Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Mama mawigi yule hamna kitu pale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaha wale kuna muda wanafuraisha mama mawigi tu ni anaboaNdaro na yule mwenzake mweusi…
Aha wewe ujamfwatilia mkojani ase kuna muda anachekesha mpaka unapaliwakuna member aliwahi niambia nisimseme vibaya mtu anayefanya kazi halali inayomuingizia kipato
lakini comedy ni kazi ya sanaa, sisi hadhira tuna haki ya kuchambua na kukosoa
Mkojani sijawahi kumuelewa.
Naungana na wewe kabisa kitimtim hakuna kitu pale hakunaYule mchaga wa kwenye kitimtim uvivu tu wa kulima ndizi kwao Moshi
Bichwa lako 🤣🤣🤣Njoo nikutekenye, ukicheka basi Leonardo hajui kuchekesha ila usipocheka basi kitufe chako Cha kucheka kitakufa kimekufa.
Sukari hapaKuna huyu Eliud nilimuona Arusha juzi kwenye standup comedy ya Churchill ya wakenya aliua vizuri tu ila Eric omondi alikuwa wa Kawahida Sana pale jukwani
Ila yote kwa yote kuchekesha kazi Sana Kuna jamaa wale wa Moshi wapo wawili walipanda duh aibu nikawa Naona Mimi mtazamaji
Asma sijawai muelewaKuna yule dem wa cheka 2 ana jiwekaga kama Tom boy
Dstv hakuna vichekesho labda ile ant boss ya wakenya na nguzo ndio nafwatiliaMakiwendo wii naona umecheka sana nimemuua kaka yako 😹😹
Kiukweli hachekeshi ananichefua yani ananiudhi na pesa yangu ya kifurushi cha DSTV
Na yomboHao siwajui kwasababu nina miaka kama minne mpaka sita hivi sifuatilii haya mavitu. Hatahivyo nimekuwa nikikutana na baadhi ya vichekesho na kwa kuchanganya na vile vya zamani naweza kuweka list ya watu ambao sijaona wanachochekesha
1. Dullavany
2. Joti
3. Steve Nyerere
4. Kuna hawa walioiga staili ya Mwaisa
5. Kuna huyu mwingine anayejifunika blanketi anacheka moja kwa moja
6. Mr Bean
7. Charlie Chaplin
Wachekeshaji ni Mpoki, Mwaisa, McRegan, Ben, John Liver, Muhogo Mchungu nk
Umemsahau mchungaji wa kenya anijiita nganga kama sikosei1. Makongoro Nyerere.
2. Chalamila
3. Mchungaji Hananga
Umemsahau mama mawigiComedians Hawa hawajui kuchekesha (kwa mujibu wangu), nimewafollow ili niwacheke wasivojua kuchekesha
@shafii_comedian
Mr mwanya
Mr navy og
Chenjeu
neila (Cheka tu)poor presentation
mzee shayo
Mama chanja
asma_comedian
headmaster
ganslay
Hawa wote ni wavivu wa kulima
To be Continued
Kuna moment nilimuona anahojiwa na Zamarad kwenye kipindi cha Takeone, alisema kuwa "kwasasa nimenunu camera za kisasa ili kuboresha kazi zangu" sasa nikajua pengine ile Kampuni ilikua yake!!!
Ipo kitimtim ujinga mtupuDstv hakuna vichekesho labda ile ant boss ya wakenya na nguzo ndio nafwatilia
Uvivu wa kushika jembe uleeIpo kitimtim ujinga mtupu
Wee delivery no..inabidi uje tufungue koromeo down kidogo hapoo, ni kutoa na kingine sichomelei, chap kwaa 😄😄Hiufanyi delivery?
😂😂😂😂Yule mchaga wa kwenye kitimtim uvivu tu wa kulima ndizi kwao Moshi
Nkamu ulipo? Ban haijaisha twende kijiweni kwetu 😹😂😂😂😂
Ile Churchill kwa kweli hadi nilienda tu kulala maana hadi anafika mtu wa 4 sijachekaKuna huyu Eliud nilimuona Arusha juzi kwenye standup comedy ya Churchill ya wakenya aliua vizuri tu ila Eric omondi alikuwa wa Kawahida Sana pale jukwani
Ila yote kwa yote kuchekesha kazi Sana Kuna jamaa wale wa Moshi wapo wawili walipanda duh aibu nikawa Naona Mimi mtazamaji