Theb
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 3,927
- 7,276
Sana sema weusi wenzie hususani kwenye industry ya mziki walimpiga vita mno.50 Cent ana kipaji na ni humble pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana sema weusi wenzie hususani kwenye industry ya mziki walimpiga vita mno.50 Cent ana kipaji na ni humble pia
Mti mwema siku zote hupigwa mawe. 50 Cent mpambanaji hakuangalia nyuma... na fikiri ndio maana alikuja na Get rich or dieSana sema weusi wenzie hususani kwenye industry ya mziki walimpiga vita mno.
Hakika.Mti mwema siku zote hupigwa mawe. 50 Cent mpambanaji hakuangalia nyuma... na fikiri ndio maana alikuja na Get rich or die View attachment 2322940
Hahahahaaa... Mkuu5O ni msng tu, Ja Rule had the industry ila 5O alikuja kuua Career yake kwa jealous af akapita njia ile ile wakati alikuwa anadiss!
Kool and the Gang... Kuna songi lao linaitwa "Let's go Dancing" aisee huwa naupiga sana kwenye sabufa... Bonge la wimbo..Case_missing you
Fat joe_ what is love
Miguel _adorn
Mary blige _ I am
Midas touch
Dolly parton _think about love
Ace of the base _all she want
Haddaway_ what is love
London beat_, (nyimbo zote)
Kool and the gang
Chris Brown
*Kiss kiss ft t pain
* deuces
*nyimbo zote za 2012 kurudi
Noma sana!Sijaona kama 50 CENTS
Amusement Park
Window Shopper
In Da Club
Many Men (Wish Death)
Candy Shop
Lil Bit
Stunt 101
Disco Inferno
Best Friend
Ayo technology
Baby Buy Me
I Get Money
Wanksta
Pimp
Outta Control
If I Can't
Whats up Gangstar
Straight to the Bank
Pa kuna mwamba anaitwa TALIB KWELI. Ukipata ngoma zake kama
Deliver Us (Hostile Gospel Pt 1) na
Holy Moly
Utaenjoy sana.
Huyu Lionel Richie, kuna wimbo unaitwa "Hello".. Aisee nauukubali sana, hasa video yake.Lionel richie ..I cal it luv
Stuck on you!!!
Woiiiii!burdaan
TI mtu sana.. Kuna pini yake moja inaitwa "Rubber band" naikubali sana..
Kuna Phil Collins... Wimbo unaitwa "One More Night"... Nauelewa sana..When I Dream At Night
Upo sasa kabisa mkuu! Huyu 50 alitikisa sana... Ngoma zake ni balaa....Ja rule alimkalisha 50 mwaka gani we mbugila? Mbona unalazimisha vitu ambavyo havipo. On his prime 2003 - 2007 hakuna mtu alimuweza 50 Cents.
Bifu lake na Kanye West 2007/08 ndio kidogo lilimtikisa, hao akina Lil Wayne si ndio walikuwa wanamjibu I GET MONEY na wao wakaachia I GOT MONEY??
50 Cents alikuwa mnyama, na hata this time akienda kwenye Show like ile iliyofanywa kwa pamoja na Dr. Dre, Eminem, Snoop Dogg nk bado alikiwasha ila mbaya.
To me hakuna msanii wa HipHop Marekani ameweza kufikia level ya 50 Cents katika ubora wake. Ilikuwa hit after hit hana ngoma mbovu.
Tuache ushabiki wa kizamani, Ukiacha NEW YORK una ngoma yoyote ya JA RULE inaweza hata kuingia mbele ya ngoma ya 50 hata ile WANKSTA.??
Remix ya songi hili ndo balaa... Video yake wajuba wamepasua sana...Fat Joe- Make It Rain
ila huenda alikuwa kimasihara 😀😀😀 jokeUpo sasa kabisa mkuu! Huyu 50 alitikisa sana... Ngoma zake ni balaa....
Kuna wakati watu wakazusha kwamba anadate na Olivia... Hahahahaaa, jamaa kwa kuwajibu akatoa kibao kinaitwa "Just Friends" ngoma niliipenda sana...
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Nyimbo za kool and the gang huwa nazisikiliza JumamosiKool and the Gang... Kuna songi lao linaitwa "Let's go Dancing" aisee huwa naupiga sana kwenye sabufa... Bonge la wimbo..
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Mkuu inaonekana mziki umeanza kufuatilia mwaka 2OO3. Before 5O kulikuwa na Ja Rule ila beef ya 5O na Ja Rule ndio ilimtoa Ja mchezoni.Ja rule alimkalisha 50 mwaka gani we mbugila? Mbona unalazimisha vitu ambavyo havipo. On his prime 2003 - 2007 hakuna mtu alimuweza 50 Cents.
Bifu lake na Kanye West 2007/08 ndio kidogo lilimtikisa, hao akina Lil Wayne si ndio walikuwa wanamjibu I GET MONEY na wao wakaachia I GOT MONEY??
50 Cents alikuwa mnyama, na hata this time akienda kwenye Show like ile iliyofanywa kwa pamoja na Dr. Dre, Eminem, Snoop Dogg nk bado alikiwasha ila mbaya.
To me hakuna msanii wa HipHop Marekani ameweza kufikia level ya 50 Cents katika ubora wake. Ilikuwa hit after hit hana ngoma mbovu.
Tuache ushabiki wa kizamani, Ukiacha NEW YORK una ngoma yoyote ya JA RULE inaweza hata kuingia mbele ya ngoma ya 50 hata ile WANKSTA.??
Balaa zitoRemix ya songi hili ndo balaa... Video yake wajuba wamepasua sana...
Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
Alaf kuna mtu anasema 50 hamna kitu.Sijaona kama 50 CENTS
Amusement Park
Window Shopper
In Da Club
Many Men (Wish Death)
Candy Shop
Lil Bit
Stunt 101
Disco Inferno
Best Friend
Ayo technology
Baby Buy Me
I Get Money
Wanksta
Pimp
Outta Control
If I Can't
Whats up Gangstar
Straight to the Bank
Pa kuna mwamba anaitwa TALIB KWELI. Ukipata ngoma zake kama
Deliver Us (Hostile Gospel Pt 1) na
Holy Moly
Utaenjoy sana.
Hakika.5O Cent ni Gangsta to the Core, yani namfananisha 5O na taifa la marekani linavyowafitini mataifa mengine. Ukianza bifu nalo linakumaliza kwa mbinu zote safi na chafu.