Ni msanii gani ulizikubali nyimbo zake sana wa US!

Ni msanii gani ulizikubali nyimbo zake sana wa US!

Sana sema weusi wenzie hususani kwenye industry ya mziki walimpiga vita mno.
Mti mwema siku zote hupigwa mawe. 50 Cent mpambanaji hakuangalia nyuma... na fikiri ndio maana alikuja na Get rich or die
AEEE0CA6-8205-44B2-9B4D-82F289E10E45.png
 
Case_missing you
Fat joe_ what is love
Miguel _adorn
Mary blige _ I am
Midas touch
Dolly parton _think about love
Ace of the base _all she want
Haddaway_ what is love
London beat_, (nyimbo zote)
Kool and the gang

Chris Brown
*Kiss kiss ft t pain
* deuces
*nyimbo zote za 2012 kurudi
Kool and the Gang... Kuna songi lao linaitwa "Let's go Dancing" aisee huwa naupiga sana kwenye sabufa... Bonge la wimbo..

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Sijaona kama 50 CENTS

Amusement Park
Window Shopper
In Da Club
Many Men (Wish Death)
Candy Shop
Lil Bit
Stunt 101
Disco Inferno
Best Friend
Ayo technology
Baby Buy Me
I Get Money
Wanksta
Pimp
Outta Control
If I Can't
Whats up Gangstar
Straight to the Bank


Pa kuna mwamba anaitwa TALIB KWELI. Ukipata ngoma zake kama

Deliver Us (Hostile Gospel Pt 1) na
Holy Moly

Utaenjoy sana.
Noma sana!
 
Yelawolf kabla hajasainiwa na shady , enzi za Trunk Muzik mixtape
 
Ja rule alimkalisha 50 mwaka gani we mbugila? Mbona unalazimisha vitu ambavyo havipo. On his prime 2003 - 2007 hakuna mtu alimuweza 50 Cents.
Bifu lake na Kanye West 2007/08 ndio kidogo lilimtikisa, hao akina Lil Wayne si ndio walikuwa wanamjibu I GET MONEY na wao wakaachia I GOT MONEY??

50 Cents alikuwa mnyama, na hata this time akienda kwenye Show like ile iliyofanywa kwa pamoja na Dr. Dre, Eminem, Snoop Dogg nk bado alikiwasha ila mbaya.

To me hakuna msanii wa HipHop Marekani ameweza kufikia level ya 50 Cents katika ubora wake. Ilikuwa hit after hit hana ngoma mbovu.

Tuache ushabiki wa kizamani, Ukiacha NEW YORK una ngoma yoyote ya JA RULE inaweza hata kuingia mbele ya ngoma ya 50 hata ile WANKSTA.??
Upo sasa kabisa mkuu! Huyu 50 alitikisa sana... Ngoma zake ni balaa....

Kuna wakati watu wakazusha kwamba anadate na Olivia... Hahahahaaa, jamaa kwa kuwajibu akatoa kibao kinaitwa "Just Friends" ngoma niliipenda sana...

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Ja rule alimkalisha 50 mwaka gani we mbugila? Mbona unalazimisha vitu ambavyo havipo. On his prime 2003 - 2007 hakuna mtu alimuweza 50 Cents.
Bifu lake na Kanye West 2007/08 ndio kidogo lilimtikisa, hao akina Lil Wayne si ndio walikuwa wanamjibu I GET MONEY na wao wakaachia I GOT MONEY??

50 Cents alikuwa mnyama, na hata this time akienda kwenye Show like ile iliyofanywa kwa pamoja na Dr. Dre, Eminem, Snoop Dogg nk bado alikiwasha ila mbaya.

To me hakuna msanii wa HipHop Marekani ameweza kufikia level ya 50 Cents katika ubora wake. Ilikuwa hit after hit hana ngoma mbovu.

Tuache ushabiki wa kizamani, Ukiacha NEW YORK una ngoma yoyote ya JA RULE inaweza hata kuingia mbele ya ngoma ya 50 hata ile WANKSTA.??
Mkuu inaonekana mziki umeanza kufuatilia mwaka 2OO3. Before 5O kulikuwa na Ja Rule ila beef ya 5O na Ja Rule ndio ilimtoa Ja mchezoni.

Ja kaanza mziki 1993 ila alikuja ku peak 1998-2OO3 ila alivyoingia beef na 5O ndio akashushwa. Ja Rule had all the hits back to back kama 5O tu. Achilia mbali features tu muhuni alikuwa shida sema 5O wivu ndio ulikuwa unamtesa.
 
Sijaona kama 50 CENTS

Amusement Park
Window Shopper
In Da Club
Many Men (Wish Death)
Candy Shop
Lil Bit
Stunt 101
Disco Inferno
Best Friend
Ayo technology
Baby Buy Me
I Get Money
Wanksta
Pimp
Outta Control
If I Can't
Whats up Gangstar
Straight to the Bank


Pa kuna mwamba anaitwa TALIB KWELI. Ukipata ngoma zake kama

Deliver Us (Hostile Gospel Pt 1) na
Holy Moly

Utaenjoy sana.
Alaf kuna mtu anasema 50 hamna kitu.
 
Back
Top Bottom