalisa na vyuo vya Tanzania huyoWewe me ndege nimepanda hadi nimechoka mkuu... tena mandege yale makubwa ya maana sembuse hizi daladala za tanzania.
Kifupi sizipendi kabisa kama ilivyo boat...
Kwa mzigo unaosoma kwenye acc naweza panda ndege mzunguko wote huo na acc isishtuke...
Kama nakufuru Mungu naomba unisamehe.
Arusha na KilimanjaroWakuu habari zenu?
Hatimaye Mungu amenikumbuka.
Nataka nikajipe mapumziko kidogo baada ya heka heka flani za mwaka mzima uliopita na mitihani flani ya maisha ili akili ikae mkao wa utafutaji.
Sasa naomba wakuu mnishauri mkoa mzuri hapa Tanzania ambao una maeneo mazuri ya mapumziko. Mkoa huo usiwe Arusha, Tanga, Dar es salaam na Kilimanjaro. Pia zanzibar na visiwa vyake hapana. Mimi binafsi nimependa Mwanza kwa kuwa sijawahi kufika huko, ila mapendekezo yenu nayaheshimu sana.
Bei ya malazi ianzie 50,000 hadi 100,000 kwa siku kwamba hata ikiwa 60, 70 poa tu.
Plan ni kukaa wiki moja (pamoja na siku za safari).
Sipendi kupanda ndege huwa napenda Road trip.
Bajeti yangu haitazidi 1.5.
😂😂😂 fuata nyuki ule asali, ingawa vitendea kazi vyao huwa ni vidogo na wengine mkono wa swetaHapa huenda nkapata na mume mzungu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akaone sokwe mtuKaribu Mkoa wa Kigoma,kuna hifadhi mbalimbali kama Gombe,na Mahale,samaki wazuri aina ya migebuka fursa mbalimbali ,pia utajifunza sayansi mbalimbali za kiafrika.