Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
sana asee nilikamata value na mchemsho nikawa naangalia kichwa kilikaa sawa aseeUmeona eh? Ni ya ukweli ase
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sana asee nilikamata value na mchemsho nikawa naangalia kichwa kilikaa sawa aseeUmeona eh? Ni ya ukweli ase
Mkuu ungeanza Na wanted kwanza,,,Breaking bad
Dexter
Wanted
Man of steel
Hannibal
Etc
Hivi za bongo movie au maigizo?Wapendwa kimtazamo ni movie gani ambayo ilikuvutia sana au ilikukugusa kwa namna moja hadi nyingine
Mfano. Kuna bongo movie moja inaitwa vivia ukiangalia unaweza kulia
Pia kuna
Captain Philips bonge la movie
Death race
Kuna moja mauwaji ya #Rebel
Fast and furious tokyo drift.... Van helsing
Ya Jamie fox imekaa kikomedi itasubiri sana,,,mle kuna wanagonga balaaa panya road wenyewe wanawaogopa,,,vitasa viliwahusu hadi mademu,,,risasi za mle zipo 100* zaidi ya zile za bongo tamthiliyaInafanana sana na white house down ya jamie fox,
Hiyo Nelia kama matangaza ya haki elimu,,Ila ukitaka kujua ukimwi we zamani ulikuwaje sio mbaya ukapitiahumo1.Nelia.
2.Titanic.
3.Coming To America.
4.Juice.
Bonge la movie....wana cuf toka zenj hawatakaa wasahauHaha!!
Mbona husemi ya Jecha salim jecha
jf is never boring nzuri sana neria kwa wakati wakeHiyo Nelia kama matangaza ya haki elimu,,Ila ukitaka kujua ukimwi we zamani ulikuwaje sio mbaya ukapitiahumo
Unakumbuka ule wimbo wa Nelia?jf is never boring nzuri sana neria kwa wakati wake
vivian ya mrs sadifa nimekimbilia kuiangalia linivyokuta wastara nikakimbia mbio zili zili nilizoingiliaWapendwa kimtazamo ni movie gani ambayo ilikuvutia sana au ilikukugusa kwa namna moja hadi nyingine
Mfano. Kuna bongo movie moja inaitwa vivia ukiangalia unaweza kulia
Pia kuna
Captain Philips bonge la movie
Death race
Kuna moja mauwaji ya #Rebel
naangallia trailer yake hapa nzuri hiiThe shwanshuck redemption