Ni mkoa gani nchini wenye maeneo mazuri kwa vacation?

Ni mkoa gani nchini wenye maeneo mazuri kwa vacation?

Mkuu me sio MH hata kidogo labda kama unanitabiria ikawe hivyo. Nimepitia tu changamoto flan ambazo ziliumiza moyo na akili kwa asilimia kubwa sasa ninataka kuandika ukurasa mpya akilini mwangu..

Labda haujauelewa uheshimiwa nilioumaanisha by the way.. uwe na mapumziko mazuri popote unapoamua kwenda.. wana JF Tunakupenda sana inabidi ufahamu hilo
 
Labda haujauelewa uheshimiwa nilioumaanisha by the way.. uwe na mapumziko mazuri popote unapoamua kwenda.. wana JF Tunakupenda sana inabidi ufahamu hilo
Assnte mkuu
 
Mkuu, achana na Mwanza

Kwa road trip; kama una paspoort itafute SA-south Africa. Nenda kule na huduma za hoteli ni za kawaida tu” naimani utaenjoy mji mzuri sehemu za utalii “” na pia ukiona wageni wanavyonyanyaswa aisee utajifunza mengi sana ukirudi TZ-Tanzania utafunguka sana ki-uelewa tofauti na hapo hiyo 1.5 inatosha kabsa
Nipe picha kidogo, vipi kwenda kwa basi na kurudi na ndege?
 
Mkuu ,,, 1.5 go and return kwa ndege.. kwa sasa covid sio kikwazo kama mwanzo sasa hivi covid ni malaria iliyochangamka tu.. kutoka ubungo mpaka zimbombo-zimbabwe laki moja na ishirini kutoka zimbabwe mpaka jozi-Johannesburg ni R-350 mpaka 400 ukipiga na kula njiani na hizo za kupika covidi na pesa ya dharula kama laki-4 mkuu... akipiga misele yake ya kwenda ata spendi pesa ndogo tu ukizingatia mtoa mada anataka road trip ainjoy’ atafurahia pia atapofika SA-“ mandhari tofauti kikubwa kabsa huyo anaonekana ni MH.. kwa hivyo ataona machizi boti walivyokubali kujitoa kafara na nchi ya watu”” inabidi aingie changanyikeni ajionee manyanyaso tunayoyapata “” then akirudi kwenye majukumu yake atajua tu aweke nini! Sawa mambo yaende.. mkuu usimtishe sana najua ana badget kubwa kushinda hiyo... NAKANJANI
Sekunjalo yooo kunzima!
 
Wakuu habari zenu?

Hatimaye Mungu amenikumbuka.

Nataka nikajipe mapumziko kidogo baada ya heka heka flani za mwaka mzima uliopita na mitihani flani ya maisha ili akili ikae mkao wa utafutaji.

Sasa naomba wakuu mnishauri mkoa mzuri hapa Tanzania ambao una maeneo mazuri ya mapumziko. Mkoa huo usiwe Arusha, Tanga, Dar es salaam na Kilimanjaro. Pia zanzibar na visiwa vyake hapana. Mimi binafsi nimependa Mwanza kwa kuwa sijawahi kufika huko, ila mapendekezo yenu nayaheshimu sana.

Bei ya malazi ianzie 50,000 hadi 100,000 kwa siku kwamba hata ikiwa 60, 70 poa tu.

Plan ni kukaa wiki moja (pamoja na siku za safari).

Sipendi kupanda ndege huwa napenda Road trip.

Bajeti yangu haitazidi 1.5.
Kilwa
 
Back
Top Bottom