Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 10,174
- 89,364
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaiyo chief wew ni the silent killer 😂😂Kipindi hicho niko form two ile movie ya sarafina Kuna mwamba alikuwa kanyoa kiduku alipigwa risasi sasa ile paredi wanafunzi wanaenda kuzika zikapigwa song nilipata uchungu sana nilikuwa nikikutana na mzungu yoyote na muua kimawazo😅
Hatya.Neria
Hatya
Udogoni lakini. Siku hizi movie zote ni maigizo kama ya bongo movie. Siangalii kabisa.
Tears of the sunNawasalimu kwa Jina la jamiiforums, stori ziendelee.
wana JF napenda sana muvi za hisia zile mtu unatazama hadi unatoka machozi.
Tunaomba kwa yeyote anaezifahamu muvi za kutoa machozi aweke hapa jina la muvi tukazitafute.
Barabara mkuu😅😅Kwaiyo chief wew ni the silent killer 😂😂
in cell no 7 not in jail no 7 mkuuMiracle on jail No 7
Uko vizuri nifundishe niwe kimya kimya muuaji😴Barabara mkuu😅😅
Ni nzuri sana hiyo . Vipi haukutokwa na choziin cell no 7 not in jail no 7 mkuu
Very creative hii movie aiseee
Hata mm ilinitoa machozi hiiFuraha iko wapi ya 20%
Bongo movie pekee nilitoa chozi aaah
Rafiki yake na Jumong🤣Land of wind, hii ni series Kuna episode jamaa anachomwa moto live bila chenga rafiki yake muhusika mkuu. Ile scene nililia aisee sio kutokwa na machozi tu.