Ni mkoa gani nchini wenye maeneo mazuri kwa vacation?

Ni mkoa gani nchini wenye maeneo mazuri kwa vacation?

Mwanza kuna Hotel pale inaitwa Sparrow nzuri sana,vyumba vina range 60K na kuendele-wana break fast moja matata sana-unaweza usile siku nzima kila kitu asubuhi kipo.
 
Njoo nikupe lift kesho naenda mwanza na warbus (zile cruiser za arusha za watalii zilizoongezwa urefu) tutakua wawili tu Mimi na wewe
Asante mkuu
Ila me sio muumini sana wa lift
 
Mwanza kuna Hotel pale inaitwa Sparrow nzuri sana,vyumba vina range 60K na kuendele-wana break fast moja matata sana-unaweza usile siku nzima kila kitu asubuhi kipo.
Asee JF mna madini ... nimepajua mwanza kwa sekunde chache.
Nitaleta mrejesho hapa...
Natamani niende week ya easter holiday
 
Asante mkuu
Ila me sio muumini sana wa lift
Basi utalipia nauli gari ni kama hii kama upo tayari
m2-1.jpg
 
Wakuu habari zenu?

Hatimaye Mungu amenikumbuka.

Nataka nikajipe mapumziko kidogo baada ya heka heka flani za mwaka mzima uliopita na mitihani flani ya maisha ili akili ikae mkao wa utafutaji.

Sasa naomba wakuu mnishauri mkoa mzuri hapa Tanzania ambao una maeneo mazuri ya mapumziko. Mkoa huo usiwe Arusha, Tanga, Dar es salaam na Kilimanjaro. Pia zanzibar na visiwa vyake hapana. Mimi binafsi nimependa Mwanza kwa kuwa sijawahi kufika huko, ila mapendekezo yenu nayaheshimu sana.

Bei ya malazi ianzie 50,000 hadi 100,000 kwa siku kwamba hata ikiwa 60, 70 poa tu.

Plan ni kukaa wiki moja (pamoja na siku za safari).

Sipendi kupanda ndege huwa napenda Road trip.

Bajeti yangu haitazidi 1.5.
Sizitaki mbichi hizi! Mfuko kalagabaho tu
 
Wakuu habari zenu?

Hatimaye Mungu amenikumbuka.

Nataka nikajipe mapumziko kidogo baada ya heka heka flani za mwaka mzima uliopita na mitihani flani ya maisha ili akili ikae mkao wa utafutaji.

Sasa naomba wakuu mnishauri mkoa mzuri hapa Tanzania ambao una maeneo mazuri ya mapumziko. Mkoa huo usiwe Arusha, Tanga, Dar es salaam na Kilimanjaro. Pia zanzibar na visiwa vyake hapana. Mimi binafsi nimependa Mwanza kwa kuwa sijawahi kufika huko, ila mapendekezo yenu nayaheshimu sana.

Bei ya malazi ianzie 50,000 hadi 100,000 kwa siku kwamba hata ikiwa 60, 70 poa tu.

Plan ni kukaa wiki moja (pamoja na siku za safari).

Sipendi kupanda ndege huwa napenda Road trip.

Bajeti yangu haitazidi 1.5.
Tunaruhusiwa kujiunga jamani?
 
Ingia mbugani, uchangamane na watalii wanaowinda na kula nyama pori
 
Sizitaki mbichi hizi! Mfuko kalagabaho tu
Wewe me ndege nimepanda hadi nimechoka mkuu... tena mandege yale makubwa ya maana sembuse hizi daladala za tanzania.
Kifupi sizipendi kabisa kama ilivyo boat...
Kwa mzigo unaosoma kwenye acc naweza panda ndege mzunguko wote huo na acc isishtuke...
Kama nakufuru Mungu naomba unisamehe.
 
Wewe me ndege nimepanda hadi nimechoka mkuu... tena mandege yale makubwa ya maana sembuse hizi daladala za tanzania.
Kifupi sizipendi kabisa kama ilivyo boat...
Kwa mzigo unaosoma kwenye acc naweza panda ndege mzunguko wote huo na acc isishtuke...
Kama nakufuru Mungu naomba unisamehe.
Mtoto wa Monalisa na vyuo vya Tanzania huyo
 
A
Wakuu habari zenu?

Hatimaye Mungu amenikumbuka.

Nataka nikajipe mapumziko kidogo baada ya heka heka flani za mwaka mzima uliopita na mitihani flani ya maisha ili akili ikae mkao wa utafutaji.

Sasa naomba wakuu mnishauri mkoa mzuri hapa Tanzania ambao una maeneo mazuri ya mapumziko. Mkoa huo usiwe Arusha, Tanga, Dar es salaam na Kilimanjaro. Pia zanzibar na visiwa vyake hapana. Mimi binafsi nimependa Mwanza kwa kuwa sijawahi kufika huko, ila mapendekezo yenu nayaheshimu sana.

Bei ya malazi ianzie 50,000 hadi 100,000 kwa siku kwamba hata ikiwa 60, 70 poa tu.

Plan ni kukaa wiki moja (pamoja na siku za safari).

Sipendi kupanda ndege huwa napenda Road trip.

Bajeti yangu haitazidi 1.5.
Arusha na Kilimanjaro
 
Karibu Mkoa wa Kigoma,kuna hifadhi mbalimbali kama Gombe,na Mahale,samaki wazuri aina ya migebuka fursa mbalimbali ,pia utajifunza sayansi mbalimbali za kiafrika.
 
Back
Top Bottom