Ni msanii gani ulizikubali nyimbo zake sana wa US!

Ni msanii gani ulizikubali nyimbo zake sana wa US!

Basi mm sibishani na wewe tena hahaha yaani nelly yule amemfunika 50??? Na kanyimbo kamoja.? Basi mkuu tuishie hapa👋🏻👋🏻
Twende na facts siyo ubishi hewa
 
Britney spears - sometimes
3t-anything
Jlo-all i have
Destiny child- brown eyes
Paula deanda- when i was me
Backstreet boys_shape of my heart
Boys 2 men-colour of love
Enrique-hero
Westlife krb zote, celine dion krb zote.
 
Screen Shot 2022-08-06 at 18.08.10.png
 
Nimekuuliza game kaja g unit mwaka gani.? Na.kaondoka mwaka gani. ? Na facts n nini.? Maana sijaona facts kwako zaidi ya ngonjera mkuu?
Sikuliona swali lako maana mnanishambulia kama mpira wa kona!
 
Na pia utoneshe nyimbo ya 50 ambayo kaandikiwa na game na bila hiyo tusinge mjua.? Hizo ndizo facts sasa ukija nazo
Nyimbo aliyoandikiwa what up gangster
 
Nadhani Kama sikosei Ashanti pia kwenye lile bifu kati ya 50 cent na Ja rule lilisababisha naye akapotea kimtindo kwenye gemu.
Fat joe nae aliuingia mkenge na goma lake la https://jamii.app/JFUserGuide fifty [emoji1787][emoji1787] baada ya hapa joe ndio akalala yoooooo mazimA.....
 
Basi mm sibishani na wewe tena hahaha yaani nelly yule amemfunika 50??? Na kanyimbo kamoja.? Basi mkuu tuishie hapa[emoji1309][emoji1309]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]daahhh yaani hivi anamuongelea 50cents au 20 percent?daaah
 
Back
Top Bottom