Mkuu kitambo hicho kideo hakipatikani kwa mtaa tunaenda vibanda umiza,,shs 10 picha 2,,shs 4 ,,sehemu zingine ukinunua askirimu,,,au tunapanga mawe dirishani kwa kina Haji Chogo,,,halooo sikia tu enzi za TV Chogo aibuuuu,,,kipindi hiko DTV, CTN Tom N Jerry,, Na ITV aibuuuSarafina hatukuwa na TV Dada yang alinisimulia
Kiu na shauku ilinitesa sanaaa ya kuiona. HATIMAYE NIKAIONA
sanaaa naijua nimewahi iangalia km mara30Unakumbuka ule wimbo wa Nelia?
denzel is a good actor jana nilikuwa naangalia misisippi masalaJOHN Q-DENZEL WASHINGTON
MEN IN FIRE- DENZEL WASHINGTON
DESPERADO-ANTONIO BENDARAS
GODFATHER SERIES-ALPACHINO
ZA MZEE MAJUTO ZOTE....
Tutaenda kwa mkubwa au WCB kufanya remixxxxxx,,,sanaaa naijua nimewahi iangalia km mara30
iko poa sn mkuuwadau hiyo movie moja kali sana ni based on true story kuna russian sharpshooter mmoja ni hatare sana inasemekana kuna kitongoji kinaitwa stalingrad ndani ya soviet union hiyo sehem ilikuwa ya moto enzi za utawala wa hitler