Nonchalant
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 305
- 432
Dilated peoples-worst comes to worst
Listen Listen Listen
Listen Listen Listen
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Blaza blaza blaza nimekuita mara tatu naamini unafatilia hizi old skul hip hop ila hapa sio kwa ushabiki wa kizamani, tuongelee uhalisia. Inaonyesha una chuki na mnyama Ja Rule tu au mahaba yako kwa 50 Cents yamekufanya u-underestimate how legendary Ja Rule is to the Hip Hop Game.Ja rule alimkalisha 50 mwaka gani we mbugila? Mbona unalazimisha vitu ambavyo havipo. On his prime 2003 - 2007 hakuna mtu alimuweza 50 Cents.
Bifu lake na Kanye West 2007/08 ndio kidogo lilimtikisa, hao akina Lil Wayne si ndio walikuwa wanamjibu I GET MONEY na wao wakaachia I GOT MONEY??
50 Cents alikuwa mnyama, na hata this time akienda kwenye Show like ile iliyofanywa kwa pamoja na Dr. Dre, Eminem, Snoop Dogg nk bado alikiwasha ila mbaya.
To me hakuna msanii wa HipHop Marekani ameweza kufikia level ya 50 Cents katika ubora wake. Ilikuwa hit after hit hana ngoma mbovu.
Tuache ushabiki wa kizamani, Ukiacha NEW YORK una ngoma yoyote ya JA RULE inaweza hata kuingia mbele ya ngoma ya 50 hata ile WANKSTA.??
Nimemsikitikia sana huyu mwamba aisee. Halafu ni mbishiWe jamaa ni kiazi mziki hujui!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]hauko serious ndugu yangu50 cents hamna kitu alikuwa wa kawaida sana mfikishie taarifa Magdalene Raymond!
50 hamna kitu? Mwee wewe itakua umeanza fatilia mziki mwaka juzi.50 cents hamna kitu alikuwa wa kawaida sana mfikishie taarifa Magdalene Raymond!
Itakua anamzungumzia 50 wa Mwakaleli 😂[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]hauko serious ndugu yangu
Ace of base _ happy nation [emoji95][emoji95][emoji95]Case_missing you
Fat joe_ what is love
Miguel _adorn
Mary blige _ I am
Midas touch
Dolly parton _think about love
Ace of the base _all she want
Haddaway_ what is love
London beat_, (nyimbo zote)
Kool and the gang
Chris Brown
*Kiss kiss ft t pain
* deuces
*nyimbo zote za 2012 kurudi
Candy shop na Best friend. Zote kaimba na OliviaAcha kabisaa namkubali mnoo...Ile Yuko na Olivia sijui inaitwaje Ile
Yaan hizo nyimbo ni nzuri ukizifananisha na zipi za 50 labda???Blaza blaza blaza nimekuita mara tatu naamini unafatilia hizi old skul hip hop ila hapa sio kwa ushabiki wa kizamani, tuongelee uhalisia. Inaonyesha una chuki na mnyama Ja Rule tu au mahaba yako kwa 50 Cents yamekufanya u-underestimate how legendary Ja Rule is to the Hip Hop Game.
Hatukatai 50 is way better than Ja Rule lkn kusema hakua na hit song zaidi ya New York, kwa maana hakuna ngoma kali ya Ja Rule kuizidi hata hiyo Wanksta ya 50 hapo unamvunjia heshima jamaa.
Labda on your free time kajaribu kuziskiliza na kufatilia hizi pini za Ja Rule na jinsi zilivyopokelewa kuzidi hata hiyo wanksta kwa uchache tu [emoji116]
1. Ja Rule ft. Ashanti - Always on Time
2. Ja Rule ft. Bobby Brown - Thug Lovin'
3. Ja Rule - Live It Up
4. Ja Rule ft. Mary J - Murder Reigns
5. Ja Rule - Down Ass Btch
Zisikilize na uzifatilie stats zake kwa umakini ukiwa umetulia naamini utabadili baadhi ya mitazamo yako. Ikishindikana basi utakua umeamua tu kukaza shingo mwenyewe.
Stan -eminem
Ride with me-Nelly
Notorious -Big ft puff daddy and Mase
Rubberband man - Ti
Stutter (remix) - joe thomas ft Mystikal
What u real want _Ruff ryder ft eve and Tokio
Party up -DMX
Between me and U - Ja Rule
Insane in the membrane - cyprus Hill
Break ur neck - busta rhymes
Songs za MJG & 8 ball,bubba spraxx,timbaland and Magoo,Bun B list ni ndefu kutaja nyimbo zote
Napenda sana mziki wa 50Na wewe ni shabiki wa 50 au mziki kiujumla wake?
Nawasikiliza wote hao ila 50 naona ni zaidi.50 alikuwa wakawaida sana uliwahi msikiliza ja rule au fat joe au Fabolous au hata dmx chocolate baby!
Kwamba G Unit iliyumba kwa Game kuondoka!? Kwani kuna ngoma gani kali ya G unit unayoijua ambayo Game yumo hadi wayumbe kwa kuondoka kwakeAcha ubishi mkuu baada ya the game kuondoka huoni G unit ilivoyumba na 50 mwenyewe akawa hasikiki tena!
Best friend broooh...nooma sanaaaCandy shop na Best friend. Zote kaimba na Olivia