Ataleta ngonjera. Haeleweki. Huyu hajui kuwa hata kina Jay Z na Diddy hawataki ku beef na 50 maana wanamjua ni stormAnashangaza,ajiulize nani aliwapoteza wasanii wa Murder INC ya Irv GOtti kwenye game!?,akikujb nitag
Nimekuuliza game kaja g unit mwaka gani.? Na.kaondoka mwaka gani. ? Na facts n nini.? Maana sijaona facts kwako zaidi ya ngonjera mkuu?Twende na facts siyo ubishi hewa
[emoji38][emoji38][emoji38]utakua umeanza fatilia muziki wa nje juziAftermath
Na pia utoneshe nyimbo ya 50 ambayo kaandikiwa na game na bila hiyo tusinge mjua.? Hizo ndizo facts sasa ukija nazoTwende na facts siyo ubishi hewa
@Poker jibu umepewa hapa,ila bado unabishaSawa. Dre ndio alimuombea asainiwe na 50 kule G unit ili abebwe. Na akabebwa kweli maana tukitoa zile nyimbo 3 alizoandikiwa na 50 hana nyingime kali kama zile
πππWe jamaa mziki umeenza kufatilia juzi itakuwa, yaan 50 abebwe na The Game??
Kabsa mkuu. Jamaa uki beef nae unapotea maana haishiwi silahaNadhani Kama sikosei Ashanti pia kwenye lile bifu kati ya 50 cent na Ja rule lilisababisha naye akapotea kimtindo kwenye gemu.
Fat joe nae aliuingia mkenge na goma lake la https://jamii.app/JFUserGuide fifty [emoji1787][emoji1787] baada ya hapa joe ndio akalala yoooooo mazimA.....Nadhani Kama sikosei Ashanti pia kwenye lile bifu kati ya 50 cent na Ja rule lilisababisha naye akapotea kimtindo kwenye gemu.
ππππ acha uongoNyimbo aliyoandikiwa what up gangster
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]daahhh yaani hivi anamuongelea 50cents au 20 percent?daaahBasi mm sibishani na wewe tena hahaha yaani nelly yule amemfunika 50??? Na kanyimbo kamoja.? Basi mkuu tuishie hapa[emoji1309][emoji1309]
Shangaa mkuu. Huyo jamaa anatuchekesha[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]daahhh yaani hivi anamuongelea 50cents au 20 percent?daaah
Hao wakali wako wote hata ki tuzo wakasubirie.50 cents hamna kitu alikuwa wa kawaida sana mfikishie taarifa Magdalene Raymond!