Ni mkoa gani uupendao kuliko yote.

Hapana.mimi nimefika kidongo chekundu tu.
Ila napenda maisha ya yule yapo simple sana mambo ya uji wa ngano asubuhi,jioni kukaa kwenye vibaraza na mtindo wao wa maisha ndo maana napapenda.
Nina zote za urojo unazijua?
 
Hapana.mimi nimefika kidongo chekundu tu.
Ila napenda maisha ya yule yapo simple sana mambo ya uji wa ngano asubuhi,jioni kukaa kwenye vibaraza na mtindo wao wa maisha ndo maana napapenda.

Okay maisha yetu Simple sana,karibu tena.
 
Wanaume wa Dar es Salaam watakuchafua wewe
Kumbuka Makonda kasema anapiga marufuku vumbi la Congo [emoji23]
 
Nimefall in love na Malaya wa mafiati hapa Mbeya,wanajua mapenzi sana,tupilia mbali baridi ya Mbeya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…