Apo umesahau madude kamaSijaona kama 50 CENTS
Amusement Park
Window Shopper
In Da Club
Many Men (Wish Death)
Candy Shop
Lil Bit
Stunt 101
Disco Inferno
Best Friend
Ayo technology
Baby Buy Me
I Get Money
Wanksta
Pimp
Outta Control
If I Can't
Whats up Gangstar
Straight to the Bank
Pa kuna mwamba anaitwa TALIB KWELI. Ukipata ngoma zake kama
Deliver Us (Hostile Gospel Pt 1) na
Holy Moly
Utaenjoy sana.
Hakunaga kama RKelly - if I could turn back the hands of time.Binafsi huwa namkubali sana mwanamama Alicia keys nakibao chake cha fallin. Moja kati ya vibao vikali mno kuwahi kutoka kwake. Je wewe unamkubali msanii gani na kibao chako pendwa?
View attachment 2315568View attachment 2315569
We are here na underdog hizi ngoma zimenikaaaa sanaBinafsi huwa namkubali sana mwanamama Alicia keys nakibao chake cha fallin. Moja kati ya vibao vikali mno kuwahi kutoka kwake. Je wewe unamkubali msanii gani na kibao chako pendwa?
View attachment 2315568View attachment 2315569
Asantee asantee mkuu Extrovert huyu Mbaga III hamjui ja rule vizuri!Mkuu inaonekana mziki umeanza kufuatilia mwaka 2OO3. Before 5O kulikuwa na Ja Rule ila beef ya 5O na Ja Rule ndio ilimtoa Ja mchezoni.
Ja kaanza mziki 1993 ila alikuja ku peak 1998-2OO3 ila alivyoingia beef na 5O ndio akashushwa. Ja Rule had all the hits back to back kama 5O tu. Achilia mbali features tu muhuni alikuwa shida sema 5O wivu ndio ulikuwa unamtesa.
Watoto wa kizaz cha .com hawa
Wewe ndio umejibiwa hapo. Unachanganya madesa Ja rule ulisema alimpoteza 50. Umekielewa kilichoandikwa.? Hahaha
😂 Angalia aliku quote wewe kukujibu kwamba Ja rule was the best! Na Extrovert ameishi newyork miaka hiyo akiwa dj kipindi goma la new York linatoka akiwa maeneo ya queen'sWewe ndio umejibiwa hapo. Unachanganya madesa Ja rule ulisema alimpoteza 50. Umekielewa kilichoandikwa.? Hahaha