Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mengineyo Kama Mv liemba.Livingstone Memorial,lake Tanganyika na kadhalika.Akaone sokwe mtu
Umemaliza bhana.Nenda Mwanza kwa basi, fika mjini lala hotelini, next day zunguka mjini uone mji ulivyo, usiku tembelea sehemu za starehe kama malaika beach resort, bonasera, diamond na the cask, siku inayofuata nenda katembee kisiwa cha saa nane, ushinde huko, ufanye na utalii wa kuzunguka ziwa ikiwezakana spend usiku huko.
Baada ya hapo funga safari mpaka Bunda kwenye geti la Serengeti nauli ni elfu 8 kwa basi mwendo masaa mawili na nusu.. Ukiingia Hifadhi ya Serengeti utafanya utalii humo siku unazotaka,
Mwisho kabisa kama utaweza toka humo ukafunga safari mpaka sirari mpakani mwa Kenya sio mbali kabisa, process vibali then vuka border kwenda Nairobi ukaspend hata usiku mmoja.
😂😂😂 Wengi wanaishi nao kwa sababu ya njaa tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] vifutio sio ¡¡ hapo ndo mtihani ulipo
KataviWakuu habari zenu?
Hatimaye Mungu amenikumbuka.
Nataka nikajipe mapumziko kidogo baada ya heka heka flani za mwaka mzima uliopita na mitihani flani ya maisha ili akili ikae mkao wa utafutaji.
Sasa naomba wakuu mnishauri mkoa mzuri hapa Tanzania ambao una maeneo mazuri ya mapumziko. Mkoa huo usiwe Arusha, Tanga, Dar es salaam na Kilimanjaro. Pia zanzibar na visiwa vyake hapana. Mimi binafsi nimependa Mwanza kwa kuwa sijawahi kufika huko, ila mapendekezo yenu nayaheshimu sana.
Bei ya malazi ianzie 50,000 hadi 100,000 kwa siku kwamba hata ikiwa 60, 70 poa tu.
Plan ni kukaa wiki moja (pamoja na siku za safari).
Sipendi kupanda ndege huwa napenda Road trip.
Bajeti yangu haitazidi 1.5.
Vitu vya asili huvutia sanaNa mengineyo Kama Mv liemba.Livingstone Memorial,lake Tanganyika na kadhalika.
Hiboooo mkuu naona unampeleka mwenzetu beach ,1.5M(tshs)ni kama 10k in rands, hii hela ni nauli tu ya kwenda na kurudi, covid certifucate na rushwa kwenye borders na check points, mkuu mtoa mada utalii wa ndani ni mzuri tu, so far Mwanza imekua ni chaguo la wengi, nami nikipata uwezo will visit Mwanza, and let's clear here uongo sio mzuri,SA ni nchi kama yetu na ina immigrations laws zake why hatutaki kuziheshimu?why unaruka border ?hata sisi hapa ukiingia kwa njia za panya tunakukamata na mahakama utakumbana nayo, SA ni haki yao kupambana na all illegal immigrants, ukitaka Kuja kwangu pitiable mlangoni sio dirishani, nitakupiga risasi.
Nenda malaika mwanza; ukanywe supu ya uyoga iliyopikwa na mwanaume wa kihindiHuwa napenda sana beaches, na kwa wakat flani napenda kukaa sehemu zenye mziki
Mkuu me sio MH hata kidogo labda kama unanitabiria ikawe hivyo. Nimepitia tu changamoto flan ambazo ziliumiza moyo na akili kwa asilimia kubwa sasa ninataka kuandika ukurasa mpya akilini mwangu..Mkuu ,,, 1.5 go and return kwa ndege.. kwa sasa covid sio kikwazo kama mwanzo sasa hivi covid ni malaria iliyochangamka tu.. kutoka ubungo mpaka zimbombo-zimbabwe laki moja na ishirini kutoka zimbabwe mpaka jozi-Johannesburg ni R-350 mpaka 400 ukipiga na kula njiani na hizo za kupika covidi na pesa ya dharula kama laki-4 mkuu... akipiga misele yake ya kwenda ata spendi pesa ndogo tu ukizingatia mtoa mada anataka road trip ainjoy’ atafurahia pia atapofika SA-“ mandhari tofauti kikubwa kabsa huyo anaonekana ni MH.. kwa hivyo ataona machizi boti walivyokubali kujitoa kafara na nchi ya watu”” inabidi aingie changanyikeni ajionee manyanyaso tunayoyapata “” then akirudi kwenye majukumu yake atajua tu aweke nini! Sawa mambo yaende.. mkuu usimtishe sana najua ana badget kubwa kushinda hiyo... NAKANJANI