Ni mkoa gani nchini wenye maeneo mazuri kwa vacation?

Mkuu me sio MH hata kidogo labda kama unanitabiria ikawe hivyo. Nimepitia tu changamoto flan ambazo ziliumiza moyo na akili kwa asilimia kubwa sasa ninataka kuandika ukurasa mpya akilini mwangu..

Labda haujauelewa uheshimiwa nilioumaanisha by the way.. uwe na mapumziko mazuri popote unapoamua kwenda.. wana JF Tunakupenda sana inabidi ufahamu hilo
 
Labda haujauelewa uheshimiwa nilioumaanisha by the way.. uwe na mapumziko mazuri popote unapoamua kwenda.. wana JF Tunakupenda sana inabidi ufahamu hilo
Assnte mkuu
 
Nipe picha kidogo, vipi kwenda kwa basi na kurudi na ndege?
 
Arusha , Manyara ,Kilimanjaro ,Tanga , Dar
 
Sekunjalo yooo kunzima!
 
Kilwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…