mdudu JF-Expert Member Joined Feb 6, 2014 Posts 7,013 Reaction score 10,000 Sep 21, 2020 #21 Stuxnet said: Na siyo kila sokwe anaishi mbuga ya Gombe, wengine tunao mtaani ila hawajui kufunga vufungo vya suti na wanapiga usingizi kila wakiwa mkutanoni. Click to expand... Na wengine tunaishi nao lakini hawajitambui kuwa wao ni SOKWE.
Stuxnet said: Na siyo kila sokwe anaishi mbuga ya Gombe, wengine tunao mtaani ila hawajui kufunga vufungo vya suti na wanapiga usingizi kila wakiwa mkutanoni. Click to expand... Na wengine tunaishi nao lakini hawajitambui kuwa wao ni SOKWE.
bullar JF-Expert Member Joined Aug 16, 2014 Posts 9,530 Reaction score 20,988 Sep 21, 2020 #22 Wakurya hatupo hovyo kiasi hiki huyu mzee sijui katoka wapi?
C Cliffhanger JF-Expert Member Joined May 22, 2018 Posts 721 Reaction score 1,293 Sep 21, 2020 #23 Daudi Mchambuzi said: Ni kwanini mlitaka kumuua? Click to expand... Hili ndio swali la muhimu ambalo CCM na "killing squad" yao wanatakiwa kujibu; je ni kwa nini walitaka kumwua mheshimiwa Lissu????
Daudi Mchambuzi said: Ni kwanini mlitaka kumuua? Click to expand... Hili ndio swali la muhimu ambalo CCM na "killing squad" yao wanatakiwa kujibu; je ni kwa nini walitaka kumwua mheshimiwa Lissu????
GENTAMYCINE JF-Expert Member Joined Jul 13, 2013 Posts 60,660 Reaction score 121,325 Sep 21, 2020 Thread starter #24 bullar said: Wakurya hatupo hovyo kiasi hiki huyu mzee sijui katoka wapi? Click to expand... Ungesema tu Watu wa Mkoa wa Mara ( ambao hata Mimi pia huko ndiko Nyumbani ) hatuko hivyo kwani Wasirra siyo Mkurya kabisa Mkuu wangu.
bullar said: Wakurya hatupo hovyo kiasi hiki huyu mzee sijui katoka wapi? Click to expand... Ungesema tu Watu wa Mkoa wa Mara ( ambao hata Mimi pia huko ndiko Nyumbani ) hatuko hivyo kwani Wasirra siyo Mkurya kabisa Mkuu wangu.
Kiwarhoapandenga JF-Expert Member Joined Aug 10, 2019 Posts 2,078 Reaction score 1,805 Sep 21, 2020 #25 mugah di mathew said: Tatizo ni Makonda na Polepole wanawadanganya wazee wa watu Click to expand... Ukiona unadanganywa na wewe ukakubali kudanganywa wewe ni mpumbavu
mugah di mathew said: Tatizo ni Makonda na Polepole wanawadanganya wazee wa watu Click to expand... Ukiona unadanganywa na wewe ukakubali kudanganywa wewe ni mpumbavu
kj75 JF-Expert Member Joined Feb 17, 2019 Posts 539 Reaction score 637 Sep 21, 2020 #26 Stuxnet said: Na siyo kila sokwe anaishi mbuga ya Gombe, wengine tunao mtaani ila hawajui kufunga vufungo vya suti na wanapiga usingizi kila wakiwa mkutanoni. Click to expand... Soma Kwanza ulichokiandika
Stuxnet said: Na siyo kila sokwe anaishi mbuga ya Gombe, wengine tunao mtaani ila hawajui kufunga vufungo vya suti na wanapiga usingizi kila wakiwa mkutanoni. Click to expand... Soma Kwanza ulichokiandika
Stuxnet JF-Expert Member Joined Feb 12, 2011 Posts 13,417 Reaction score 23,310 Sep 21, 2020 #27 kj75 said: Soma Kwanza ulichokiandika Click to expand... Nimesoma, namaanisha hivyo! Nini hujakielewa? Na wewe ni sokwe?
kj75 said: Soma Kwanza ulichokiandika Click to expand... Nimesoma, namaanisha hivyo! Nini hujakielewa? Na wewe ni sokwe?
Msanii Platinum Member Joined Jul 4, 2007 Posts 25,252 Reaction score 36,513 Sep 22, 2020 #28 Daudi Mchambuzi said: Ni kwanini mlitaka kumuua? Click to expand... Mimi sijawahi kuwa mwanachama wa CDM. Hao wanajua kwa nini walimtenda mwenzao
Daudi Mchambuzi said: Ni kwanini mlitaka kumuua? Click to expand... Mimi sijawahi kuwa mwanachama wa CDM. Hao wanajua kwa nini walimtenda mwenzao
share JF-Expert Member Joined Nov 22, 2008 Posts 6,064 Reaction score 10,468 Sep 22, 2020 #29 Huyu mzee kama hapendi kucheza na wajukuu zake basi arudi kwake mbuga ya Gombe. Hana mchango tena kwenye jamii ya binadamu.
Huyu mzee kama hapendi kucheza na wajukuu zake basi arudi kwake mbuga ya Gombe. Hana mchango tena kwenye jamii ya binadamu.